Marekani ilipoteza muelekeo ilipoanza kuchanganya dini na siasa kinyume na malengo ya waanzilishi wake

Marekani ilipoteza muelekeo ilipoanza kuchanganya dini na siasa kinyume na malengo ya waanzilishi wake

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Historia ya Marekani ilianza kwa raia walioondoka Ulaya hasa Uingereza kuanzia karne ya 16 kwa sababu mbalimbali lakini kubwa zaidi zikiwa ni mbili, fursa za uchumi na mkandamizo wa dini.

Kipindi cha karne ya 15 hadi 17 kulikuwa na mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali Ulaya ikiwemo misuguano ya kidini na kimadhehebu iliyopelekea serikali za kifalme kulazimisha watu wafuate madhehebu yao, serikali ya Uingereza iliwanyanyasa Wakatoliki, serikali ya Ujerumani iliwanyanyasa ambao hawakuwa Walutherani, Spain na nchi nyingine za Wakatoliki wengi waliwanyanyasa ambao hawakuwa Wakatoliki, hawa wanyanyaswaji wenye dini, wasio na dini na raia wengine wengi ambao walikuwa kimaslahi ya uchumi tu ndio waliozamia Marekani na Canada ambayo yalikuwa makoloni ya Uingereza na Ufaransa kuwa wahamiaji masetla. Kipindi hicho Marekani ilikuwa kama shamba la wakoloni kuchuma mali, gereza la kutupia watu watukutu walioshindikana Ulaya na pia mojawapo ya eneo la makafiri/ "barbarians"/heathens.

Baada ya Historia ndefu sana hatimaye Masetla waliojipata wakachoshwa na utawala wa Ufalme wa Uingereza na kujitangazia uhuru kutoka ufalme mwaka 1776 na vita virefu vikapiganwa sana na Uingereza. Hatimaye mwaka 1787 wakijitungia katiba yao na mojawapo ya mambo makubwa waliyozingatia sana katika katiba yao kutokana na vidonda vya historia yao ikawa ni kudhibiti pakubwa mamlaka ya watawala na serikali na pia kutenganisha kabisa mambo ya kidini na serikali.

Waanzilishi wa taifa(founding fathers) walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili, Wakristo na waamini mungu tu kwa namna nyingine ambao hawakuwa Wakristo(Deists). Hawa Deists kwa kiasi kikubwa wakiwemo kina George Washington, Thomas Paine, Alexander Hamilton na wengine ndio walioukuwa vinara wa mambo na uundaji wa katiba yenyewe na waliweka hadi kipengele katika katiba kinachosema Congress haitahusika na kuheshimu, uanzishwaji wa dini yoyote au kuzuia uhuru wa dini yoyote.

Bado ya hapo japo dini ya Ukristo iliendelea kuwa ya umuhimu kwa Wamarekani wengi lakini hakukuwahi kuwa na uchanganyaji wa dini na siasa mpaka miaka ya 1980 alipoingia madarakani Ronald Reagan, katika uchaguzi wake mambo ya kidini yalijaribiwa kutumika kama ajenda na yalimuongezea nguvu zaidi za ushindi ndipo ikawa kama "jini amechoropoka kwenye chupa", tangu wakati huo mpaka leo hii mambo ya kidini yameendelea kutumika kama karata muhimu sana katika siasa za Marekani na yamezidi kuwagawanya vibaya kwa sababu mambo ya kidini siku zote yanaendeshwa kwa hisia zaidi kuliko logic na "pragmatism", hata support kubwa ya Marekani kwa Israel hisia za kidini zinahusika sana pia
 
Karata ya dini hutumiwa na Wanasiasa wengi ili kujitwalia madaraka katika mataifa mbalimbali,lakini huwa na mwisho mbaya.
 
Ni kweli kwani haziruhusu ndoa za jinsia moja
Ni suala la muda tu kwa maasi yanavyoongezeka haitoshangaza kama nazo hizo nchi zikaanaza kuruhusu ndoa za jinsia moja kisheria maana Bahrain na Jordan ushoga uko legalized.
 
Ni suala la muda tu kwa maasi yanavyoongezeka haitoshangaza kama nazo hizo nchi zikaanaza kuruhusu ndoa za jinsia moja kisheria maana Bahrain na Jordan ushoga uko legalized.

Nani alikuambia Bahrain na Jordan ushoga uko legalized au hiyo ni habari ulipewa na NABII WAKO TITO ??

iNAELEKEA UNAPENDA MASHOGA MPAKA UNATUTIA WASIWASI KIJANA ??
 
