Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO

..Kenya hawataki vita na Tanzania, bali wanataka kufanya biashara na sisi.

..Mahusiano yetu ya kibiashara na Kenya ni makubwa kuliko majirani zetu wote, na Afrika kwa ujumla.

..Watanzania turekebishe MITIZAMO yetu. Badala ya kufikiria uadui na Kenya tufikirie fursa za kibiashara na namna ya kufaidika zaidi kiuchumi.

..Jirani anayetishia usalama wa Tanzania ni nchi kama Msumbiji ambayo imeshindwa kuthibiti magaidi nchini kwao.

..Bajeti yetu ya ulinzi imeongezeka kutokana na tishio la usalama ktk mpaka wetu na Msumbiji.

..Hatujawahi kusikia habari kama hizo ktk mpaka wetu na Kenya. Badala yake tunasikia habari za maendeleo ikiwemo kujengwa kwa miradi wezeshi ya biashara ya mpakani.

..Naendelea kusisitiza kwamba Watanzania tunapaswa kubadilika KIMTIZAMO kuhusu Kenya.
Kenya Huwa inatumia Kila juhudi kutuhujumu tofauti na wewe unavyosema hapa
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania


Mama yetu anashinda kutwa nzima kufikiria tumbo la familia na wadau wenzake wakina kikwetwe badala ya kufikiria mambo muhimu. Wenzetu wana katiba mpya pamoja na kuwa na ukabila katiba yao hakuna mtu anasema ni mbaya. Pili wana mfumo mzuri wa Bunge, Mahakama , Uraisi/uongozi. Wana demokrasia na diaspora wao wana haki na kuchangia nchi yako. Sisi viongozi wanajiangalia wenyewe na kufikiria jinsi ya kuiba kura.

Juzi tu wawekezaji kenya wameshawekeza na kutoa kazi 25,000 yaani wanafanya kazi kenya lakini kazi ni za IT huko USA
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania


Mama anafikiria kuiba kura tu na kuchenga majukumu ya katiba

1716469667902.png
 
Sasa inafika hata 10% ya Bajeti yetu? Kwa taarifa Yako tuu Wanaoitwa wahisani wanacha ngia chini ya 25% ya Bajeti ya Nchi.
mkishiba misaada na mikopo ndo huwa mnasema hv ? omba USA asione huu upuuz wenu , shule , afya na ulinz bado hamuez jiendesha wewe unazungumzia mnaweza jiendesha kwa zaid ya 50% bila utegemez ?
 
Wanahongwa Ili wawe wasaliti wa Africa

View: https://www.instagram.com/p/C7TymF0u75C/?igsh=OWhmODE0M21iOW84

My Take: Kenya wameweka mgombea wa Nafasi ya AU Commission bwana Raila Odinga,Kwa msimamo huu Hawa ni WA kupiga chini labda pengine iwe heshima binafsi Kwa RAU.

siku ukikua kiakili na kuyatafakari yanayoendelea leo utagundua yote unayaamini ni kinyume , leo hii Nchi za Asia ndo zinainyonya Afrika na sio Ulaya ila watu weusi akili kisoda bado akili ipo mwaka 1960
 
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.

Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.

thecitizentz

US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.

Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.

The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.

Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.

Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Mambo yakenya yanakuhusu nn
 
Back
Top Bottom