Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Subiri June uoneToa upumbavu wako hapa, Bajeti ipi inayotegemea Marekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri June uoneToa upumbavu wako hapa, Bajeti ipi inayotegemea Marekani?
Slave mentalityKenya itapaa sn kimaendeleo
ARV, vyandurua, budget, busket fund n.k vinaitegemea USAToa upumbavu wako hapa, Bajeti ipi inayotegemea Marekani?
We ndiyo slave, bila wadau wakubwa wa maendeleo huwezi kuendeleoaSlave mentality
Sasa inafika hata 10% ya Bajeti yetu? Kwa taarifa Yako tuu Wanaoitwa wahisani wanacha ngia chini ya 25% ya Bajeti ya Nchi.ARV, vyandurua, budget, busket fund n.k vinaitegemea USA
June ipi ,Mimi najua sisubirii kuambiwaSubiri June uone
Kuna ushirika wa nchi ipi unayonufaika wewe pekee?hivi bado kuna watu wapo ambao wanaamini ushirika wa marekani ni wakufaidika tu?
DFP karibu zote ni donated by USA mpaka vyooSasa inafika hata 10% ya Bajeti yetu? Kwa taarifa Yako tuu Wanaoitwa wahisani wanacha ngia chini ya 25% ya Bajeti ya Nchi.
Labda ule wa waarabu kuchukua bandariKuna ushirika wa nchi ipi unayonufaika wewe pekee?
June ipi ,Mimi najua sisubirii kuambiwa
Tuliza mshono mkuu hatuna namnaJune ipi ,Mimi najua sisubirii kuambiwa
Mawazo, kuendesha Kenya ambapo ndani ake kuna Raila ni hatari na nusuUkiitazama vizuri picha halafu ukaambiwa Rais mzee ni yupi kati ya hao wawili lazima useme ni huyo mweusi, Ruto mbona kachakaa sana!!?
Hakuna wengine tunasisitiza ushirika wa kikanda ndiyo muhimu,zaidi ni kujitegemeaKuna ushirika wa nchi ipi unayonufaika wewe pekee?
Hawana noma ukienda nao sawa.Maza mwenyewe anatafuta upenyo aingie huko
Sentensi ya kiuendawazimu hiiMarekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.
Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.
thecitizentz
US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.
Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.
The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.
Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.
Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Tatizo wamechagua mshirika dhaifu na mwogaMarekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika Mashariki.
Kenya anatengenezwa kuwa kibaraka wa West Ili kuiba Mali za Congo na eneo Zima la Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara.
thecitizentz
US President Joe Biden is expected to designate Kenya as a major non-North Atlantic Treaty Organisation (Nato) ally during a three-day state visit by Kenyan President William Ruto this week, a source familiar with the plans said.
Kenya would be the first Sub-Saharan African country to receive the designation, reflecting Washington's drive to upgrade its relations with Nairobi at a time of growing Russian and Chinese influence in Africa.
The two leaders will meet in the Oval Office on Thursday, followed by a joint news conference and a state dinner.
Senior administration officials said Biden and Ruto would discuss a range of issues from trade to debt relief and the way forward for Haiti, Ukraine, Sudan, and other areas during their meeting.
View attachment 2997412
My Take
Tusikubali Kenya kuwa na Nguvu kubwa za Kijeshi sebuleni kwetu.Tufanye kama Russia anavyomfanyia Ukraine.
Huu ushirika ni kitisho Cha moja Kwa Moja Cha usalama na maslahi ya Tanzania
Nilifikiria hili suala baada ya kuona Kenya ilivyo tambuliwa na USA kwenye hii ziara, nilijipatia hitimisho kuwa inawezekana ndani ya miaka 20 - 30 ijayo Kenya inaweza kuingia vitani na nchi mojawapo hapa Afrika mashariki, kama sio Uganda inaweza kuwa Tanzania
Dhaifu? Ona hii hapa 👇Tatizo wamechagua mshirika dhaifu na mwoga