Marekani inajifanya janja sana.Eti Israel iwamalize Hamas wote lakini ipunguze vifo vya wapalestina wengine.Hiyo si huruma bali ni kuakhirisha kifo.

Marekani inajifanya janja sana.Eti Israel iwamalize Hamas wote lakini ipunguze vifo vya wapalestina wengine.Hiyo si huruma bali ni kuakhirisha kifo.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku za karibuni Marekani imejifanya ina huruma na wapalestina na huku anapeleka silaha na anahimiza Israel iendeleze kazi yake.
Kuanzia raisi Biden ,Blinke mpaka wairi wa ulinzi Lord Austin wote wmejifanya wana huruma na kurudia ziara za mazungumzo ya siri na Israel.Wakiibuka hadharani wanasema Israel ina haki ya kuendelea kupigana kwa nguvu ili kuwamaliza wapiganaji wa Hamas.Muhimu ni kuchukua tahadhari ili wasiendelee kuua watu kwa wingi kama vile.
Hiyo si huruma bali ni ujanja wa kutaka kuzuia hasira za waislamu na waarabu wanaoizunguka Israel.Na upande mwengine ni kama kuhofia kumuua mtu kwa bunduki na badala yake ukamuwekea sumu itakayomuua mwaka ujao.
Kwa vile Hamas hawajulikani walipo kwa uhakika Gaza yote,kuiambia Israel iendelee kuua Hamas ni kuipa kibali ifanye mauwaji kwa kiwango chochote na mwishowe itasema ilikuwa inapiga Hamas japo watakaoonekana kufa wengi ni watoto na akinamama.Kwa maana hiyo Marekani haitakuwa na kusema Israel itakavyosema hivyo na yeye atakuwe amejiwekea kinga kwa waislamu na waarabu
Kwa upande mwengine hata kama Hamas itatajwa wamemalizwa wote,jee wapalestina watakaobaki hai watakuwa wamepata nini na jee watabaki salama.Hapana.
Kitakachotokea ni kuwa atakayesema ameua Hamas ataendelea kuua waliobaki kwa visingizio hivyo hivyo mpaka neno taifa la Palestina na masjid Aqsa iwe si vitu vya kuzungumzwa tena.
Hiyo ina maana huruma za Marekani za sasa ni kama kuua kwa kutumia sumu.Kama wana huruma kweli basi wangeacha kuisaidia Israel na ikaunga maazimio ya UN ya kusitisha vita moja kwa moja.
Kama waislamu na waarabu wangezinduka na kuwa na la kufanya basi ilikuwa ni kufanya sasa kuokoa wapalestina.Na kwa upande wa Hamas kwa nguvu yoyote waliyonayo wana sababu ya kutumia nyenzo zao hizo kupigana mpaka tone la mwishjo na Mwenyezi Mungu atawapa ushindi kuliko kubweteka na kufikiria huruma za Marekani kwa watu wao.
 
Siku za karibuni Marekani imejifanya ina huruma na wapalestina na huku anapeleka silaha na anahimiza Israel iendeleze kazi yake.
Kuanzia raisi Biden ,Blinke mpaka wairi wa ulinzi Lord Austin wote wmejifanya wana huruma na kurudia ziara za mazungumzo ya siri na Israel.Wakiibuka hadharani wanasema Israel ina haki ya kuendelea kupigana kwa nguvu ili kuwamaliza wapiganaji wa Hamas.Muhimu ni kuchukua tahadhari ili wasiendelee kuua watu kwa wingi kama vile.
Hiyo si huruma bali ni ujanja wa kutaka kuzuia hasira za waislamu na waarabu wanaoizunguka Israel.Na upande mwengine ni kama kuhofia kumuua mtu kwa bunduki na badala yake ukamuwekea sumu itakayomuua mwaka ujao.
Kwa vile Hamas hawajulikani walipo kwa uhakika Gaza yote,kuiambia Israel iendelee kuua Hamas ni kuipa kibali ifanye mauwaji kwa kiwango chochote na mwishowe itasema ilikuwa inapiga Hamas japo watakaoonekana kufa wengi ni watoto na akinamama.Kwa maana hiyo Marekani haitakuwa na kusema Israel itakavyosema hivyo na yeye atakuwe amejiwekea kinga kwa waislamu na waarabu
Kwa upande mwengine hata kama Hamas itatajwa wamemalizwa wote,jee wapalestina watakaobaki hai watakuwa wamepata nini na jee watabaki salama.Hapana.
Kitakachotokea ni kuwa atakayesema ameua Hamas ataendelea kuua waliobaki kwa visingizio hivyo hivyo mpaka neno taifa la Palestina na masjid Aqsa iwe si vitu vya kuzungumzwa tena.
Hiyo ina maana huruma za Marekani za sasa ni kama kuua kwa kutumia sumu.Kama wana huruma kweli basi wangeacha kuisaidia Israel na ikaunga maazimio ya UN ya kusitisha vita moja kwa moja.
Kama waislamu na waarabu wangezinduka na kuwa na la kufanya basi ilikuwa ni kufanya sasa kuokoa wapalestina.Na kwa upande wa Hamas kwa nguvu yoyote waliyonayo wana sababu ya kutumia nyenzo zao hizo kupigana mpaka tone la mwishjo na Mwenyezi Mungu atawapa ushindi kuliko kubweteka na kufikiria huruma za Marekani kwa watu wao.
Wamarekani hawatii akili mpaka wapigwe wao.
 
