Marekani inaomba "po" kiaina: Inaiambia Ukraine ikubali mazungumzo ya amani na Urusi!!

Marekani inaomba "po" kiaina: Inaiambia Ukraine ikubali mazungumzo ya amani na Urusi!!

Wanajua msimu huu ni mbaya ulaya gesi ni muhimu sasa wakomae na muuni wa bongo movi
 
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha Urusi bali kuna dalili ya Ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya Ukraine yameota mbawa!

Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha Urusi kusalimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga!

Kuona hivyo japo kwa aibu lakini Marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri Ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia Ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya Urusi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye Urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media

Askali wa kujitolea toka UK, anatoa ushuuda mambo yalivyo magumu kwa Ukraine, askali wake wengi wanakufa sana pamoja na hao mamuruki toka mataifa ya ulaya nchi za NATO wanapukutika sana kwenye uwanja wa vita, hizi media za magharibi hazitowi picha kamili ya vita. Baada ya kipindi cha baridi Ukraine watakuwa wameshaweka silaha chini. Japo USA anashupaza shingo andelee kutengeneza pesa toka kwa mataifa ya Europe.


Huyu waziri mkuu wa Finland keshakubali mziki wa Putin siyo wa kitoto anasema ukweli kwamba nchi za ulaya hawawezi kukabiliana na Russia hata kidogo. Wataangukq wao.
 
Marekani na washirika wake wa NATO waliiandaa Ukraine kupambana na Urusi toka 2014! Wamewekeza sana kupita kiasi walichotazamia lakini hadi kufikia muda huu hawaoni dalili za kuiangiusha Urusi bali kuna dalili ya Ukraine kuanguka na tunapozunguza Crimea iliota mbawa hiyo 2014 na juzijuzi majimbo manne ya Ukraine yameota mbawa!

Vikwazo kwa maelfu vya kiuchumi vilivyodhaniwa vitailazimisha Urusi kusalimu amri kinyume chake vimesababisha hali ngumu sana ya kiuchumi kwenye mataifa yaliyoweka vikwazo hivyo!! Wananchi wa mataifa ya magharibi wameanza kuwa kinyume na viongozi wao kwa maandamano makubwa ya kuwapinga!

Kuona hivyo japo kwa aibu lakini Marekani keshaanza kuomba po kwa kuishauri Ukraine ikubali mazungumzo na Putin!! Ikumbukwe kuwa Marekani ndiyo iliyokuwa inaizuia Ukraine kuketi kwenye meza ya mazungumzo na Urusi wakiamini ushindi dhidi ya Urusi utapatikana kwenye uwanja wa vita!! Waliamini hatimaye Urusi itaishiwa silaha, kinyume chake nchi za magharibi ndizo zinazoishiwa silaha!! Wamepeleka air defenses lakini hazijafua dafu kuzuia kipigo!!

Live news: US reportedly urging Ukraine to talk to Russia​

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline from a T80 tank that was captured from Russians during a battle in Trostyanets in March, as Russia's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY's invasion of Ukraine continues, in the eastern Donbas region of Bakhmut, Ukraine, November 4, 2022. REUTERS/Clodagh Kilcoyne TPX IMAGES OF THE DAY

Ukrainian soldiers prepare to fire a round on the frontline in the eastern Donbas region of Bakhmut [Clodagh Kilcoyne/Reuters]
By Mersiha Gadzo

  • The US is privately encouraging Ukraine’s leaders to drop their public refusal to engage in peace talks unless President Vladimir Putin is removed from power, the Washington Post reports.
Published On 6 Nov 20226 Nov 2022
Click here to share on social media
no wonder they are asking for dialogue they have been beaten squarely

 
Back
Top Bottom