Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Kwa mnaofuatilia siasa za Marekani huwa hayuko tayari. Kukubali kushindwa anapopata aibu hutafuta wa kumsingizia ili yy aendelee kuilinda heshima take kwa propaganda
Mmarekani amesema atafikia kilele cha maambukizi wiki hii huku akijua wazi mdudu huyu haonekani na hatabiriki kwa hiyo mmarekanii ni mwoga sn anataka kuweka Mpira kwapani anataka kuficha aibu ya kwamba ameshindwa
Mmarekani amesema atafikia kilele cha maambukizi wiki hii huku akijua wazi mdudu huyu haonekani na hatabiriki kwa hiyo mmarekanii ni mwoga sn anataka kuweka Mpira kwapani anataka kuficha aibu ya kwamba ameshindwa