Marekani inaendelea kusimama kinyume cha amani

Marekani inaendelea kusimama kinyume cha amani

Kinachonifurahisha baada ya marekani kutoa hilo tamko la kupeleka hayo mabomu, Russia imekaa kimya. Nina uhakika hilo jambo la Russia kutojibu chochote limemchanganya sana marekani
Ndio maana mnasaini mikataba bila kipendele cha muda , wasomi hovyo kbs , wananchi tukikaa kimya mnachanganyikiwa
 
Kwamba hujaona ujumbe uliopo kwenye hii habari au vipi?
Wewe inaonekana kichwa chako ni mfuko wa kubebea tu ulimi na meno.
Ww huna akili na hujijui , yaan Urusi yupo ndan ya ukraine bila ridhaa ya serikal ya ukraine ila huyo hana kosa ila Usa anaisaidia Ukraine dhidi ya Mvamizi huyo ndo mwenye makosa , ndio maana mnsaini mikataba bila kipengele cha muda vichwa vimeoza tyr
 
Russia huyu aliyempigia magoti Prigozhin kiongozi wa genge la wahuni ambao walikuwa tayari kuigaragaza Moscow baada kuteka kituo kikuu cha jeshi Rostove Russia Belarus akamuokoa Putin ambaye alishajificha chumba chini ya Ardhi?
Yeah ndo huyo huyo anaepigana na mataifa zaidi ya thelathini kila kukicha kuchangishana silaha lkn wanashindwa kurudisha maeneo yaliyochukuliwa mkuu..
 
Ww huna akili na hujijui , yaan Urusi yupo ndan ya ukraine bila ridhaa ya serikal ya ukraine ila huyo hana kosa ila Usa anaisaidia Ukraine dhidi ya Mvamizi huyo ndo mwenye makosa , ndio maana mnsaini mikataba bila kipengele cha muda vichwa vimeoza tyr
Wewe ongea tu kwakuwa ni mtoto wa juzi huelewi historia.... Bahati mbaya hutaki kujifunza
 
Back
Top Bottom