Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Wanabodi,
Nina Ndugu ambaye yuko serikalini (Paspoti ya Utumishi) na alikuwa na VISA ya miaka 5 ya kuingia Marekani. Wiki iliyopita pamoja na Mkewe waliondoka kwenda Marekani kuwaona watoto wao wanaosoma kule, lakini bahati mbaya pamoja na watanzania wengine wawili, wakiwa uwanja wa Chicago, walizuiliwa kuingia nchini humo kutokana na matatizo ya COVID-19.
Na hata walipofika Holland, walilazimika kupimwa kabla ya kupanda ndege ya kwenda Marekani wakidai Tanzania haishirikiani na WHO.
Aliloambiwa ni kwamba wanaoruhusiwa kuingia ni Diplomats tu na pia kwa masharti. Hawaruhusu wenye VISA za kawaida kutoka Tanzania kuingia. Sina hakika ni kwa watanzania tu au pia mataifa mengine nao wanaathirika na hili janga?
Nadhani kwetu raia wa kawaida wenye VISA, tusipoteze hela zebu kwa kujaribisha. Tusubirie hadi hali ile sawa maana gharama kwenda Marekani siyo kidogo matokeo yake turudishwe Eapoti !
Nina Ndugu ambaye yuko serikalini (Paspoti ya Utumishi) na alikuwa na VISA ya miaka 5 ya kuingia Marekani. Wiki iliyopita pamoja na Mkewe waliondoka kwenda Marekani kuwaona watoto wao wanaosoma kule, lakini bahati mbaya pamoja na watanzania wengine wawili, wakiwa uwanja wa Chicago, walizuiliwa kuingia nchini humo kutokana na matatizo ya COVID-19.
Na hata walipofika Holland, walilazimika kupimwa kabla ya kupanda ndege ya kwenda Marekani wakidai Tanzania haishirikiani na WHO.
Aliloambiwa ni kwamba wanaoruhusiwa kuingia ni Diplomats tu na pia kwa masharti. Hawaruhusu wenye VISA za kawaida kutoka Tanzania kuingia. Sina hakika ni kwa watanzania tu au pia mataifa mengine nao wanaathirika na hili janga?
Nadhani kwetu raia wa kawaida wenye VISA, tusipoteze hela zebu kwa kujaribisha. Tusubirie hadi hali ile sawa maana gharama kwenda Marekani siyo kidogo matokeo yake turudishwe Eapoti !