Marekani imetumia takribani Trilioni 15 kuokoa maisha ya Watanzania kwa miaka 20, Urusi imetumia kiasi gani?

Mnapenda vya bure sana, US hanaga cha bure ndomana mnapakwa LGBTQ
Mbuzi wanaofirana mahakama ya mbuzi vingungūti amesababisha Marekani??
Tunashindwaje kujiamini?
Mbaazi kukosa maua visingizio Kwa jua[emoji15][emoji12]
 
Kwa kutoa lawama bila kutoa ufumbuzi umefuzu!
Wanaonufaikä na mali asili Hakika unawajua!
Umechukua hatua gani???
Tatizo lako ni kutaka pepo kufa Hutaki![emoji56][emoji15][emoji12]
 
Kosa la nanj??
 
Mkuu nakusikitikia sana, hii ni ile mentality ya kaka yangu tajiri lazima anisaidie. You should struggle to build your economy ndio maana sasa mnalazimishiwa ushoga. Na bado Corona version two haijaja, ndio utagundua mambo sio poa.
Umeandika ujinga!
Mwenye mentality ya kaka yangu tajiri ni ww!
Watu wanapambana na maisha hadi wengine wanakufa!
Anae kulazimisha ushoga nani??
Unacho lazimishwa ni kuacha kuingilia falagha za watu! Kama una ubavu wa kuadhibu na kuwahukumu umba wako!
 
Usipende vya bure Sasa hv unatakiwa ubinue t.ako kulipa fadhila.
jitu kama hili halielewi kwamba ujinga wetu wtz unatokana na kusaidiwa hovyo. Tz safari bado ni ndefu sana
 
Usipende vya bure Sasa hv unatakiwa ubinue t.ako kulipa fadhila.
jitu kama hili halielewi kwamba ujinga wetu wtz unatokana na kusaidiwa hovyo. Tz safari bado ni ndefu sana
Acha upambavu mkuu,
Hiyo ni hiari ya mtu na maamuzi yake akiwa mpambavu
 
USA hafai kuwa dunia hii, ni nyoka na adui mkubwa

Mkuu, wewe hutamani kuja nchi ya maziwa na asali USA? Kila mtu ndoto yake ni kufika kiwanja USA. Nchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu USA
 
Kwasababu USA ndie anaetengeneza hayo magonjwa anasambaza, anakupa mkopo wa chanjo,madawa na tiba, nchi yako inadaiwa 90+Trilion za kitanzania kwa mikopo halali na isiyo halali ya beberu mmoja Mubadi sana..USA..
Kabla Marekani hajawa superpower hakukuwa na milipuko ya magonjwa duniani?
 
Kwan hujui ukimwi wameutemgeneza wao maabara???
 
Sifa ya Russia ni kutokuhoji chaguzi za wizi chini ya CCM.
 
TAYARISHA TAKO....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…