Marekani ilipoteza muelekeo ilipoanza kuchanganya dini na siasa kinyume na malengo ya waanzilishi wake

Marekani ilipoteza muelekeo ilipoanza kuchanganya dini na siasa kinyume na malengo ya waanzilishi wake

Kwa mujibu wa hichi kitabu The Secret Terrorists kimeandikwa na Bill Hughes.
Hoja zako hazina mashiko kwa sababu Marekani ilipoteza muelekeo baada ya kikundi flani kilicho ingia Marekani na kumata uongozi na kuendesha mikakati yao duniani kote kupitia Marekani.
Ndani ya kitabu hichi cha The Secret Terrorists kuna baadhi ya maandiko yanasema hivi:


Amerika kuna hati mbili kuu, Azimio la Uhuru na Katiba, zimejaa matamshi ya Waprotestanti ambayo hayakubaliani kabisa na Jesuits wa Roma. Je! Inashangaza kwamba Vatican inalaani hati za wanzilishi za Amerika?

Vatikani ililaani Azimio la Uhuru kama uovu na likaita Katiba ya Amerika kuwa Hati ya Shetani.

— Avro Manhattan, The Dollar and the Vatican, Ozark Book Publishers, 1988, p. 26.

Kwa kuzingatia ukweli huu, maswali kadhaa huibuka. Kwa kuwa WaJesuits walianza shambulio moja kwa moja kwa Amerika mnamo 1815 na hakuna kinachosimama katika njia yao, basi je! Sera hizo zinafanywa leo huko Amerika chini ya udhibiti wa vatican? Je! Mauaji ya marais wengine, kama vile Abraham Lincoln, William McKinley, James Garfield, na William Henry Harrison, yamehamasishwa kwa Jesuit? Je! Uonevu, kama Waco, Oklahoma City, na uharibifu wa Twin Towers huko New York City yalipangwa nyuma ya kuta za Vatikani? Je! Ni nini kuhusu Katiba yetu ya thamani na Muswada wa Haki ambao umekuwa ukishambuliwa kama vile katika miongo michache iliyopita? Je! Hii ndio tuzo ya mwisho ya Wajesuti kutokomeza uhuru wetu wa thamani ambao ulinunuliwa kwa gharama kubwa sana?

Kwenye vita ya civil war Licolin aliandika hivi:

“Vita hii isingewezekana kuwepo kama isingesababishwa na Jesuits
Lakini tutarajie kwamba Mungu ataendelea kufanya muujiza ili kuokoa maisha yangu? Siamini hivyo…kutoka kwangu mikononi mwao, tangu barua ya papa
kwenda kwa Jeff Davis imenoa makali ya mamilioni ya watesaji ili kupasua kifua changu, itakuwa zaidi ya muujiza nikitoka mikononi mwao. Lakini kama vile Bwana ambapo hakusikiliza manung`uniko ya Musa wakati alipomuambia kwamba atakufa kabla ya
kuvuka mto Yordani, kutokana na dhambi za watu wake; ndivyo nilivyo na matumaini na kuomba kwamba asisikie manung`uniko yangu nitakapoanguka kwa ajili ya taifa langu”.(Abraham Lincoln)
 
Kwa mujibu wa hichi kitabu The Secret Terrorists kimeandikwa na Bill Hughes.
Hoja zako hazina mashiko kwa sababu Marekani ilipoteza muelekeo baada ya kikundi flani kilicho ingia Marekani na kumata uongozi na kuendesha mikakati yao duniani kote kupitia Marekani.
Ndani ya kitabu hichi cha The Secret Terrorists kuna baadhi ya maandiko yanasema hivi:


Amerika kuna hati mbili kuu, Azimio la Uhuru na Katiba, zimejaa matamshi ya Waprotestanti ambayo hayakubaliani kabisa na Jesuits wa Roma. Je! Inashangaza kwamba Vatican inalaani hati za wanzilishi za Amerika?

Vatikani ililaani Azimio la Uhuru kama uovu na likaita Katiba ya Amerika kuwa Hati ya Shetani.

— Avro Manhattan, The Dollar and the Vatican, Ozark Book Publishers, 1988, p. 26.

