kabisa...Ni dalili za anguko lake.
wakimchoka?Tawala za Zamani nitofauti na Tawala za Sasa hivi kusubili USA Idondoke Kwenye Tawala hii ya Dunia ya Leo Ni Bado Sanaa Sababu USA hafanyi Kitu peke yake Lazima Ashilikiane na Wenzake Haswa EU Au NATO Wazo la Mmoja ni Wazo Wa Wote Na umoja ni Nguvu
Hiyo ndio maana ya superpower.Yeye anapeleka silaha Ukrain- China akisaidia Urusi anamuwekea vikwazo
Yeye anawapa silaha zote Israe, Wengine wakisaidia anakasirikisha na kutisha
Yeye anawakandamiza raia wanaondamana wake wengine wakifanya anakemea
Yeye anafanya baishara atakavyo- wengine wakifanya anawaekea vikwazo
Hivi anaonaje wengine? kama hawana haki yoyote duniani?
Anasahau kulikuwa wanatawala wengi duniani wenye nguvu hivi sasa mataifa hayo yamekuwa historia tu?
Unaweza kumchoka ndugu yako wa damu?wakimchoka?
kwani hayo mataifa yaliopukitika hawakuwa na udugu?Unaweza kumchoka ndugu yako wa damu?
America haitaanguka! Sahau kabisa kuhusu HiloNi dalili za anguko lake.
Sio Leo Mzee utazeeka Utakufa utabak na Majonziwakimchoka?
America haitaanguka! Sahau kabisa kuhusu Hilo
Unabii hauoneshi anguko lake
Utasubiri sana Mzee, Amerika is here to stay.
Pole sana mkuu, em kunywa maji kwanzaNi dalili za anguko lake.