Muwe mnasoma na kuelewa. Ni lini US ilijiondoa WHO. US walipunguza mchango wao kwa WHO, na siyo kujitoa.Kwani US si walijitoa WHO sasa wanasemaje tena TZ haifati maelekezo ya taasisi ambayo wao wamejiengua na kuvunja mashirikiano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwe mnasoma na kuelewa. Ni lini US ilijiondoa WHO. US walipunguza mchango wao kwa WHO, na siyo kujitoa.Kwani US si walijitoa WHO sasa wanasemaje tena TZ haifati maelekezo ya taasisi ambayo wao wamejiengua na kuvunja mashirikiano.
Issue ni kwamba tulichukua pesa zao kwa ajili ya kudhibit covid,at the same time tunautangazia ulimwengu kuwa hatuna covid.
Juzi tu kuna jamaa namjua karuka hapo dar kwenda usa,na leo nimeongea nae yuko zake PA anajibebea box lakeHuyu jamaa msanii sana. Kwanza watz hawapewi visa ya 5-year. Juzi nimerenew visa na mbona hawakunikatalia? Ingawa visa zimepigwa ban, ila kuna namna unafanya unakwenda kwenye interview kama kawaida.
Muwe mnasoma na kuelewa. Ni lini US ilijiondoa WHO. US walipunguza mchango wao kwa WHO, na siyo kujitoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma nilichoandika au unakurupuka tu. Visa nimepata na sina emergency yoyote. Na wewe lete evidence ya visa ya miaka 5 kwa Watanzania.Usidanganye. Viza hazitolewi kwa sasa except on emergency only.
Pili kuna business people na senior officials wanapata 5 years.
Kwa taarifa nipo sehemu ambayo kiimgereza ndio lugha mama,uchaguzi ushaisha tujenge nchi yetu wazee siasa tuweke kando sasa 😀Hujasoma kwa sababu tatizo lako ni kiingereza.
Duh!babu mbona kama umejiachia sana humu,wakuda wa kumwaga humuUmesoma nilichoandika au unakurupuka tu. Visa nimepata na sina emergency yoyote. Na wewe lete evidence ya visa ya miaka 5 kwa Watanzania.View attachment 1640279
Na hapo ndipo wasafiri from bongoland msoto utakapopatikana.Iko hivi
1. Kuna baadhi ya Ndege za Kimataifa zinamtaka msafiri wa kutoka Nchi yeyote kuonesha cheti kuwa amepima covid na kupata majibu Negative kabla ya kuingia kwenye Ndege
2. Kuna Nchi nyingi za Ulaya na marekani, wanamtaka mtu yeyote anayeingia Nchini humo kuonesha cheti cha kuthibitisha kuwa amepima Korona na kuthibitika kuwa hana kabla ya kuanza safari
Angalizo; kwa anayetegemea kusafiri kwenda Nje ya Nchi ni lazima atafute taarifa sahihi za Ngege anayotumia na Nchi anayokwenda kabla ya kuondoka Nyumbani
Bro I'm not threat to anyone. Na hiyo ni system ya kutrack visa application processDuh!babu mbona kama umejiachia sana humu,wakuda wa kumwaga humu
https://www.cdc.gov/coronavirus/2019-ncov/travelers/map-and-travel-notices.htmlmkuu hiyo ni kwa nchi nyingi ikiwemo hata hao wakenya,cdc wametoa muongozo wa kuingia america kipindi hata kenya ikiwemo,sasa huyo mwandishi wa kenya kaanzisha kimakala chake ya kuwa ni sisi tu while si kweli,kwani hata kenya imetajwa,sie kwa kukosa uzalendo tunasapoti uongo wa mkenya!Na hapo ndipo wasafiri from bongoland msoto utakapopatikana.
Na tukifanya mchezo wa ku-issue certificate feki za Corona pia shughuli itakua pevu,juzi wakenya wamepigwa ban kuingia UAE baada ya kugundulika wanapewa certificate feki kutoka huko kwao.
Kawaida tu mbona. Wabongo wanawatisha tu wengine. Ingekuwa ni kuzuiwa hata airline hawawezi kukuruhusu ku board kama huna required criterion.Juzi tu kuna jamaa namjua karuka hapo dar kwenda usa,na leo nimeongea nae yuko zake PA anajibebea box lake
https://www.cdc.gov/coronavirus/2019-ncov/travelers/map-and-travel-notices.html watu wanasapoti uongo wa mkenya while wakenya roho inawauma wao kukaa lockdown halafu sie atujakaa na bado tuko kwenye level moja,huo ndio muongozo cdc kenya ikiwemo,lkn mwandishi wa kenya kaiweka Tanzania pekee kwa chuki zake tu,na kuna watu wanamsapoti!wabongo alieturoga kafaBro I'm not threat to anyone. Na hiyo ni system ya kutrack visa application process
Hopeless unafikiri nilipotaja Wakenya ukafikiri ndiyo wamesema? Wao ndiyo wameivalia njuga kama wewe Mkenya unayejifanya Mtanzania. Kwanini hupendi nchi yako ya Kenya mkuu??Kwa taarifa yako: Siyo wakenya wamesema. Ni wamarekani. Najua english ni tatizo lako. Pole sana. Mwombe mtu akutafsirie. Sijasema watu walale nyumbani tu. Nchi inatakiwa kuwa wazi kwenye takwimu.
Kweli bro. Kwanza watz hatupewi non-immigrant visa ya 5 years. Katika nchi za EA ni Kenya na Uganda ndio wanapata visa ya 5 years kama inyoonekana kwenye ramani hapa chini.https://www.cdc.gov/coronavirus/2019-ncov/travelers/map-and-travel-notices.html watu wanasapoti uongo wa mkenya while wakenya roho inawauma wao kukaa lockdown halafu sie atujakaa na bado tuko kwenye level moja,huo ndio muongozo cdc kenya ikiwemo,lkn mwandishi wa kenya kaiweka Tanzania pekee kwa chuki zake tu,na kuna watu wanamsapoti!wabongo alieturoga kafa