Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Mimi naona Marekani sasa hivi inatapatapa! Kila mahali Afrika inatimuliwa,Africa Kaskazini na Africa ya Kati inatimuliwa!
Wakati Marekani duniani inakabiliwa na Russia kijeshi,upande mwingine inakabiliwa na China kiuchumi.
Hata hapo Kongo ambapo kuna vikundi vya M23 na ADF ambavyo vinatumiwa na Rwanda/Uganda kwa maslahi ya Marekani na Washirika wake kupora raslimali za Kongo naona ni swala la muda tu.
Hii ndio picha kubwa ya kile kinachoendelea duniani, wacha tuone hii michezo inaishia wapi🙂🙂
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Hii mbona muda mrefu sn walikwisha fanya hivi,most US companies HQ yao kwa Africa ipo either Kenya or SĄ and hata mafuta wanayochota somalia wanabeba wakitokea Kenya
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Mambo ya watu yanatuhusu nini, hangaika na mambo ya nchi yako.
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Sisi UAE wanatutambua pia.
 
Kwa hiyo mabeberu yameamua kuiteka kabisa hii himaya ya watu wa Africa mashariki??
 
Aisee hivi waafrika tutakua lini na akili? Nikweli hatujui njia za kupambana na rushwa mpaka upewe msaada wa bilioni 500 yenye masharti ya kupambana na rushwa?
Sisi kuliko kupambana na rushwa, wizi na udokozi tukaamua kuwapa wajomba zetu waarabu bandari zetu, misitu yetu na wanyama wetu. Kweli tuna akili kubwa.
 
Back
Top Bottom