Kwa kuzingatia ukweli huu, maswali kadhaa huibuka. Kwa kuwa WaJesuits walianza shambulio moja kwa moja kwa Amerika mnamo 1815 na hakuna kinachosimama katika njia yao, basi je! Sera hizo zinafanywa leo huko Amerika chini ya udhibiti wa vatican? Je! Mauaji ya marais wengine, kama vile Abraham Lincoln, William McKinley, James Garfield, na William Henry Harrison, yamehamasishwa kwa Jesuit? Je! Uonevu, kama Waco, Oklahoma City, na uharibifu wa Twin Towers huko New York City yalipangwa nyuma ya kuta za Vatikani? Je! Ni nini kuhusu Katiba yetu ya thamani na Muswada wa Haki ambao umekuwa ukishambuliwa kama vile katika miongo michache iliyopita? Je! Hii ndio tuzo ya mwisho ya Wajesuti kutokomeza uhuru wetu wa thamani ambao ulinunuliwa kwa gharama kubwa sana?

Kwenye vita ya civil war Licolin aliandika hivi:

“Vita hii isingewezekana kuwepo kama isingesababishwa na Jesuits
Lakini tutarajie kwamba Mungu ataendelea kufanya muujiza ili kuokoa maisha yangu? Siamini hivyo…kutoka kwangu mikononi mwao, tangu barua ya papa
kwenda kwa Jeff Davis imenoa makali ya mamilioni ya watesaji ili kupasua kifua changu, itakuwa zaidi ya muujiza nikitoka mikononi mwao. Lakini kama vile Bwana ambapo hakusikiliza manung`uniko ya Musa wakati alipomuambia kwamba atakufa kabla ya
kuvuka mto Yordani, kutokana na dhambi za watu wake; ndivyo nilivyo na matumaini na kuomba kwamba asisikie manung`uniko yangu nitakapoanguka kwa ajili ya taifa langu”.(Abraham Lincoln)
Rubbish
 
Historia ya Marekani ilianza kwa raia walioondoka Ulaya hasa Uingereza kuanzia karne ya 16 kwa sababu mbalimbali lakini kubwa zaidi zikiwa ni mbili, fursa za uchumi na mkandamizo wa dini.

Kipindi cha karne ya 15 hadi 17 kulikuwa na mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali Ulaya ikiwemo misuguano ya kidini na kimadhehebu iliyopelekea serikali za kifalme kulazimisha watu wafuate madhehebu yao, serikali ya Uingereza iliwanyanyasa Wakatoliki, serikali ya Ujerumani iliwanyanyasa ambao hawakuwa Walutherani, Spain na nchi nyingine za Wakatoliki wengi waliwanyanyasa ambao hawakuwa Wakatoliki, hawa wanyanyaswaji wenye dini, wasio na dini na raia wengine wengi ambao walikuwa kimaslahi ya uchumi tu ndio waliozamia Marekani na Canada ambayo yalikuwa makoloni ya Uingereza na Ufaransa kuwa wahamiaji masetla. Kipindi hicho Marekani ilikuwa kama shamba la wakoloni kuchuma mali, gereza la kutupia watu watukutu walioshindikana Ulaya na pia mojawapo ya eneo la makafiri/ "barbarians"/heathens.

Baada ya Historia ndefu sana hatimaye Masetla waliojipata wakachoshwa na utawala wa Ufalme wa Uingereza na kujitangazia uhuru kutoka ufalme mwaka 1776 na vita virefu vikapiganwa sana na Uingereza. Hatimaye mwaka 1787 wakijitungia katiba yao na mojawapo ya mambo makubwa waliyozingatia sana katika katiba yao kutokana na vidonda vya historia yao ikawa ni kudhibiti pakubwa mamlaka ya watawala na serikali na pia kutenganisha kabisa mambo ya kidini na serikali.

Waanzilishi wa taifa(founding fathers) walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili, Wakristo na waamini mungu tu kwa namna nyingine ambao hawakuwa Wakristo(Deists). Hawa Deists kwa kiasi kikubwa wakiwemo kina George Washington, Thomas Paine, Alexander Hamilton na wengine ndio walioukuwa vinara wa mambo na uundaji wa katiba yenyewe na waliweka hadi kipengele katika katiba kinachosema Congress haitahusika na kuheshimu, uanzishwaji wa dini yoyote au kuzuia uhuru wa dini yoyote.

