Marekani inafanya uharibifu mwingine Afghanistan na Iraq kwa faida ya nani?

Marekani inafanya uharibifu mwingine Afghanistan na Iraq kwa faida ya nani?

Kwa namna Marekani ilivyoonyesha upendeleo wa dhahiri, naweza kusema inatengeneza uharibifu mwingine sijui kwa faida gani!

Je, hali hii inaiweka dunia kwenye wakati gani? Je, hii ni mbinu ya Marekani kuendelea kuzimiliki nchi za Mashariki ya Kati au kiburi tu?

Je, Marekani inatawaliwa na Israel kwa mlango wanyuma? Kunani?
Kwa faida yake. USA na NATO yake hawafanyi kisichokuwa na faida nao.

Ghaza iligunduliwa natural gas nyingi.

Soma zaidi: Gaza s gas fields: A symbol of Palestine s shackled economic potential
 
China anaangalia miaka 100, 500, 1000.Sio kibaraka ila wanategemeana sana na USA.

Export zake nyingi bado ni USA, Wawekezaji wake wakubwa bado ni USA.

Anamiliki kiasi kikubwa cha dollar kuliko nchi yoyote. Huwezi kuziuza kwa wakati mfupi kirahisi bei itashuka sana.

Timing mpe miaka ishirini, uone Dunia itakapokuwa
Hiyo miaka 20 Marekani kakaa na kuangalia tu
 
Kuna watu wengi hawajui kwamba unapozungumzia marekani unazungumzia Israel. Sehemu kubwa ya maswala ya ulinzi pamoja na teknorojia ya marekani inashikiliwa na wa-israel
UONGO
 
Kuna watu ukiwaambia Marekani, nchi wanachama wa NATO na Israel ni mataifa ya uovu duniani, huwa hawataki kuamini. Ila ukweli ndiyo huo. Haya mataifa mawili yananuka uovu na uharibifu tu.

Ukifuatilia kwa ukaribu, utagundua vurugu, vita na fujo zote zinazotokea duniani; chanzo ni Marekani, NATO, au Israel!
Nani kamchokoza mwenzake?
 
Nani kamchokoza mwenzake?
Ni watu wasio ifahamu historia ya hilo eneo pekee, ndiyo watasema Hamas + Wapalestina ndiyo wachokozi.

Ila kwa akina sisi ambao tumesoma walau kwa uchache historia ya Palestina kabla ya 1948, tunatambua fika hao Zionists (Mayahudi) ndiyo wachokozi namba 1.
 
Back
Top Bottom