Marekani inafanya uharibifu mwingine Afghanistan na Iraq kwa faida ya nani?

Kwa faida yake. USA na NATO yake hawafanyi kisichokuwa na faida nao.

Ghaza iligunduliwa natural gas nyingi.

Soma zaidi: Gaza s gas fields: A symbol of Palestine s shackled economic potential
 
Hiyo miaka 20 Marekani kakaa na kuangalia tu
 
Kuna watu wengi hawajui kwamba unapozungumzia marekani unazungumzia Israel. Sehemu kubwa ya maswala ya ulinzi pamoja na teknorojia ya marekani inashikiliwa na wa-israel
UONGO
 
Nani kamchokoza mwenzake?
 
Nani kamchokoza mwenzake?
Ni watu wasio ifahamu historia ya hilo eneo pekee, ndiyo watasema Hamas + Wapalestina ndiyo wachokozi.

Ila kwa akina sisi ambao tumesoma walau kwa uchache historia ya Palestina kabla ya 1948, tunatambua fika hao Zionists (Mayahudi) ndiyo wachokozi namba 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…