Marekani imetumia takribani Trilioni 15 kuokoa maisha ya Watanzania kwa miaka 20, Urusi imetumia kiasi gani?

Marekani imetumia takribani Trilioni 15 kuokoa maisha ya Watanzania kwa miaka 20, Urusi imetumia kiasi gani?

Umenikumbusha wakati tulipokuwa tunakutana na warusi kwenye vijao vyetu vya kikazi. Mnafanyia vikao Sau Paulo, Brazil, mrusi lazima atakuja vodka za kutosha. Ila siyo wachoyo, wakati wa breakfast, lunch au dinner, lazima chupa ya vodka itakuwa mezani. Tulikuwa tunashangaa sana. Yaani wakati wa breakfast, mrusi anapiga glass ya vodka, ndiyo anaenda kazini!!
Sawa.....

Isije ikawa kama mlevi wa "kahawa tu" je unywaji wao huo kuelekea kazini wa una athari hasi kiutendaji ?!!!
 
Beberu Marekani Ametoa Msaada wa Shilingi Tilioni 15 Nchini Tanzania Kwa miaka 20 iliyopita katika Mpango Mmoja tuu wa.kupambana na Magonjwa hasa Ukimwi na Kifua Kikuu na kuokoa maelfu ya maisha ya Watanzania kwenye sekta ya Afya..

Hapo sijagusia MCCL,USAid Wala Wakfu wa Bill & Melinda Gates Foundation kwenye Kifua Kikuu,Malaria nk.


My Take..
Sielewi Mnaoshobokea Russia Huwa mnafanya hivyo Kwa Maslahi yapi hasa?
Anaejua kiasi ambacho Russia amewahi toa Kwa Tanzania of any kind anijuze..

Nawashukuru sana beberu USA na nitasimama na Marekani mda wote na wakati wote.

Mungu ibariki Tanzania na Wabariki Mabeberu America.

Ukianza kushobokea misaada ya nje kama bibi anayechagua bwana mwenye pesa , huendelei ng'o.
 
Hivi unajua mipango yao ni ipi! Wanataka ku create demand na kutufanya dependants wa hizo ndude. Halafu baadaye wanakata misaada. You know what next, ni kusababisha angamizo kubwa kwa sisi wabantu.
[emoji1787][emoji1787]
 
hakuna vitu vya bure mzeee
na hakuna mfanya biashara anaetaka hasara ....au hakuna tajiri yoyote anaefanya kazi kwa hasara wote hao ulio wataja wanakupa msaada na wao wanaangalia mali zilizopo chini ya ardhi .....
ukiona nchi yako imepewa msaada wa fedha ujue wao wamebeba mara mbili ya huo msaada...full stop
[emoji1787][emoji1787]
 
Fimra duni hizi. Ebu tuambue US (USAID), Finland (FINIDA), Japan (JICA), wanachukua nini kutoka Tanzania?

Kuna watu inaonekana mmejaliwa ubahili wa ajabu. Ina maana huwa hamwezi kumsaidia chochote mtu yeyote mpaka mpewe kitu. Ninyi ndio wale ambao hata ukimnunulia mhudumu wa baa soda au bia, baadaye mnaishia kumtaka mkafanye naye mambo ya hovyo, kisa eti amekunywa soda au bia yako.

Mataifa haya makubwa yanapozipa msaada nchi maskini, siyo kwamba wanategemea sana wachukue kitu toka kwenye nchi yako. Wakati fulani wanatafuta tu recognition, heshima au uhusiano mzuri. Wanajua kuwa wakiwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi, wataungwa mkono kwenye masuala ya kimataifa, wakati fulani kwenye masuala ya kiulinzi, n.k. lakini siyo eti wanatarajia wapewe madini kama wengi wanavyodanganywa na kuamini.

Unajaribu kuaminisha tu. Wao wanajipambanua wazi. Wanasema hawana rafiki wala adui wa kudumu, ila masilahi.
 
ndipo tulipojifunza hii michezo..mf. Benki ya dunia inatoa Trilioni 1.5 kwa ajili ya elimu TZ. bilioni 100 zinachomolewa kwa ajili ya shamra shamra za hafla ya kuzipokea, Trilion 1.4 inaenda wizara husika, tunachomoa tena 100 nyingine kwa ajili ya posho na kuandaa mpango kazi wa kuzitumia.. mpaka zifike chini kwnye halmashauri husika zimebaki b900. huko theluthi 'zitapotea' kwenye vitabu, theluthi mbili itajenga majengo kwa overinflated prices.
[emoji1787]
Fikra bora kabisaaaa....