Nani alikuambia Bahrain na Jordan ushoga uko legalized au hiyo ni habari ulipewa na NABII WAKO TITO ??

iNAELEKEA UNAPENDA MASHOGA MPAKA UNATUTIA WASIWASI KIJANA ??
we maamuma rudia kusoma tena nilichoandika then kagoogle hizo nchi nilizozitaja then uone kama nilichoandika ni uwongo. Ushoga kaupenda mtume wako mpaka akawa ananyonyana alhuseein.
 
we maamuma rudia kusoma tena nilichoandika then kagoogle hizo nchi nilizozitaja then uone kama nilichoandika ni uwongo. Ushoga kaupenda mtume wako mpaka akawa ananyonyana alhuseein.

kwani umeshindwa nini wewe kugoogle

huyo unayemfanya mungu aliyetawazishwa mavi mbona anasema

1723477745832.jpeg
 
Kwanza marekani imeundwa kwa kuwakandamiza na kuwaua wahindi wekundu
Pili marekani imepotea tokea ilipoanza kujiona mbabe na kuua watu bila sababu
 
Historia ya Marekani ilianza kwa raia walioondoka Ulaya hasa Uingereza kuanzia karne ya 16 kwa sababu mbalimbali lakini kubwa zaidi zikiwa ni mbili, fursa za uchumi na mkandamizo wa dini.

Kipindi cha karne ya 15 hadi 17 kulikuwa na mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali Ulaya ikiwemo misuguano ya kidini na kimadhehebu iliyopelekea serikali za kifalme kulazimisha watu wafuate madhehebu yao, serikali ya Uingereza iliwanyanyasa Wakatoliki, serikali ya Ujerumani iliwanyanyasa ambao hawakuwa Walutherani, Spain na nchi nyingine za Wakatoliki wengi waliwanyanyasa ambao hawakuwa Wakatoliki, hawa wanyanyaswaji wenye dini, wasio na dini na raia wengine wengi ambao walikuwa kimaslahi ya uchumi tu ndio waliozamia Marekani na Canada ambayo yalikuwa makoloni ya Uingereza na Ufaransa kuwa wahamiaji masetla. Kipindi hicho Marekani ilikuwa kama shamba la wakoloni kuchuma mali, gereza la kutupia watu watukutu walioshindikana Ulaya na pia mojawapo ya eneo la makafiri/ "barbarians"/heathens.

Baada ya Historia ndefu sana hatimaye Masetla waliojipata wakachoshwa na utawala wa Ufalme wa Uingereza na kujitangazia uhuru kutoka ufalme mwaka 1776 na vita virefu vikapiganwa sana na Uingereza. Hatimaye mwaka 1787 wakijitungia katiba yao na mojawapo ya mambo makubwa waliyozingatia sana katika katiba yao kutokana na vidonda vya historia yao ikawa ni kudhibiti pakubwa mamlaka ya watawala na serikali na pia kutenganisha kabisa mambo ya kidini na serikali.

Waanzilishi wa taifa(founding fathers) walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili, Wakristo na waamini mungu tu kwa namna nyingine ambao hawakuwa Wakristo(Deists). Hawa Deists kwa kiasi kikubwa wakiwemo kina George Washington, Thomas Paine, Alexander Hamilton na wengine ndio walioukuwa vinara wa mambo na uundaji wa katiba yenyewe na waliweka hadi kipengele katika katiba kinachosema Congress haitahusika na kuheshimu, uanzishwaji wa dini yoyote au kuzuia uhuru wa dini yoyote.

Bado ya hapo japo dini ya Ukristo iliendelea kuwa ya umuhimu kwa Wamarekani wengi lakini hakukuwahi kuwa na uchanganyaji wa dini na siasa mpaka miaka ya 1980 alipoingia madarakani Ronald Reagan, katika uchaguzi wake mambo ya kidini yalijaribiwa kutumika kama ajenda na yalimuongezea nguvu zaidi za ushindi ndipo ikawa kama "jini amechoropoka kwenye chupa", tangu wakati huo mpaka leo hii mambo ya kidini yameendelea kutumika kama karata muhimu sana katika siasa za Marekani na yamezidi kuwagawanya vibaya kwa sababu mambo ya kidini siku zote yanaendeshwa kwa hisia zaidi kuliko logic na "pragmatism", hata support kubwa ya Marekani kwa Israel hisia za kidini zinahusika sana pia
Waambie waarabu wenzako kwa nini kujenga kanisa kwenye ardhi Yao ni kosa la uhaini? Kwa nini mtu akibadili dini anawindwa akatwe kichwa? Nani mdini ?
 
Waambie waarabu wenzako kwa nini kujenga kanisa kwenye ardhi Yao ni kosa la uhaini? Kwa nini mtu akibadili dini anawindwa akatwe kichwa? Nani mdini ?

hata wewe ukibadili dini hao wazazi wako hawatokuwacha ziko story nyingi za waliobadilisha dini na kuwa waislamu tena huko marekani walipigwa na karibu kuuliwa
 
Back
Top Bottom