Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lazima uwe na cheti cha kupima COVD 19 halafu na wenyewe wanaweza kukupima tena. Utaruhusiwa tuWanabodi,
Nina Ndugu ambaye yuko serikalini (Paspoti ya Utumishi) na alikuwa na VISA ya miaka 5 ya kuingia Marekani. Wiki iliyopita pamoja na Mkewe waliondoka kwenda Marekani kuwaona watoto wao wanaosoma kule, lakini bahati mbaya pamoja na watanzania wengine wawili, wakiwa uwanja wa Chicago, walizuiliwa kuingia nchini humo kutokana na matatizo ya COVID-19.
Na hata walipofika Holland, walilazimika kupimwa kabla ya kupanda ndege ya kwenda Marekani wakidai Tanzania haishirikiani na WHO.
Aliloambiwa ni kwamba wanaoruhusiwa kuingia ni Diplomats tu na pia kwa masharti. Hawaruhusu wenye VISA za kawaida kutoka Tanzania kuingia. Sina hakika ni kwa watanzania tu au pia mataifa mengine nao wanaathirika na hili janga?
Nadhani kwetu raia wa kawaida wenye VISA, tusipoteze hela zebu kwa kujaribisha. Tusubirie hadi hali ile sawa maana gharama kwenda Marekani siyo kidogo matokeo yake turudishwe Eapoti !
Hakuna visa inaitwa multiple entry, ila kuna Business or Tourism, Work, Student, Transit, etc. Entry ni kwamba visa inakuruhusu kuingia mara ngapi? Either single entry or multiple entry. Mostly, kwa Tanzanian ni multiple entry. So you can visit there as much as you can for a specified period mpaka mwisho wa matumizi. Na pia unatakiwa kukaa kwa muda wa miezi kadhaa then utoke na urudi tena.Kuna visa inaitwa multiple entry, unaweza hata kupewa ya miaka 5
Ipo hivyo. Kama wakiona hueleweki kwenye kujibu maswali unarudishwa right away.Sheria ya uhamiaji ya US inasema kuwa na visa siyo guarantee ya kuruhusiwa kuingia US always. Ni kigezo tu. Mwisho ni mtu aliyeko ktk desk anaamua kukuruhusu ama la.
Wewe ndiyo umeelewa chanzo cha tatizo.Mimi naona hapa tatizo ni kutotii world order. Maana ni kweli Tanzania corona haijatusumbua kihivyo, lakini pia hao watu wanaotuzuia kuingia kwao mbona ndio wenye vifaa vya kila aina vya kupimia?
Wanajaribu tu kutuma ujumbe kuwa hawapendi dharau.
Hehehee. Jamaa umeamua uje na evidence kabisa.Umesoma nilichoandika au unakurupuka tu. Visa nimepata na sina emergency yoyote. Na wewe lete evidence ya visa ya miaka 5 kwa Watanzania.View attachment 1640279
Na wewe unajua kusali?Tusali
Eeee! hao raia hupewa visa za nchi zao kabla ya kuja huku?Hata EU wamewanyima raia wake visa za kuja huku isipokua pale penye ulazima tuu
Haya ni mawazo ya mtu aliyeruhusu akili zake zifanye kazi....na sio mihemko.....Hata EU wamewanyima raia wake visa za kuja huku isipokua pale penye ulazima tuu
Na hao raia wanaumia sana lakini hawaingii kwenye mitandao na kuanza kuwashambulia viongozi wao sababu kwao kanuni ni uzalendo kwanza.
Ila ukiongea nao mmojammoja kirafiki wanakuambia hii ni vita ya uchumi inayolenga kudidimiza uchumi wa watu na kupunguza idadi ya watu duniani. Na wanaumia sana
Wanasema Tanzania ni taifa pekee lililokataa kuingia kwenye huu mtego sababu tuu rais wetu John Pombe Joseph Magufuli ni rais wa watanzania.
"Hamna COVID-19" kwa vile tu umetamka?wewe umetoa pesa kwa ajili ya covid na covid imeisha sasa shida yako iko wap? we unataka kisa umetupa pesa zako ndo ulazimishe hata kama hamna covid
Wewe huoni kuwa wewe ndiye mpumbavu kabisa?Mara ya mwisho kuona mtu ama kusikia mtu kafa kwa corona ni lini? Je wewe unavaa barakoa. Usitletee upumbavu hapa mkuu. Hii ni vita ya uchumi hivo tulitegemea haya mapemaaaaaa na hatushangai. Jemedari wetu JPM piga kazi, nasema pigggga kazzzziiiii. Wewe unaweza hatuna mbadala wako
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hehehee. Jamaa umeamua uje na evidence kabisa.
🤣🤣Mkuu Trump is president mpaka 2024 mark my post.