Marekani inaionea wivu Urusi, Pamoja na vikwazo bado inapata pesa zaidi sasa kuliko hapo kabla. Sasa inawaza kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya Urusi

Marekani inaionea wivu Urusi, Pamoja na vikwazo bado inapata pesa zaidi sasa kuliko hapo kabla. Sasa inawaza kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya Urusi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Marekani imesusia mafuta ya urusi bado urusi inapeta! Nchi za magharibi zimeiwekea urusi vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000 lakini ndo sasa inapata pesa zaidi! Marekani inaumiza kichwa kuwaza waifanyieje Urusi ili kuikomoa kiuchumi?

Marekani imekuja na wazo lisilotekelezeka!! Inasema itaweka ukomo wa bei ya mafuta ya urusi!! Yaani mafuta ni ya Urusi, lakini bei kiduchu apange Marekani!!

Ingewezekana labda bkama marekani ingekuwa mnunuzi pekee wa mafuta hayo!! Watu husema "ukisusa sie twala". Nchi za magharibi zimesusia lakini India na China zimeyachangamkia!! Sasa bila aibu marekani inasema itazishawishi China na India zikubali!! Hicho kitu hakiwezekani.

China na India wanajua kuwa Marekani si rafiki wa kweli, hawawezi kuiunga mkono kudhulumu mchana kweupe!! Zinajua pia leo mlengwa ni Urusi, lakini kesho mlengwa anaweza kuwa China hasa kutokana na mgogoro wa Taiwan na China ambapo Marekani inataka kuitumia Taiwan kuidhoofisha China kama ambavyo inaitumia ukraine kutaka kuidhoofisha Urusi.

India pia sera yao ni ya kukataa kuchaguliwa marafiki na maadui na nchi za nje! Haiiamini marekani hata kidogo. Kwa mfano Marekani ilikuwa inaizuia India isinunue makombora ya ulinzi wa anga ya S400 toka Urusi. Lakini India ikaigomea!!

Marekani italazimika kuiona Urusi inapeta kiuchumi!! Vikwazo walivyoweka vimewaumiza wao zaidi na kuifanya pesa ya Urusi ruble iwe na nguvu zaidi kuliko kabla ya vikwazo!
 
Hivi kiduku yeye mafuta ananunuaga wap
Nilidhani naye angeungana na India, China kununua mafuta ya Mrusi

Na vip BRICS wote wananujua mafuta kwa Mrusi?
 
Hivi kiduku yeye mafuta ananunuaga wap
Nilidhani naye angeungana na India, China kununua mafuta ya Mrusi

Na vip BRICS wote wananujua mafuta kwa Mrusi?
BRICS
Russia ndio muuzaji
India ananunua kwa Iran na Sasa Kwa Russia.

Brazil nahisi ananunua kwa akina Latino wenzake.
South Afrika ananunua kwa akina Angola na soud Arabia.

Hawa ni marafiki wakihitaji kutoka Kwa Urusi wataletewa Hadi mlangoni yakisindikizwa na Iskander 😃😃😃😃
 
Boris Yelstin Rais wa zamani wa Urusi muda mfupi kabla ya kustaafu alichagua mawaziri wakuu kadhaa na kuwafukuza hadi akapatikana Vladmir akaridhika nae akamuachia Nchi …leo Dunia imethibitisha ubora wa maamuzi yale
 
Wakishaweka tu, gharama za Mafuta zitapanda zaidii ,Kwa sababu Wachina, waindi na washrika wote wa Mrusi, wataendelea kununua mafuta Kwa Bei ileile .


Kitakachofuata ???? Samia wenu atapigwa Tena Bilion 200 nyingine
 
Marekani imesusia mafuta ya urusi bado urusi inapeta! Nchi za magharibi zimeiwekea urusi vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000 lakini ndo sasa inapata pesa zaidi! Marekani inaumiza kichwa kuwaza waifanyieje Urusi ili kuikomoa kiuchumi?

