Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Akili hii imeanzia ngazi za familia. Mtu akitoboa ndugu zake walioko chini wote wanahisi ni haki yao kusaidiwa maisha. Mtu akiamua kuwazimia fegi wanaanza kumuona ndugu hafai ana maringo mara anajiona. Hiki kimelea kipo kwenye DNA mpaka za viongozi wa mataifa ya AfricaWabongo bwana mnawaza misaada Tu. Kila mtu/nchi mnataka iwape misaada.
Akili ya kujitegemea itatoka wapi ikiwa kila mara mnawaza misaada tu.