Agiza karanga mbichi nusu kilo zikupe joto kwa ajili ya shemeji yangu[emoji1787]
 
Beberu Marekani Ametoa Msaada wa Shilingi Tilioni 15 Nchini Tanzania Kwa miaka 20 iliyopita katika Mpango Mmoja tuu wa.kupambana na Magonjwa hasa Ukimwi na Kifua Kikuu na kuokoa maelfu ya maisha ya Watanzania kwenye sekta ya Afya..

Hapo sijagusia MCCL,USAid Wala Wakfu wa Bill & Melinda Gates Foundation kwenye Kifua Kikuu,Malaria nk.


My Take..
Sielewi Mnaoshobokea Russia Huwa mnafanya hivyo Kwa Maslahi yapi hasa?
Anaejua kiasi ambacho Russia amewahi toa Kwa Tanzania of any kind anijuze..

Nawashukuru sana beberu USA na nitasimama na Marekani mda wote na wakati wote.

Mungu ibariki Tanzania na Wabariki Mabeberu America.
Mawazo kama haya ni dalili ambayo sio nzuri kwa mwanaume
 
Fimra duni hizi. Ebu tuambue US (USAID), Finland (FINIDA), Japan (JICA), wanachukua nini kutoka Tanzania?

Kuna watu inaonekana mmejaliwa ubahili wa ajabu. Ina maana huwa hamwezi kumsaidia chochote mtu yeyote mpaka mpewe kitu. Ninyi ndio wale ambao hata ukimnunulia mhudumu wa baa soda au bia, baadaye mnaishia kumtaka mkafanye naye mambo ya hovyo, kisa eti amekunywa soda au bia yako.

Mataifa haya makubwa yanapozipa msaada nchi maskini, siyo kwamba wanategemea sana wachukue kitu toka kwenye nchi yako. Wakati fulani wanatafuta tu recognition, heshima au uhusiano mzuri. Wanajua kuwa wakiwa na uhusiano mzuri na mataifa mengi, wataungwa mkono kwenye masuala ya kimataifa, wakati fulani kwenye masuala ya kiulinzi, n.k. lakini siyo eti wanatarajia wapewe madini kama wengi wanavyodanganywa na kuamini.
Hakuna msaada wowote unaupata wewe hizo nchi ulizotaja hapo hao ni G7 group na wana common interest .
 
Halafu!; Mtz yeyeto anae ishabikia russia hajui kitu mbaya aliyotufanyia mrussi wakati iddi amin alipo tuvamia na kuzuka vita ya Kagera!
[emoji116][emoji116]
mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seeking missiles ambazo zilituishia!
Kukosa Hekima ya nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na wao kutusaidia!; amini angeendelea kutamba mwanza na vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi kubalance vita ili kuuza silaha zake
Sawa.....

Mkuu hivi wewe mtoto eee?!!![emoji1787][emoji1787]

Ni kweli alimsaidia....

Kama ilivyo kweli kwa Marekani kuwahiliki wajapani kule Hiroshima na Nagasaki na leo ni marafiki zao wa kupika na kupakua......
 
Unajaribu kuaminisha tu. Wao wanajipambanua wazi. Wanasema hawana rafiki wala adui wa kudumu, ila masilahi.
Hakika....

Na kwa maslahi hayohayo ndio maana bado sisi tutaendelea kuwa marafiki wa kila mmoja wao....ila tuzidi kuboresha yaliyomo katika mahusiano yetu tu [emoji1787][emoji1787]
 
Beberu Marekani Ametoa Msaada wa Shilingi Tilioni 15 Nchini Tanzania Kwa miaka 20 iliyopita katika Mpango Mmoja tuu wa.kupambana na Magonjwa hasa Ukimwi na Kifua Kikuu na kuokoa maelfu ya maisha ya Watanzania kwenye sekta ya Afya..

Hapo sijagusia MCCL,USAid Wala Wakfu wa Bill & Melinda Gates Foundation kwenye Kifua Kikuu,Malaria nk.


My Take..
Sielewi Mnaoshobokea Russia Huwa mnafanya hivyo Kwa Maslahi yapi hasa?
Anaejua kiasi ambacho Russia amewahi toa Kwa Tanzania of any kind anijuze..

Nawashukuru sana beberu USA na nitasimama na Marekani mda wote na wakati wote.

Mungu ibariki Tanzania na Wabariki Mabeberu America.
Ficha ujinga mkuu,mzungu hajawahi kutupa hela ila huwa anawekeza
 
Back
Top Bottom