Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Nenda taratibu usije ukamharibia bosi wako. Mwenyewe anatamani sana mwaliko wa kipekee wa Jumba Jeupe (personal state visit) lakini hana ujasiri kama wa “kichaa” Ruto. Anataka kupendwa na wote wakati wote.

Halafu usijeshangaa siku ukisikia Ruto baaadaye kapewa mwaliko kama huo Beijing. Yule ni mtu wa mikakati ya kimaslahi tu.
 
Huo ni mradi wa Barabara ambao ulikwama Toka enzi za Uhuru Kenyatta,na ni Mkopo Sasa hapo Kuna nini?

Wewe hujaona hapo nimekuwekea mradi wa gesi ya LNG Lindi ambao Marekani inabembeleza tuukamilishe haraka wa Trilioni zaidi ya 100?($42bln)

Tanzania tuna miradi Mingi ya hizo pesa kushinda Kenya.Huo ukifauku ndio utakuwa mradi mkubwa pekee Kenya wakati Tanzania tunayo ya kutosha.

Binafsi napendekea kuona mradi wa gesi unafaulu manaa utatufanga kuwa economic powerhouse wa Afrika Mashariki yote Hadi huko Ethiopia.
Dogo analyse vitu kama economist.Hakuna mtu atakupa mkopo Mara 3 zaidi ya Bajeti yako ya nchi uendeshe mradi.

Dont be a fool.LNG haihitaji pesa nyingi hivyo kufika dar.
Una copy copy tu vidata mtandaoni huko in real sence they are not working out.
 
Nilifikiria hili suala baada ya kuona Kenya ilivyo tambuliwa na USA kwenye hii ziara, nilijipatia hitimisho kuwa inawezekana ndani ya miaka 20 - 30 ijayo Kenya inaweza kuingia vitani na nchi mojawapo hapa Afrika mashariki, kama sio Uganda inaweza kuwa Tanzania
Umeona mbali balaa hili tunaletewa,Uganda hawana minerals resources kama Tanzania, itakuwa Tanzania time itaongea ,wanafukuzwa huko West Africa sasa wanakuja huku kwa majuha,tizama michango ya watu humu utajuwa waafrika kazi tunayo.
 
Huo ni mradi wa Barabara ambao ulikwama Toka enzi za Uhuru Kenyatta,na ni Mkopo Sasa hapo Kuna nini?

Wewe hujaona hapo nimekuwekea mradi wa gesi ya LNG Lindi ambao Marekani inabembeleza tuukamilishe haraka wa Trilioni zaidi ya 100?($42bln)

Tanzania tuna miradi Mingi ya hizo pesa kushinda Kenya.Huo ukifauku ndio utakuwa mradi mkubwa pekee Kenya wakati Tanzania tunayo ya kutosha.

Binafsi napendekea kuona mradi wa gesi unafaulu manaa utatufanga kuwa economic powerhouse wa Afrika Mashariki yote Hadi huko Ethiopia.
naona kuna issue ya serikali kupromote sana tutumie Gas asa baada ya raisi kutoka kwenye mikutano ya mabadiliko ya Tabia ya nchi ivi hakuna fungu lolote serikali imepata kwa ajili ya kuhamasisha wananchi tutumie nishati mbadala
 
Dogo analyse vitu kama economist.Hakuna mtu atakupa mkopo Mara 3 zaidi ya Bajeti yako ya nchi uendeshe mradi.

Dont be a fool.LNG haihitaji pesa nyingi hivyo kufika dar.
Una copy copy tu vidata mtandaoni huko in real sence they are not working out.
Wewe ni mbumbumbu na huelewi unachoongea.

Kwa hiyo alipokuja Kamala akasema Marekani itawekesa kwenye viwanda vya Betri ilikuwa ni Mkopo?

Punguani mkubwa,huo sio Mkopo ni mradi wa kiuwekezaji na sio hela zinatolewa Kwa Tanzania kuwa na akili badala ya kukurupuka.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1792499817639297241?t=khbCOK_iZgeSe06_AAHz8g&s=19
 
naona kuna issue ya serikali kupromote sana tutumie Gas asa baada ya raisi kutoka kwenye mikutano ya mabadiliko ya Tabia ya nchi ivi hakuna fungu lolote serikali imepata kwa ajili ya kuhamasisha wananchi tutumie nishati mbadala
Ndio kwanza juzi Samia alizindua mkakati wa matumizi ya Nishati safi.
 