Marekani imekuja na wazo lisilotekelezeka!! Inasema itaweka ukomo wa bei ya mafuta ya urusi!! Yaani mafuta ni ya Urusi, lakini bei kiduchu apange Marekani!!

Ingewezekana labda bkama marekani ingekuwa mnunuzi pekee wa mafuta hayo!! Watu husema "ukisusa sie twala". Nchi za magharibi zimesusia lakini India na China zimeyachangamkia!! Sasa bila aibu marekani inasema itazishawishi China na India zikubali!! Hicho kitu hakiwezekani.

China na India wanajua kuwa Marekani si rafiki wa kweli, hawawezi kuiunga mkono kudhulumu mchana kweupe!! Zinajua pia leo mlengwa ni Urusi, lakini kesho mlengwa anaweza kuwa China hasa kutokana na mgogoro wa Taiwan na China ambapo Marekani inataka kuitumia Taiwan kuidhoofisha China kama ambavyo inaitumia ukraine kutaka kuidhoofisha Urusi.

India pia sera yao ni ya kukataa kuchaguliwa marafiki na maadui na nchi za nje! Haiiamini marekani hata kidogo. Kwa mfano Marekani ilikuwa inaizuia India isinunue makombora ya ulinzi wa anga ya S400 toka Urusi. Lakini India ikaigomea!!

Marekani italazimika kuiona Urusi inapeta kiuchumi!! Vikwazo walivyoweka vimewaumiza wao zaidi na kuifanya pesa ya Urusi ruble iwe na nguvu zaidi kuliko kabla ya vikwazo!
Sio vikwazo 6000...ni VIKWAZO ZAIDI YA 12,000..MPAKA SASA.. KWA MUJIBU WA TAARIFA RASMI ZA WIZARA YA MAMBO YA NJE YA RUSSIA... haijawahi tokea Duniani. Iran ina takribani vikwazo 3000.
 
Marekani imesusia mafuta ya urusi bado urusi inapeta! Nchi za magharibi zimeiwekea urusi vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000 lakini ndo sasa inapata pesa zaidi! Marekani inaumiza kichwa kuwaza waifanyieje Urusi ili kuikomoa kiuchumi?

Marekani imekuja na wazo lisilotekelezeka!! Inasema itaweka ukomo wa bei ya mafuta ya urusi!! Yaani mafuta ni ya Urusi, lakini bei kiduchu apange Marekani!!

Ingewezekana labda bkama marekani ingekuwa mnunuzi pekee wa mafuta hayo!! Watu husema "ukisusa sie twala". Nchi za magharibi zimesusia lakini India na China zimeyachangamkia!! Sasa bila aibu marekani inasema itazishawishi China na India zikubali!! Hicho kitu hakiwezekani.

China na India wanajua kuwa Marekani si rafiki wa kweli, hawawezi kuiunga mkono kudhulumu mchana kweupe!! Zinajua pia leo mlengwa ni Urusi, lakini kesho mlengwa anaweza kuwa China hasa kutokana na mgogoro wa Taiwan na China ambapo Marekani inataka kuitumia Taiwan kuidhoofisha China kama ambavyo inaitumia ukraine kutaka kuidhoofisha Urusi.

India pia sera yao ni ya kukataa kuchaguliwa marafiki na maadui na nchi za nje! Haiiamini marekani hata kidogo. Kwa mfano Marekani ilikuwa inaizuia India isinunue makombora ya ulinzi wa anga ya S400 toka Urusi. Lakini India ikaigomea!!

Marekani italazimika kuiona Urusi inapeta kiuchumi!! Vikwazo walivyoweka vimewaumiza wao zaidi na kuifanya pesa ya Urusi ruble iwe na nguvu zaidi kuliko kabla ya vikwazo!
Vikwazo 6000? hakika Urusi ni nchi ya kiume
 
Hivi kama mtu anakuwekea kikwazo ..si kwamba anataka akuue🤔 sasa hio ni sababu tosha ya vita kuanza kabisa...urusi irushe mabomu huko USA hamna namna
 
Back
Top Bottom