Marekani inakuwa stronger sana kiuchumi au kijeshi kwa sababu ya strong base ya demokrasia waliyo nayo. Hata rais haiwezi kuleta migumo yake

Marekani inakuwa stronger sana kiuchumi au kijeshi kwa sababu ya strong base ya demokrasia waliyo nayo. Hata rais haiwezi kuleta migumo yake

Wewe jamaa unachekeshaa ko unataka kusemaa Biden ni dikteta wakatii hana hta uhakika wa kushinda uchaguzii kwa muhula mwingine,,,Trump alikuwa dikteta akashindwa kuendelea kuwa Rais kwa muhula mwingine Sasa udikteta huo ni wa Nini wakati yeye mwenyewe au chama chake hakina uwezo wa kuendelea kubaki madarakanii
Anachaguliwa na nani?
 
Acha kupotosha wewe jamaa unajua mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia wapii??
Sitaki kujua nnachojua nikwamba raia zaidi ya 200M wa marekani sio wanao mchagua rais

Sasa demokrasia iko wapi
 
Dikteta wakwanza wa marekani rais kwahio rais akiwa dikteta anaowateua wote wanakua wamechaguliwa kidokteta wakiwa wamechaguliwa kidikteta

Mfumo mzima wa sirikali ya marekani unakua wa kidikteta

Kama marekani sio madikteta nambie rais anachaguliwa nanani
Umeshaona marekani rais aliyeko madarakani anakataa kutoka baada ya kutochaguliwa kwa kura. Umeshaona rais wa marekani anaongoza vipindi vitatu kama akina museveni na kagame. We huoni wanasiasa au wanaharakati wote wanakimbilia marekani hasa baada ya kutishwa kuuawa kama akina Roma mkatiliki, mange kimambi nk.
 
Hivi unajua kinachofanyika ukraine na gaza kuna mtu anachoshwa soon utasikia cube,venezula au china anakianzisha

Na ukweli ukraine kaachwa yatima
 
Shida inaanzia hapaa Mkuu unapokuwa hujui kitu uwe unaulizaa
Ngoja kwanza kwanini wamarekani hua wanapiga kura kumchagua rais?

Ila cha ajabu kura zao hua haziamui nani awe rais

Demokrasia iko wapi hapa
 
Umeshaona marekani rais aliyeko madarakani anakataa kutoka baada ya kutochaguliwa kwa kura. Umeshaona rais wa marekani anaongoza vipindi vitatu kama akina museveni na kagame. We huoni wanasiasa au wanaharakati wote wanakimbilia marekani hasa baada ya kutishwa kuuawa kama akina Roma mkatiliki, mange kimambi nk.
Nakwambia tena achana na masuala ya huko twende haya uloyaleta ya marekani huko achana nao

Raia 200M wa marekani ndio wanaochagua rais wa marekani?
 
Sijui kwanini cho za Afrika au za Asia hazijifunzi kwa marekani wakawa na demokrasia. Hivi kwa mfano Kim jong UN, Putin nk wakifa lazima nchizi zao zitingia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe mana mtu mmoja ndo mwamuzi wa mwisho tofauti na marekani ambapo hata Rais siyo final.

Nchi za Afrika kama Rwanda, Uganda nk nao Marais wao wakifa vita ya wenyewe kwa wenyewe haiepukiki mana all powers are vested on one person.

Marekani haiwi shakeni na yeyote kw asababu misingi ya demokrasia ni mikubwa sana kiasi ambacho haideal na trivial issues kama eti kumtukana rais sijui Nini eti polisi akimbizane na wewe kisa umemtukana rais.

Chi zetu hizi hata ukiandika mtandaoni tu kwamba rais ni mpumbavu unakamatwa na ama kuuawa au kupotezwa kama Ben saanane kipindi Cha jpm. Museven au kagame wanaua hadharani kabisa watu wao. Huu ni ujinga wa hizi ngozi zetu na kamwe tutasindikiza wenye akili. Ndo mana hata papa alipoend marekani alisema " The nation of the brains"
Sababu ni moja tu pesa yake kuwa pesa ya dunia ....tumia akili
 
Demokrasia ya marekani ni ya hovyo kabisa bora demokrasia ya uchina inaweza ikaeleweka
 
Sababu ni moja tu pesa yake kuwa pesa ya dunia ....tumia akili
Kwa Nini pesa yetu isiwe ya Dunia? Ndo mana nasema wale Wana akili kubwa na akilinyao imetokana na demokrasia. Pesa kuwa ya Dunia maana yake money supply na demand for money are balanced
 
Kwa Nini pesa yetu isiwe ya Dunia? Ndo mana nasema wale Wana akili kubwa na akilinyao imetokana na demokrasia. Pesa kuwa ya Dunia maana yake money supply na demand for money are balanced
Mtu mwenye akili kubwa hawezi akaua wengine akatesa wengine ili tu apate kua mkubwa

Marekani anachokifanya yeye nikutumia wizi ila sio akili

Sasa kama mtu akiwa mwizi mnyang'anyi laghai maana yake ndio akili kubwa basi kazi tunayo
 
Ngoja kwanza kwanini wamarekani hua wanapiga kura kumchagua rais?

Ila cha ajabu kura zao hua haziamui nani awe rais

Demokrasia iko wapi hapa
Mkuu Kuna asilimia ya kura ambazo lazima uzipate kutoka kwa wananchii na pia ulishawahii kujiuliza na hao wachache wanaopinga kura kuamua huaga wanapatikanaje?? Mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia kwanza kwa wananchi kupiga kura watakaowania kiti Cha urais kupitia Chama Cha democratic na republican ambapo kila mwananchi anaruhusiwa kupiga kura kitu ambacho Afrika hakuna
 
Mtu mwenye akili kubwa hawezi akaua wengine akatesa wengine ili tu apate kua mkubwa

Marekani anachokifanya yeye nikutumia wizi ila sio akili

Sasa kama mtu akiwa mwizi mnyang'anyi laghai maana yake ndio akili kubwa basi kazi tunayo
Kwani nyie wizi umewashinda au hamjui namna ya kuiba.
 
Mkuu Kuna asilimia ya kura ambazo lazima uzipate kutoka kwa wananchii na pia ulishawahii kujiuliza na hao wachache wanaopinga kura kuamua huaga wanapatikanaje?? Mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia kwanza kwa wananchi kupiga kura watakaowania kiti Cha urais kupitia Chama Cha democratic na republican ambapo kila mwananchi anaruhusiwa kupiga kura kitu ambacho Afrika hakuna
Haya yote mimi nayajua

Sasa kama wana demokrasia kweli kama mnavyowasemea demokrasia yenyewe iko wapi hapo

Kwani demokrasia si wingi ndio hua wanapewa ama mmebadilisha hoja kwenye demokrasia

Yaani zungukeni ila kinachofanywa marekani sio demokrasia
 
Mimi nanani?
Wizi sio njia nzuri yakupata maendeleo ndio maana sisi hatuibi
Sasa mbona marekani ni super power kiuchumi duniani kama unasema wizi siyo njia ya kupata maendeleo. Wewe ambaye huibi una maendeleo Gani kizidi marekani wakati ndo wanakupa msaada wa kila aina kwa wizi wao huo
 
Back
Top Bottom