Marekani Dunia anaionaje?

Marekani Dunia anaionaje?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Yeye anapeleka silaha Ukrain- China akisaidia Urusi anamuwekea vikwazo.

Yeye anawapa silaha zote Israe, Wengine wakisaidia anakasirikisha na kutisha

Yeye anawakandamiza raia wanaondamana wake wengine wakifanya anakemea.

Yeye anafanya baishara atakavyo- wengine wakifanya anawaekea vikwazo.

Hivi anaonaje wengine? kama hawana haki yoyote duniani?

Anasahau kulikuwa wanatawala wengi duniani wenye nguvu hivi sasa mataifa hayo yamekuwa historia tu?
 
Tawala za Zamani nitofauti na Tawala za Sasa hivi kusubili USA Idondoke Kwenye Tawala hii ya Dunia ya Leo Ni Bado Sanaa Sababu USA hafanyi Kitu peke yake Lazima Ashilikiane na Wenzake Haswa EU Au NATO Wazo la Mmoja ni Wazo Wa Wote Na umoja ni Nguvu
 
Yeye anapeleka silaha Ukrain- China akisaidia Urusi anamuwekea vikwazo
Yeye anawapa silaha zote Israe, Wengine wakisaidia anakasirikisha na kutisha
Yeye anawakandamiza raia wanaondamana wake wengine wakifanya anakemea
Yeye anafanya baishara atakavyo- wengine wakifanya anawaekea vikwazo
Hivi anaonaje wengine? kama hawana haki yoyote duniani?
Anasahau kulikuwa wanatawala wengi duniani wenye nguvu hivi sasa mataifa hayo yamekuwa historia tu?
Hiyo ndio maana ya superpower.
 
America haitaanguka! Sahau kabisa kuhusu Hilo
Unabii hauoneshi anguko lake
Screenshot_20240510-223536.png
 
Hiyo inaitwa Hypocrisy. Dunia nzima inajua Marekani ni Hypocrite na haina cha kuifanya. Ila hiyo nguvu yake lazima itafika mwisho soon.
 
Back
Top Bottom