Marekani inataka kujiondoa kuwa Mwanachama kuficha idadi ya wagonjwa wa Corona na vifo kusitisha mchango wake WHO ni mwanzo wa Safari

Marekani inataka kujiondoa kuwa Mwanachama kuficha idadi ya wagonjwa wa Corona na vifo kusitisha mchango wake WHO ni mwanzo wa Safari

Unatuwekea site za magaidi sasa
mitandao yao c mnasema wanapika data sasa mkiletewa ya ambao wanachemsha data nayo pia hamuitaki mnatakaje ss ?!

Sent using My COVID-19
 
mitandao yao c mnasema wanapika data sasa mkiletewa ya ambao wanachemsha data nayo pia hamuitaki mnatakaje ss ?!

Sent using My COVID-19
Mkuu kamanda qaseem anafufuka lini?
Drone ni noma!!
 
Wamarekani wakitaka kufanya yao haijalishi ni wanachama au siyo wanachama.

WHO imetumika. sana kusambaza huu ugonjwa duniani kutokana na kuwa kibaraka wa Beijing

1. WHO ilipinga vikali mataifa kufunga mipaka yao dhidi ya wachina, leo tunajua kuwa wakati majimbo mengine ya China yakiwazuia watu kutoka Hubei kuingia, lakini China haikufanya lolote kuzuia raia wake hata waliotoka Hubei kupanda ndege kwenda kwenye mataifa mengine na kusambaza kirusi

2. WHO walichukua taarifa za China kuwa kirusi siyo man to man trsnsmitted, kitendo kilichofanya mataifa yaamini taarifa hizo na kuacha kuchukua hatua za kuyaandaa mataifa yao

3. WHO ilijivutavuta kutangaza hili janga ni Pandemic, kitendo ambacho kilimislead mataifa kuelevate status zao za kujilinda dhidi ya huyu kirusi

4. WHO ilikuwa ikiamini taarifa za wachina bila kuzichallenge, au kutuma wataalamu wake wafanye kazi bega kwa bega na wachina ili kureport kwa usahihi situation huko China, na badala yake WHO ilikuwa ikiparrot taarifa za China kama kasuku

5. Wachina wamepika data nyingi, wamedanganya sana kuhusu idadi ya visa vya maambukizi na vifo lakini WHO haijaonyesha kuchallenge uwongo huu wa beijing
Mwanafunzi mvivu ndo anaamini kufeli Kwame ni kwa sababu hakupewa taarifa na mwanafunzi aliyepita kuwa mtihani ni mgumu ili ajiandae kwa ugumu wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mnaendeleza mjadala wenu, zinatieni kuwa Trump jana kapoteza raia 2482

2020-04-16 09.55.45.jpg
 
Wakati mnaendeleza mjadala wenu, zinatieni kuwa Trump jana kapoteza raia 2482

View attachment 1420491
Muumba awalinde asee ila kiukweli wanapukutika mnooo[emoji22][emoji22]

Kwahili turampet alibidi ajiwajibishe mwenyewe kwa ubishi alouonyeha be4 hakujawa na athari kubwa ila sijajua anakwamia wap asee

Chinese Virus Kwasasa Imekua US Virus

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom