Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
- Thread starter
- #21
Who the hell is Kitenge. Marekani wana review mambo Kila siku!!Kitenge alikuwa huko juzi za kuambiwa changanya na za kwako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who the hell is Kitenge. Marekani wana review mambo Kila siku!!Kitenge alikuwa huko juzi za kuambiwa changanya na za kwako!
Magufuli anaipeleka nchi pabaya huku wajinga wakimshangilia. Ona hili onyo limetolewa leo. Nasikia kuna mmarekani amefarika kwa covid huko Zenji wiki iliyopita ndiyo maana wakatilia mkazo.
Issue ni kwamba tulichukua pesa zao kwa ajili ya kudhibit covid,at the same time tunautangazia ulimwengu kuwa hatuna covid.sasa unataka kulazimisha kwamba tuna covid au? hatuna covid na ndo ukweli na tuliwachallenge kwan uongo?
Mnahangaika kwenda Marekani kulikojaa corona ili mtuletee na sisi hapa TZ. Hebu tulieni kwenu.Ngoja wawazuie tu. Hakuna namna. Lissu akipeleka watoto wake mnalalamika eti ana watoto kwa mabeberu! Wawazuie si tu kwa covid-19, bali kuzima demokrasia na kushindwa kuandamana baada ya CCM kuiba uchaguzi kupitia kura za kwenye mabegi.
Tulieni kwenu.Issue ni kwamba tulichukua pesa zao kwa ajili ya kudhibit covid,at the same time tunautangazia ulimwengu kuwa hatuna covid.
We mtu umenikumbusha! Huyo Abasi ni dkt wa kitu gani dunia hii? Naona kama ni bonge la sanii vile! Sijawahi kusikia akijibu maswali kwa ufahamu, badala yake hujibu kwa kukumbuka aliyoambiwa.Aione Professor Kabudi, Dkt Hassan Abasi,
TusaliNyakati ngumu zinakuja
Source yako inatokea Kenya!Magufuli anaipeleka nchi pabaya huku wajinga wakimshangilia. Ona hili onyo limetolewa leo. Nasikia kuna mmarekani amefarika kwa covid huko Zenji wiki iliyopita ndiyo maana wakatilia mkazo.
Mkuu Trump is president mpaka 2024 mark my post.Bado mengi yanakuja - subiri madaraka yatoke kwa Trump na kwenda kwa Biden Jan 2021.
Sasa ulitaka Rais Magufuli afanye nini? Kwani wakenya wameanza leo kusema TZ kuna corona? Kwa hiyo kama kuna corona tulale majumbani kwetu. Halafu lini wewe umemsifia Rais Magufuli kwenye issue ya Corona?? Peleka Ukenya wako huko!! Hangaika na Kunyaland yako.Magufuli anaipeleka nchi pabaya huku wajinga wakimshangilia. Ona hili onyo limetolewa leo. Nasikia kuna mmarekani amefarika kwa covid huko Zenji wiki iliyopita ndiyo maana wakatilia mkazo.
Kiuhalisi, tunarudi kwenye zama za kuvaa magome ya miti na nguo za ngozi😀😁😂😅😃😃😀😁😂🤣😄😄😃😃😐😀😁😂
Eti Tutawauzia Mitumba Baada Sisi Kuivaa
Ndiyo Ukweli WenyeweKiuhalisi, tunarudi kwenye zama za kuvaa magome ya miti na nguo za ngozi
Kitenge alikuwa huko juzi......za kuambiwa changanya na za kwako!
Hawa ni Wale Manyumbu ya Tundu Antipas LissuKwani US si walijitoa WHO sasa wanasemaje tena TZ haifati maelekezo ya taasisi ambayo wao wamejiengua na kuvunja mashirikiano.
Kitenge aliendaga huko mwaka juzi, akapiga picha na video kibao ametunza kwenye gallery ya simu.Kitenge alikuwa huko juzi......za kuambiwa changanya na za kwako!