Hii kauli ya "Wanaouwawa ni wanawake na watoto"
-Ina maana hao baba zao wamekimbia na kuzitelekeza familia zao?
  • Wababa wa Kopalestina walishauwawa wote?
  • wababa wa kipalestina ndio wapiganaji wa Hamasi na sasa wamejificha kwenye Mashimo na kuziacha familia zao nyumbani?

Naomba mtueleze hao wababa wa kipalestina wapo wapi?
 
Siku za karibuni Marekani imejifanya ina huruma na wapalestina na huku anapeleka silaha na anahimiza Israel iendeleze kazi yake.
Kuanzia raisi Biden ,Blinke mpaka wairi wa ulinzi Lord Austin wote wmejifanya wana huruma na kurudia ziara za mazungumzo ya siri na Israel.Wakiibuka hadharani wanasema Israel ina haki ya kuendelea kupigana kwa nguvu ili kuwamaliza wapiganaji wa Hamas.Muhimu ni kuchukua tahadhari ili wasiendelee kuua watu kwa wingi kama vile.
Hiyo si huruma bali ni ujanja wa kutaka kuzuia hasira za waislamu na waarabu wanaoizunguka Israel.Na upande mwengine ni kama kuhofia kumuua mtu kwa bunduki na badala yake ukamuwekea sumu itakayomuua mwaka ujao.
Kwa vile Hamas hawajulikani walipo kwa uhakika Gaza yote,kuiambia Israel iendelee kuua Hamas ni kuipa kibali ifanye mauwaji kwa kiwango chochote na mwishowe itasema ilikuwa inapiga Hamas japo watakaoonekana kufa wengi ni watoto na akinamama.Kwa maana hiyo Marekani haitakuwa na kusema Israel itakavyosema hivyo na yeye atakuwe amejiwekea kinga kwa waislamu na waarabu
Kwa upande mwengine hata kama Hamas itatajwa wamemalizwa wote,jee wapalestina watakaobaki hai watakuwa wamepata nini na jee watabaki salama.Hapana.
Kitakachotokea ni kuwa atakayesema ameua Hamas ataendelea kuua waliobaki kwa visingizio hivyo hivyo mpaka neno taifa la Palestina na masjid Aqsa iwe si vitu vya kuzungumzwa tena.
Hiyo ina maana huruma za Marekani za sasa ni kama kuua kwa kutumia sumu.Kama wana huruma kweli basi wangeacha kuisaidia Israel na ikaunga maazimio ya UN ya kusitisha vita moja kwa moja.
Kama waislamu na waarabu wangezinduka na kuwa na la kufanya basi ilikuwa ni kufanya sasa kuokoa wapalestina.Na kwa upande wa Hamas kwa nguvu yoyote waliyonayo wana sababu ya kutumia nyenzo zao hizo kupigana mpaka tone la mwishjo na Mwenyezi Mungu atawapa ushindi kuliko kubweteka na kufikiria huruma za Marekani kwa watu wao.
Mkiristo hana huruma na muislamu. Hii inajionyesha ktk hivi vita
 
Hii kauli ya "Wanaouwawa ni wanawake na watoto"
-Ina maana hao baba zao wamekimbia na kuzitelekeza familia zao?
  • Wababa wa Kopalestina walishauwawa wote?
  • wababa wa kipalestina ndio wapiganaji wa Hamasi na sasa wamejificha kwenye Mashimo na kuziacha familia zao nyumbani?

Naomba mtueleze hao wababa wa kipalestina wapo wapi?
Haijalishi vipi, yeyote haruhusiwi kupiga hospitali, shule na makambi ya wakimbizi hata kama kuna adui humo ndani.

Mazayuni wanafanya "genocide" mauwaji ya kimbari kwa niaba ya USA na Saudi Arabia.
 
Acha iendelee kunyesha..tujue nani ni nani
 
NOTE THE HUMAN BEASTS WHO ARE COMPLICIT IN THE GENOCIDE OF PALESTINIANS!!

Urgent

The Israeli army reveals the numbers and nationalities of soldiers fighting in Gaza
3804 from France
3142 from Britain
2584 from the United States
2051 from Germany
1720 from India
1653 from Italy
1580 from Ethiopia
1462 from South Sudan
1158 from Poland and Ukraine [Ukrainian refugees in Poland]
945 from El Salvador
810 from Honduras
416 from Argentina
379 from Canada
114 from the northern Iraq region.
74 from Thailand.
Not to mention the American naval fleet and the British infantry divisions

Spread that the world's forces are fighting the only Gaza
 
Channel 13 Hebrew:
The Army of Disruption withdraws the Golani Brigade from Gaza; Because it suffered a large number of deaths in its ranks
 
Haijalishi vipi, yeyote haruhusiwi kupiga hospitali, shule na makambi ya wakimbizi hata kama kuna adui humo ndani.

Mazayuni wanafanya "genocide" mauwaji ya kimbari kwa niaba ya USA na Saudi Arabia.
Marekani kwa kweli kwenye vita na sheria za kimataifa yeye na swahiba wake Israel wanaonesha mfano mbaya sana.
Hawajali kanuni na sheria yoyote.
ukipatwa na matatizo Usije ukajificha kwenye ubalozi wa nchi yoyote ukadhani uko salama.Waliwahi kumchukua raisi wa nchi mzima mzima na kumpeleka kwao na kumfungulia mashtaka.
 
Back
Top Bottom