BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Mganga hajigangiCha ajabuni kwamba walishindwa kuitambua September eleven. Au ndio walihusika wenyewe kama inavyosadikika? Some time anyetoa tarifa ndio muhusika wa kutenda jambo hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mganga hajigangiCha ajabuni kwamba walishindwa kuitambua September eleven. Au ndio walihusika wenyewe kama inavyosadikika? Some time anyetoa tarifa ndio muhusika wa kutenda jambo hilo.
Ni ngumu kuamini kuwa ndege ya abiria inaweza kujigongesha kwenye jengo la ghorofa 120 na likaporomoka lote.Cha ajabuni kwamba walishindwa kuitambua September eleven. Au ndio walihusika wenyewe kama inavyosadikika? Some time anyetoa tarifa ndio muhusika wa kutenda jambo hilo.
Kilichotokea kwenye Sep 11 ni matokeo ya information overload na kukosekana kwa ushirikiano wa vyombo. Wale jamaa wote waliohusika walikuwa wanafuatiliwa, sema vyombo vilizinguaCha ajabuni kwamba walishindwa kuitambua September eleven. Au ndio walihusika wenyewe kama inavyosadikika? Some time anyetoa tarifa ndio muhusika wa kutenda jambo hilo.
Intelligence yao ni ya kweli. Intelijensia ya Polisi wa Tanzania wasiojua hata GPO yao wenyewe eti intelijensia yao imeishia CHADEMA tu. Mara MBOWE Ana mfuko wa shangazi kaja anaufanyia ugaidi, yaani ushuzi kabisa polisisiemuHivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?
1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo
2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi
3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea
Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔
Wanabahatisha tu.., iyo kwamba leo Iran itaishambulia Israel walishatangaza uko nyuma mara kibao na ikawa Iran hawakushambulia lolote. Sema siku nyengine Iran wenyewe wanatangaza kuwambia ata majirani zao kwamba kesho tuna jambo letu tegeni masikio.Hivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?
1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo
2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi
3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea
Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔
Ni uongo hakuna lolote, Iran wenyewe huwa wanatoa tu izo habari mbona Hamas walipovamia Israel na kuchukua mateka na kuwapa vipondo mbona hakuna CIA aliyejua, wale Mayahudi walikuwa kwenye mapombe yao ata habari hawana mbona CIA hawakuwambia? Hau US mara kadhaa washasema kesho Iran itawashambulia mbona haikutokea? Wanabahatisha tuuCIA is the deep state is every where in this world!!
Kila pahali, kila nchi wapo, kila jeshi wamo, kila ofisi ya Rais wapo..
Kila nchi wamo kiufupi hawa jamaa ni ngumu kuwadhibiti mtandao wao na ma agent wao wametapakaa dunia nzima!!
Kwahyo marekani ndie aliepanga kuishambulia Israel kupitia Iran sioCha ajabuni kwamba walishindwa kuitambua September eleven. Au ndio walihusika wenyewe kama inavyosadikika? Some time anyetoa tarifa ndio muhusika wa kutenda jambo hilo.
hawa ni ma ILLUMINATI waabudu shetani, shetani alitupwa huku duniani, wao wanaona ya hapa duniani mno, ndio maana moja ya nembo zao huwa ni jicho, washenzi washenzi hawa, ibada zao za kafaraHivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?
1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo
2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi
3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea
Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔
USA wame-invest rasilimali nyingi sana intelligence. Hakuna mawasiliano wasiyosikiliza, labda nchi yako iwe iko mbali sana kwenye technology, ila ukiwa wa kawaida, uwe na uhakika chochote unachoongea wanakijua.
[/QUOTE
na wanaongozwa na kuzimu kupitia elites/Illuminati walioko dunianiCIA is the deep state is every where in this world!!
Kila pahali, kila nchi wapo, kila jeshi wamo, kila ofisi ya Rais wapo..
Kila nchi wamo kiufupi hawa jamaa ni ngumu kuwadhibiti mtandao wao na ma agent wao wametapakaa dunia nzima!!
Vituko vya USA ni kwamba hawaruhusiwi ku-spy on US citizensRisasi ya sikio ya trump not dected before?
Urusi alimwambia china,china akayafikisha,lakini pia urusi alikua akipanga silaha zake belarus tayari kibamia,so it's easy kujua ukiwa na satellite na spies on the ground, Iran ana spies na satellite pia,al shabaab wale ni watu wakeHivi USA wanapataga wapi Taarifa Muhimu za intelligence kabla ya Jambo kutokea?
1. Juzi walionya kuwa Iran Ina mpango wa kushambulia Israel ndani ya Masaa mawili yajayo na ikawa hivo
2. Mwaka 2021 December na 2022 January walionya kwamba Urusi Ana mpango wa kumshambulia Ukraine ! Ambapo Urusi Mwanzoni walikanusha ila baada ya week Tatu wakaanza mashambulizi
3. Mwaka 2019 au 20 waliwatonya Watu wa Ethiopia kuwa wawe makin na safari za anga kuna ajali inaweza tokea na ikatokea
Yaan ni Mengi uwa najiuliza sana? 🤔
Walikuwa wapi hao Ma agent kabla hamas hawajashambulia israel na kuteka mateka kibao?CIA is the deep state is every where in this world!!
Kila pahali, kila nchi wapo, kila jeshi wamo, kila ofisi ya Rais wapo..
Kila nchi wamo kiufupi hawa jamaa ni ngumu kuwadhibiti mtandao wao na ma agent wao wametapakaa dunia nzima!!
Kinawahusu nini?walishindwa kuona kifo cha JPM...
Usiwapaishe sana