Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Anachaguliwa na nani?Wewe jamaa unachekeshaa ko unataka kusemaa Biden ni dikteta wakatii hana hta uhakika wa kushinda uchaguzii kwa muhula mwingine,,,Trump alikuwa dikteta akashindwa kuendelea kuwa Rais kwa muhula mwingine Sasa udikteta huo ni wa Nini wakati yeye mwenyewe au chama chake hakina uwezo wa kuendelea kubaki madarakanii
Sitaki kujua nnachojua nikwamba raia zaidi ya 200M wa marekani sio wanao mchagua raisAcha kupotosha wewe jamaa unajua mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia wapii??
Absolute power corrupts mind.Utakuta lirahisi Lina miaka 75 bado linatawala kwa kuuwa wapinzani wao au ukiwakosoa . Na wanajua wanakufa muda wowote,
Shida inaanzia hapaa Mkuu unapokuwa hujui kitu uwe unaulizaaSitaki kujua nnachojua nikwamba raia zaidi ya 200M wa marekani sio wanao mchagua rais
Sasa demokrasia iko wapi
Umeshaona marekani rais aliyeko madarakani anakataa kutoka baada ya kutochaguliwa kwa kura. Umeshaona rais wa marekani anaongoza vipindi vitatu kama akina museveni na kagame. We huoni wanasiasa au wanaharakati wote wanakimbilia marekani hasa baada ya kutishwa kuuawa kama akina Roma mkatiliki, mange kimambi nk.Dikteta wakwanza wa marekani rais kwahio rais akiwa dikteta anaowateua wote wanakua wamechaguliwa kidokteta wakiwa wamechaguliwa kidikteta
Mfumo mzima wa sirikali ya marekani unakua wa kidikteta
Kama marekani sio madikteta nambie rais anachaguliwa nanani
Ngoja kwanza kwanini wamarekani hua wanapiga kura kumchagua rais?Shida inaanzia hapaa Mkuu unapokuwa hujui kitu uwe unaulizaa
Nakwambia tena achana na masuala ya huko twende haya uloyaleta ya marekani huko achana naoUmeshaona marekani rais aliyeko madarakani anakataa kutoka baada ya kutochaguliwa kwa kura. Umeshaona rais wa marekani anaongoza vipindi vitatu kama akina museveni na kagame. We huoni wanasiasa au wanaharakati wote wanakimbilia marekani hasa baada ya kutishwa kuuawa kama akina Roma mkatiliki, mange kimambi nk.
Sababu ni moja tu pesa yake kuwa pesa ya dunia ....tumia akiliSijui kwanini cho za Afrika au za Asia hazijifunzi kwa marekani wakawa na demokrasia. Hivi kwa mfano Kim jong UN, Putin nk wakifa lazima nchizi zao zitingia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe mana mtu mmoja ndo mwamuzi wa mwisho tofauti na marekani ambapo hata Rais siyo final.
Nchi za Afrika kama Rwanda, Uganda nk nao Marais wao wakifa vita ya wenyewe kwa wenyewe haiepukiki mana all powers are vested on one person.
Marekani haiwi shakeni na yeyote kw asababu misingi ya demokrasia ni mikubwa sana kiasi ambacho haideal na trivial issues kama eti kumtukana rais sijui Nini eti polisi akimbizane na wewe kisa umemtukana rais.
Chi zetu hizi hata ukiandika mtandaoni tu kwamba rais ni mpumbavu unakamatwa na ama kuuawa au kupotezwa kama Ben saanane kipindi Cha jpm. Museven au kagame wanaua hadharani kabisa watu wao. Huu ni ujinga wa hizi ngozi zetu na kamwe tutasindikiza wenye akili. Ndo mana hata papa alipoend marekani alisema " The nation of the brains"
Kwa Nini pesa yetu isiwe ya Dunia? Ndo mana nasema wale Wana akili kubwa na akilinyao imetokana na demokrasia. Pesa kuwa ya Dunia maana yake money supply na demand for money are balancedSababu ni moja tu pesa yake kuwa pesa ya dunia ....tumia akili
Mtu mwenye akili kubwa hawezi akaua wengine akatesa wengine ili tu apate kua mkubwaKwa Nini pesa yetu isiwe ya Dunia? Ndo mana nasema wale Wana akili kubwa na akilinyao imetokana na demokrasia. Pesa kuwa ya Dunia maana yake money supply na demand for money are balanced
Mkuu Kuna asilimia ya kura ambazo lazima uzipate kutoka kwa wananchii na pia ulishawahii kujiuliza na hao wachache wanaopinga kura kuamua huaga wanapatikanaje?? Mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia kwanza kwa wananchi kupiga kura watakaowania kiti Cha urais kupitia Chama Cha democratic na republican ambapo kila mwananchi anaruhusiwa kupiga kura kitu ambacho Afrika hakunaNgoja kwanza kwanini wamarekani hua wanapiga kura kumchagua rais?
Ila cha ajabu kura zao hua haziamui nani awe rais
Demokrasia iko wapi hapa
Kwani nyie wizi umewashinda au hamjui namna ya kuiba.Mtu mwenye akili kubwa hawezi akaua wengine akatesa wengine ili tu apate kua mkubwa
Marekani anachokifanya yeye nikutumia wizi ila sio akili
Sasa kama mtu akiwa mwizi mnyang'anyi laghai maana yake ndio akili kubwa basi kazi tunayo
Wewe utakuwa mgonjwa sehemu, unaijua demokrasia ya China vizuri ?Demokrasia ya marekani ni ya hovyo kabisa bora demokrasia ya uchina inaweza ikaeleweka
Haya yote mimi nayajuaMkuu Kuna asilimia ya kura ambazo lazima uzipate kutoka kwa wananchii na pia ulishawahii kujiuliza na hao wachache wanaopinga kura kuamua huaga wanapatikanaje?? Mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia kwanza kwa wananchi kupiga kura watakaowania kiti Cha urais kupitia Chama Cha democratic na republican ambapo kila mwananchi anaruhusiwa kupiga kura kitu ambacho Afrika hakuna
Mimi nanani?Kwani nyie wizi umewashinda au hamjui namna ya kuiba.
Wewe unajua kwanza maana ya demokrasia kabla hujaijua hio demokrasia ya ChinaWewe utakuwa mgonjwa sehemu, unaijua demokrasia ya China vizuri ?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sasa mbona marekani ni super power kiuchumi duniani kama unasema wizi siyo njia ya kupata maendeleo. Wewe ambaye huibi una maendeleo Gani kizidi marekani wakati ndo wanakupa msaada wa kila aina kwa wizi wao huoMimi nanani?
Wizi sio njia nzuri yakupata maendeleo ndio maana sisi hatuibi