DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,346
Heri ungenyamaza kuliko kuongea pumba tu.Mkuu Trump is president mpaka 2024 mark my post.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri ungenyamaza kuliko kuongea pumba tu.Mkuu Trump is president mpaka 2024 mark my post.
Humuhumu tuna mabeberu weusi. Tatizo tunafikiri weupe ndo mabeberuWasitutishe hao mabeberu, sisi tutakuwa donor country siku zijazo.
Hawakusaidii ww. Wengine USA ndio imetutoa kwenye ufukara na kutuleta katika mafanikio makubwa ya kiuchumiKwani wanatusaidia nini hao USAKanjanja
Usidanganye. Viza hazitolewi kwa sasa except on emergency only.Huyu jamaa msanii sana. Kwanza watz hawapewi visa ya 5-year. Juzi nimerenew visa na mbona hawakunikatalia? Ingawa visa zimepigwa ban, ila kuna namna unafanya unakwenda kwenye interview kama kawaida.
Tutulie Wakati Syringe Inachomwa Kwenye T*k*Kutopendwa kwingine tunakutafuta wenyewe.Wanakulitafuta wanakulipata .Hivyo tuwewapole
Mimi nashindwa kuelewa. Inaingiaje akilini kwamba corona imetokomea kwa maombi lakini kansa, kisukari, ukimwi na magonjwa mengi hatari bado yapo. Kwa nini maombi yasiwe extended kutokomeza magonjwa yote na ifike wakati bajeti ya afya isiwepo na hata hospitali zisiendelee kujengwa.sasa unataka kulazimisha kwamba tuna covid au? hatuna covid na ndo ukweli na tuliwachallenge kwan uongo?
Wewe hapo ulipo huna macho? Kazi ya Mungu haina makosa.Inabidi Kabudi akawakodolee mimacho hao mabeberu........Haya sasa tumeanza kusoma namba.
Wanazuia wote. Si chadema pia walikataa kusimamia haki yao watu wakaogopa hata kuandamana? Sass watusaidieje kama sisi hata kijisaidia wenyewe tumeshindwa?wangezuia CCM tu
Tanzania ipo wazi kwenye takwimu. Tumeona wakati wa kampeni nchi nzima na hakuma mamia ya wanaokufa kwa Covid-19.Kwa taarifa yako: Siyo wakenya wamesema. Ni wamarekani. Najua english ni tatizo lako. Pole sana. Mwombe mtu akutafsirie. Sijasema watu walale nyumbani tu. Nchi inatakiwa kuwa wazi kwenye takwimu.
This election is a tremendous fraud.Heri ungenyamaza kuliko kuongea pumba tu.
Ni kweli; ndiyo maana ya ubeberu huo. Dems wakishachukua madaraka, mambo yatageuka kidogo. Clinton anajua kufanya kazi na nchi za kiafrika, anajua kuwa hazitaki kusukumwa na nadhani atamshauri Biden namna ya kushughulika nazo. Clinton ana miradi kadhaa ya huduma za jamii TanzaniaMimi naona hapa tatizo ni kutotii world order. Maana ni kweli Tanzania corona haijatusumbua kihivyo, lakini pia hao watu wanaotuzuia kuingia kwao mbona ndio wenye vifaa vya kila aina vya kupimia?
Wanajaribu tu kutuma ujumbe kuwa hawapendi dharau.
Dona kantri imepata ushindi wa kishindo wamekumbuka shuka bila chadema hakuna pesaWasitutishe hao mabeberu, sisi tutakuwa donor country siku zijazo.
Issue ni kwamba tulichukua pesa zao kwa ajili ya kudhibit covid,at the same time tunautangazia ulimwengu kuwa hatuna covid.
Ndio