Marekani inafanya uharibifu mwingine Afghanistan na Iraq kwa faida ya nani?

Marekani inafanya uharibifu mwingine Afghanistan na Iraq kwa faida ya nani?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kwa namna Marekani ilivyoonyesha upendeleo wa dhahiri, naweza kusema inatengeneza uharibifu mwingine sijui kwa faida gani!

Je, hali hii inaiweka dunia kwenye wakati gani? Je, hii ni mbinu ya Marekani kuendelea kuzimiliki nchi za Mashariki ya Kati au kiburi tu?

Je, Marekani inatawaliwa na Israel kwa mlango wanyuma? Kunani?
 
Lazima utambue tupo chini ya Empire ya USA, kabla ya hapo ilikuwa UK, France.

China inaibuka ila nguvu kubwa inatumika kuizima. Russia ilishindwa miaka ya tisini.

Sasa hivi kuna utawala wa Magharibi USA na anak-control NATO na EU na washirika wengine kimkakati dunia nzima Japan, South Korea, Indonesia, Nigeria, nchi nyingi za Dunia kupitia IMF, World bank, UN., Gas, mafuta, chakula duniani na bidhaa nyingi muhimu.
 
Lazima utambue tupo chini ya Empire ya USA, kabla ya hapo ilikuwa UK, France.

China inaibuka ila nguvu kubwa inatumika kuizima. Russia ilishindwa miaka ya tisini.

Sasa hivi kuna utawala wa Magharibi USA na Aakicontrol NATO na EU na washirika kimkakati dunia nzima Japan, South Korea, Indonesia, Nigeria, nchi nyingi za Dunia kupitia IMF, World bank, UN.
China ni kibaraka wa USA
 
China ni kibaraka wa USA
China anaangalia miaka 100, 500, 1000.Sio kibaraka ila wanategemeana sana na USA.

Export zake nyingi bado ni USA, Wawekezaji wake wakubwa bado ni USA.

Anamiliki kiasi kikubwa cha dollar kuliko nchi yoyote. Huwezi kuziuza kwa wakati mfupi kirahisi bei itashuka sana.

Timing mpe miaka ishirini, uone Dunia itakapokuwa
 
China anaangalia miaka 100, 500, 1000.Sio kibaraka ila wanategemeana sana na USA.

Export zake nyingi bado ni USA, Wawekezaji wake wakubwa bado ni USA.

Anamiliki kiasi kikubwa cha dollar kuliko nchi yoyote. Huwezi kuziuza kwa wakati mfupi kirahisi bei itashuka sana.

Timing mpe miaka ishirini, uone Dunia itakapokuwa
China hamna kitu
 
Kuna watu ukiwaambia Marekani, nchi wanachama wa NATO na Israel ni mataifa ya uovu duniani, huwa hawataki kuamini. Ila ukweli ndiyo huo. Haya mataifa mawili yananuka uovu na uharibifu tu.

Ukifuatilia kwa ukaribu, utagundua vurugu, vita na fujo zote zinazotokea duniani; chanzo ni Marekani, NATO, au Israel!
 
Miaka ya sabini. Mlikuwa nyie (Tanzania) level ya juu kiuchumi kuliko yeye. Alikuwa analima na jembe la mkono.
?
Miaka 40, 50 ni nchi ya pili kwa uchumi, top 5 kijeshi, kiwanda cha dunia asilimia 70% za bidhaa zote zinazalishwa huko.

Fikiria miaka 20, 30, 40 ijayo atakuwa wapi? Ni yeye kujiongeza tu kuhusu soko la ndani. Litakuwa kubwa kuliko USA.
 
Kuna watu ukiwaambia Marekani, nchi wanachama wa NATO na Israel ni mataifa ya uovu duniani, huwa hawataki kuamini. Ila ukweli ndiyo huo. Haya mataifa mawili yananuka uovu na uharibifu tu.

Ukifuatilia kwa ukaribu, utagundua vurugu, vita na fujo zote zinazotokea duniani; chanzo ni Marekani, NATO, au Israel!
Amka usingizini utajikojolea
 
Kuna watu ukiwaambia Marekani, nchi wanachama wa NATO na Israel ni mataifa ya uovu duniani, huwa hawataki kuamini. Ila ukweli ndiyo huo. Haya mataifa mawili yananuka uovu na uharibifu tu.

Ukifuatilia kwa ukaribu, utagundua vurugu, vita na fujo zote zinazotokea duniani; chanzo ni Marekani, NATO, au Israel!
Chaa ajabu hyo Israel inayopenda vita kuliko aman linaitwaa taifaaa teuleee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..


cjui wanamwabudu MUNGU yupi huyo wao.
 
Israeli babies killed by Hamas
IMG_20231013_160625.jpg
 
Kwa namna Marekani ilivyoonyesha upendeleo wa dhahiri, naweza kusema inatengeneza uharibifu mwingine sijui kwa faida gani!

Je, hali hii inaiweka dunia kwenye wakati gani? Je, hii ni mbinu ya Marekani kuendelea kuzimiliki nchi za Mashariki ya Kati au kiburi tu?

Je, Marekani inatawaliwa na Israel kwa mlango wanyuma? Kunani?
hv umevuta bangi ? mf hamas wangevamia Tanzania , mngekaa kimya tu ?
 
Kuna watu ukiwaambia Marekani, nchi wanachama wa NATO na Israel ni mataifa ya uovu duniani, huwa hawataki kuamini. Ila ukweli ndiyo huo. Haya mataifa mawili yananuka uovu na uharibifu tu.

Ukifuatilia kwa ukaribu, utagundua vurugu, vita na fujo zote zinazotokea duniani; chanzo ni Marekani, NATO, au Israel!
duh
 
Chaa ajabu hyo Israel inayopenda vita kuliko aman linaitwaa taifaaa teuleee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..


cjui wanamwabudu MUNGU yupi huyo wao.
duh mkiishambulia mnataka isijibu kisa inapebda aman?
 
Back
Top Bottom