Marekani inapaswa kukutana na China njiani ili kutafuta jinsi ya kuelewana

Marekani inapaswa kukutana na China njiani ili kutafuta jinsi ya kuelewana

Mpaka Blinken akasikitika.

Ila kibabu Biden kinachekesha sana

Tatizo la afya linamsumbua Biden inabidi apumzike asigombee maana kuna baadhi ya mambo anafanya yanatia aibu hata viongozi wake
Blinken niliona anahamaki angekuwa mbongo angenyoosha mkono ule wa huyu anasemaje huyu.
Biden asigombee, cha ajabu na uzee wake sera zake zinajulikana ni zipi na ameweza pitisha nchi kwenye COVID-19.

Yani Marekani hata ukimpeleka Kingwendulile anaongoza. Mimi naona hamnaga changamoto labda za kujitakia, ni utimize sera zilezile ulizopewa kura na usikilize wataalamu na washauri na ufuate sera za chama chako. Mambo mengine yanajiseti yenyewe.
 
Blinken niliona anahamaki angekuwa mbongo angenyoosha mkono ule wa huyu anasemaje huyu.
Biden asigombee, cha ajabu na uzee wake sera zake zinajulikana ni zipi na ameweza pitisha nchi kwenye COVID-19.

Yani Marekani hata ukimpeleka Kingwendulile anaongoza. Mimi naona hamnaga changamoto labda za kujitakia, ni utimize sera zilezile ulizopewa kura na usikilize wataalamu na washauri na ufuate sera za chama chako. Mambo mengine yanajiseti yenyewe.
Ila I wish kuna siku nimuone Blinken kama Rais wa US namkubali sana Blinken na naona kabisa cheo cha Urais kinamkaa kabisa sijui kwa nini nimetokea kumkubali huyu mwamba.

Kwanza binafsi namuona Blinken ni mtulivu fulani kwa Urais ni kitu muhimu sana
 
Kama vile ambavyo Bill Gate alikutana na Xi Jinping mwaka huu, Xi akasema Bill Gate ni rafiki yake mkubwa na wa muda mrefu, hebu ona kauli kama hiyo

Musk tayari leo anasema anapanga ratiba ya kukutana na Xi wao kibinafsi siku za mbeleni, hebu imagine 🤔

Na Musk alipewa eneo la kujenga Tesla gigafactory mpya pale Shanghai

Ni wanasiasa tu wa Marekani wanajimwambafai ila hawa CEOs huwa wanawachora tu, wanajua umuhimu wa soko la China kwenye biashara zao.

Juzi kati tu hapo CEO wa Nike, John Donahoe alikuwa China akasema China ni soko kubwa na muhimu la bidhaa zao za Nike na akaikosoa sera ya Biden ya decoupling
Matajiri ni wajanja janja sana wapo kwa ajili ya pesa
 
ifuatilie china sio kujipa majibu kichwan
 
Back
Top Bottom