Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Wasitutishe sisi tuna waarabu tutaenda na sisi uarabuni tutapokewa kwa heshima...Alisikika chizi mmoja akisema......Tuache unafiki ukiwa na marafiki walio endelea na ww lazima tu utaendelea sasa ww una rafiki mwaraaabu 🤣🤣🤣mamaaaee acha nicheke tu bora hata tungeita wachina ...nchi ya hovyo ssna hiii rafiki mwarabuuuu...
 
Nilifikiria hili suala baada ya kuona Kenya ilivyo tambuliwa na USA kwenye hii ziara, nilijipatia hitimisho kuwa inawezekana ndani ya miaka 20 - 30 ijayo Kenya inaweza kuingia vitani na nchi mojawapo hapa Afrika mashariki, kama sio Uganda inaweza kuwa Tanzania
Kuingia vitani kwa sababu gani?
 
Sisi kuliko kupambana na rushwa, wizi na udokozi tukaamua kuwapa wajomba zetu waarabu bandari zetu, misitu yetu na wanyama wetu. Kweli tuna akili kubwa.
Mara 10 hata hao warabu wanafanya uwekezaji hapa nchini. Wewe umewahi kuona uwekezaji upi wa mmarekani hapa bong oukakuletea manufaa?
 
Mara 10 hata hao warabu wanafanya uwekezaji hapa nchini. Wewe umewahi kuona uwekezaji upi wa mmarekani hapa bong oukakuletea manufaa?
We uchara sana🐸👈 vandarua na madawa kama ya Hiv umlipia ngapi?

Hivi nimalangapi umesoma vibango vimeandikwa hisani ya watu wa marekani?.
Chura weeeee juzijuzi tu umeletewa mashehena ya mchele mpakamkaanza kuguna.
 
Nilifikiria hili suala baada ya kuona Kenya ilivyo tambuliwa na USA kwenye hii ziara, nilijipatia hitimisho kuwa inawezekana ndani ya miaka 20 - 30 ijayo Kenya inaweza kuingia vitani na nchi mojawapo hapa Afrika mashariki, kama sio Uganda inaweza kuwa Tanzania
🤣🤣🤣🤣

Tunamuogopa Abiy na oromo front pia Somalia.
Wewe toa ushamba wako.Pamoja na USA kuwaeleza Kenya kwamba wao ndio washirika Wakuu wa USA kwenye usalama lakini linapokuja Suala la Mshirika wa Maendeleo wa USA ni Tanzania.

Tanzania ni muhimu zaidi Kwa USA kuliko huyo Kenya.

Nimejaribu kufuatilia nini Kesha wamepata kutokana na ziara hii ya Ruto nimekuota yafuatayo.

Msaada wa kipesa kwenye sekta za porojo yaani sekta za Huduma za jamii ni kama ifuatavyo;

1. Kshs.10.454bln(Approximately 199Tzs bln)
2.Msaada wa kujengewa Airfield ya Manda Bay-Lamu na kuwa uwanja mkubwa wa ndege (urefu futi 10,000)
3.Msaada wa kutoa mafunzo ya Kijeshi kwenye Vyuo vyao
4.Msaada wa kupatiwa helikopta 8 za Kijeshi
5.Kenya kununua Magari 150(Armoured Vehicles)-Hapa lazima wapigwe Cha Juu.
6.Kenya kuanzisha program ya ukimwi/HIV na malaria kama ambavyo Tanzania inayo ,hapa Kuna Bilioni 900 za Kenya

View: https://twitter.com/Kenyans/status/1793638801241464855?t=ZPctOIx0aChdrvPagjEl3Q&s=19

7.Mkataba wa Ujenzi wa Barabara njia 4-6 kutoka Nairobi-Mombasa ,Trilioni 9.(Huu ndio mradi wa maana ambao nao ni Mkopo)

View: https://twitter.com/BloombergAfrica/status/1793574750469382173?t=DauL1_tAZzXmV7-mc5l8rw&s=19

Wakati Kwa Tanzania Samia alipata mualiko na VP Kamala na pia Kamala akaja Tanzania.

