Marekani huwa wanapata wapi taarifa muhimu kabla ya jambo fulani kutokea?

Marekani huwa wanapata wapi taarifa muhimu kabla ya jambo fulani kutokea?

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Hivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?

1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo

2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi

3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea

Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔

DE632F6A-CD9A-48F0-8F52-2CC5A676AFDD.jpeg
 
CIA is the deep state is every where in this world!!

Kila pahali, kila nchi wapo, kila jeshi wamo, kila ofisi ya Rais wapo..

Kila nchi wamo kiufupi hawa jamaa ni ngumu kuwadhibiti mtandao wao na ma agent wao wametapakaa dunia nzima!!
 
Unapokuwa na mpango wa kuitawala Dunia au uwe ni mwenye nguvu kuliko Mataifa mengine lazima uwe makini sanaa kwenye kupangilia mambo ili uendelee kubaki juu.
Ukiona kuna anayejaribu kunyanyua kichwa hata kama ni wako lazima umtulize kwa namna yoyote ikiwezekana kumpoteza kabisa kisha unampa msaada
 
Hivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?

1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo

2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi

3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea

Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔


Nani katengeneza hicho kifaa Chako cha mawasiliano? Ni sawa na wewe utengenezee simu ya mkeo halafu usiweke namna ya kumchunguza
 
Hivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?

1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo

2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi

3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea

Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔

Mara nyingi ni hao hao wanafanya hayo mambo. Kwa mfano kabla ya kuingilia uchaguzi wa nchi na kuinterfere na matokeo ambayo wanajua kwamba utaleta ghasia kwa kawaida wanatoa tahadhari dhidi ya kusafiri maeneo husika.

kama ilivyofanyika katika uchaguzi uliopita nchini Kenya.

Nimechoka kuongea kiswahili.

Also research about the Freemasons rule of letting your victim know the evil you're about to do to them to avoid the bad "karmic" consequences befalling you.
 
Walijua sana sana basi tuu walitengeneza wenyewe. Kuna hadi makatuni ya 1990 yalizungumzia suala hilo
Nakubaliana na wewe kuna namna ukiikunja pesa us$20 unapata picha ya yale majengo WTC yakilipuka hii niliona documentary fulani kule Kenya mwaka 2010 ikizungumzia huu mkasa wa 9/11.

Kuna mengi yamefichwa aisee ila yapo wazi kwa wale wenye kuyafahamu.
 
Hivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?

1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo

2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi

3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea

Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔

Espionage
 
CIA is the deep state is every where in this world!!

Kila pahali, kila nchi wapo, kila jeshi wamo, kila ofisi ya Rais wapo..

Kila nchi wamo kiufupi hawa jamaa ni ngumu kuwadhibiti mtandao wao na ma agent wao wametapakaa dunia nzima!!
walishindwa kuona kifo cha JPM...
Usiwapaishe sana
 
K
Hivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?

1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo

2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi

3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea

Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔

Kuna AI siku hizi. Hata sheikh Yahya akijua kabla ya AI. Swali la kujiuliza walijua kama Trampo atapigwa sikioni?
 
Back
Top Bottom