Bado ya hapo japo dini ya Ukristo iliendelea kuwa ya umuhimu kwa Wamarekani wengi lakini hakukuwahi kuwa na uchanganyaji wa dini na siasa mpaka miaka ya 1980 alipoingia madarakani Ronald Reagan, katika uchaguzi wake mambo ya kidini yalijaribiwa kutumika kama ajenda na yalimuongezea nguvu zaidi za ushindi ndipo ikawa kama "jini amechoropoka kwenye chupa", tangu wakati huo mpaka leo hii mambo ya kidini yameendelea kutumika kama karata muhimu sana katika siasa za Marekani na yamezidi kuwagawanya vibaya kwa sababu mambo ya kidini siku zote yanaendeshwa kwa hisia zaidi kuliko logic na "pragmatism", hata support kubwa ya Marekani kwa Israel hisia za kidini zinahusika sana pia
Wasabato na Propaganda zenu za miaka 1260.

Eti kanisa( masetla) walikimbia Ulaya kukimbia Rumi( Mnyama)
Ufunuo 11 na 12.

Eti likainuka Serikali na Dini( Marekani) vikiwa vimetengana. Wanafananisha na Mwanakondoo mwenye Pembe mbili, Ufunuo 14 kama sijakosea.
 
Kwa mujibu wa hichi kitabu The Secret Terrorists kimeandikwa na Bill Hughes.
Hoja zako hazina mashiko kwa sababu Marekani ilipoteza muelekeo baada ya kikundi flani kilicho ingia Marekani na kumata uongozi na kuendesha mikakati yao duniani kote kupitia Marekani.
Ndani ya kitabu hichi cha The Secret Terrorists kuna baadhi ya maandiko yanasema hivi:


Amerika kuna hati mbili kuu, Azimio la Uhuru na Katiba, zimejaa matamshi ya Waprotestanti ambayo hayakubaliani kabisa na Jesuits wa Roma. Je! Inashangaza kwamba Vatican inalaani hati za wanzilishi za Amerika?

Vatikani ililaani Azimio la Uhuru kama uovu na likaita Katiba ya Amerika kuwa Hati ya Shetani.

— Avro Manhattan, The Dollar and the Vatican, Ozark Book Publishers, 1988, p. 26.

Kwa kuzingatia ukweli huu, maswali kadhaa huibuka. Kwa kuwa WaJesuits walianza shambulio moja kwa moja kwa Amerika mnamo 1815 na hakuna kinachosimama katika njia yao, basi je! Sera hizo zinafanywa leo huko Amerika chini ya udhibiti wa vatican? Je! Mauaji ya marais wengine, kama vile Abraham Lincoln, William McKinley, James Garfield, na William Henry Harrison, yamehamasishwa kwa Jesuit? Je! Uonevu, kama Waco, Oklahoma City, na uharibifu wa Twin Towers huko New York City yalipangwa nyuma ya kuta za Vatikani? Je! Ni nini kuhusu Katiba yetu ya thamani na Muswada wa Haki ambao umekuwa ukishambuliwa kama vile katika miongo michache iliyopita? Je! Hii ndio tuzo ya mwisho ya Wajesuti kutokomeza uhuru wetu wa thamani ambao ulinunuliwa kwa gharama kubwa sana?

Kwenye vita ya civil war Licolin aliandika hivi:

“Vita hii isingewezekana kuwepo kama isingesababishwa na Jesuits
Lakini tutarajie kwamba Mungu ataendelea kufanya muujiza ili kuokoa maisha yangu? Siamini hivyo…kutoka kwangu mikononi mwao, tangu barua ya papa
kwenda kwa Jeff Davis imenoa makali ya mamilioni ya watesaji ili kupasua kifua changu, itakuwa zaidi ya muujiza nikitoka mikononi mwao. Lakini kama vile Bwana ambapo hakusikiliza manung`uniko ya Musa wakati alipomuambia kwamba atakufa kabla ya
kuvuka mto Yordani, kutokana na dhambi za watu wake; ndivyo nilivyo na matumaini na kuomba kwamba asisikie manung`uniko yangu nitakapoanguka kwa ajili ya taifa langu”.(Abraham Lincoln)
Asante kwa hizi taarifa
 
Back
Top Bottom