-Tulirejeshwa kwenye mradi wa MCC ambapo Kuna Dola mil.400 za Tanznaia hiyo ni Trilioni 1.
-Marekani itajengwa kiwanda Cha Betri Kahama ,hakuna kuuza Madini yetu kienyeji zaidi ya Bilioni 400
-Miradi mingine ya Maendeleo Kupitia USA Aid Iko kedekede ikiwepo Power Africa,feed the future nk.

Lakini ikumbukwe kabla ya Magufuli kuvurunda,Tanzania ndio Nchi ilikuwa inapata pesa nyingi Kupitia MCCl Kila mwaka kutoka USA kushinda Nchi zote za Afrika.

Pia Tanznaia ndio Nchi ambayo Marekani imetumipa pesa nyingi zaidi kwenye sekta ya Afya kushinda Nchi yoyote ya Afrika via Global Fund,Pepfar ,Maleria na Ukimwi nk

Mwisho kwenye Jeshi pia tuna ushirika ambao sio wazi na juzi tuu hapo walitia magari ya Msaada.

Ukweli ni kwamba Marekani inatumia Sana Tanznaia kutegemea Russia na China badala yake.

Asingekuwa Magufuli siasa za JK ziliegemea Marekani zaidi ndio maana viongozi wote wa Marekani wamewahi tembelea Tanzania except huyu Biden nae alimtuma VP Kamala.

USA anajitahidi kadiri awezavyo kuivuta Tanzania upande wake Marekani yaitahadharisha Tanzania juu ya Uchelewashwaji mradi wa LNG, Wawekezaji mbioni kujitoa

Ukweli kwamba kenya hupokea kiwango kidogo sana cha FDI. Ethiopia ndio top priority in subsaharan Africa na South Africa.
Saa hii Ethiopia na Marekani hazisikizani lakini majadiliano yaendelea. Ethiopia has the heart and soul of the US na huu Ukweli hutawahi kuharibika.

Uganda and Tanzania walipata more FDI than kenya in 2023. Ukweli ni kuwa kenya ni namba moja kwa waekezaji binafsiwa wallstreet lakini sio ya maserikali.

Trump atakapo kuwa Rais atavuruga hii mipango yote. Hio 400km expressway haitatengezwa. USA has never funded infrastructure projects in kenya, only UK up to the 90s.

Ile hydroelectric Dam ya grand high falls has been blocked. Hivyo kenya itakuwa energy deficient forever. Geothermal, wind and solar are too expensive sisi kuweza kushindana na low cost countries.

Pale manda island patakuwa USA military base.

Rais wa Ghana alikuwa na official visit kama hii na saa hizi Ghana is in DEFAULT!

Wawekezaji walitoroka kutoka soko la hisa. NSE is still at levels seen lastly 20 years ago.
Sikusikia debt forgiveness hapo nikajua our goose is cooked.
WB inashurutisha serikali kuongoza kodi na kuuza parastatals.

Shida ni kuwa for every parastatal sold parliament will create 2 new others. Hii ndio imekuwa muundo msingi wa kenya.
 
Hizi ni siasa za ndani za marekani hasa kipindi hiki cha uchaguzi .
Wakati wa G.w. Bush na Barack Obama marekani ilikuwa karibu zaidi na Tanzania

Trump akawa hana mpango na afrika :

Sio ajabu Trump akirudi kwa mara ya pili akaja na sera mpya .

Na hivi Tanzania na Ghana zikiwa ni nchi pekee afrika Mpaka sasa kupitisha sheria ya ushoga kuwa ni jinai hutaiona Marekani chini ya democrat waki sapoti Tanzania .

Kenya inaruhusu ushoga .
 
Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
La Kwanza, mko na huo uwezo wa kijeshi na kiuchumi? Na la pili, mnadhani ya kwamba Sisi ni burundi ama Uganda? Eti mtufanyie vile Russia inavyomfanyia Ukraine?

Una akili timamu Kweli?
 
La Kwanza, mko na huo uwezo wa kijeshi na kiuchumi? Na la pili, mnadhani ya kwamba Sisi ni burundi ama Uganda? Eti mtufanyie vile Russia inavyomfanyia Ukraine?

Una akili timamu Kweli?
Wewe mukunya tusije kusaficha icho kijiji chenu tuliza komwe.
 
Safi sana, hususan leo hii magaidi wa dini ya kiislamu wanazidi kuzagaa, muhimu tukajiandaa mapema.
 
Back
Top Bottom