Wewe ni mbumbumbu na huelewi unachoongea.

Kwa hiyo alipokuja Kamala akasema Marekani itawekesa kwenye viwanda vya Betri ilikuwa ni Mkopo?

Punguani mkubwa,huo sio Mkopo ni mradi wa kiuwekezaji na sio hela zinatolewa Kwa Tanzania kuwa na akili badala ya kukurupuka.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1792499817639297241?t=khbCOK_iZgeSe06_AAHz8g&s=19

Mi sijui nazungumza na kitoto cha darasa la ngapi.
Serikali ya marekani Haifanyi biashara so they will not invest in your industry.
Tegemea ni kampuni ya uwekezaji ije hapa iwekeze kwenye hiyo sekta so it’s not your 100 percent profit na ulivyo na viongozi mbumbumbu hata 10% hawatapata zaidi watagawa Tax releief.

Nakuuliza nani akupe mkopo wa Trilioni 100? Hapo hujanijibu una ruka ruka tu
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Ni wewe ulichelewa kujua hili. Ila Nashukuru kizazi kipya kitaelewa utofauti wetu na Kenya unapotokea. Ndio maana hii nchi inahitaji mwanaume. Kikosi cha mashangazi kitatupeleka pabaya. Kila siku kuzunguka kuomba unategwa na kukamatwa kirahisi
Kuna haja ya Kujenga urafiki wa nguvu na urusi au china Ili tuheshimiane Mjini
Tatizo china ni muoga Sana
 
Mi sijui nazungumza na kitoto cha darasa la ngapi.
Serikali ya marekani Haifanyi biashara so they will not invest in your industry.
Tegemea ni kampuni ya uwekezaji ije hapa iwekeze kwenye hiyo sekta so it’s not your 100 percent profit na ulivyo na viongozi mbumbumbu hata 10% hawatapata zaidi watagawa Tax releief.

Nakuuliza nani akupe mkopo wa Trilioni 100? Hapo hujanijibu una ruka ruka tu
Narudia kukwambia wewe ni mbumbumbu na sijui unangea utumbo gani hapa.

Nani au wapi nimesema Serikali ya Marekani inawekeza? Wanaowekesa ni kampuni za Marekani usiwe popoma.

Kwamba hatupati ngapi sijui nini ni uijinga wako tuu,sheria zinazotumika ni sheria za madini za Tanzania na zinaipa advantage ya Hadi 30% ya hicho kitakachowekezwa.

Pia Kodi zitakazokuws zinalipwa hapo ni matrilioni Nchi itakuwa inavuna.
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania

Huyu ni ladboy mwingine kwenye jamiiforums. Huyu Dada ni chawa mkubwa sana
 
Narudia kukwambia wewe ni mbumbumbu na sijui unangea utumbo gani hapa.

Nani au wapi nimesema Serikali ya Marekani inawekeza? Wanaowekesa ni kampuni za Marekani usiwe popoma.

Kwamba hatupati ngapi sijui nini ni uijinga wako tuu,sheria zinazotumika ni sheria za madini za Tanzania na zinaipa advantage ya Hadi 30% ya hicho kitakachowekezwa.

Pia Kodi zitakazokuws zinalipwa hapo ni matrilioni Nchi itakuwa inavuna.
Marekani akuache unavuna matrilioni,

Ile Twiga mineral sijui upuuzi gan wa magufuli unawapa bei gan saivi?
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Huyu ni ladboy mwingine kwenye jamiiforums. Huyu Dada ni chawa mkubwa sana

Quote
 
Marekani akuache unavuna matrilioni,

Ile Twiga mineral sijui upuuzi gan wa magufuli unawapa bei gan saivi?
Tunapata kwenye share agreement na tunapata kwenye Kodi nk.

Sio Twiga tuu ziko nyingi tuu kama mamba nk

Sheria za madini zitakazofuatwa ni za Tanzania ,tutapata matrilioni kama tunavyopta mabilioni GGM,North Mara nk
 
Back
Top Bottom