GreatSeal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,785
- 3,094
Nahis matokeo umeyaona leo ni kama nilivyokwambia ukawa mbishiMkuu, hakuna cha veto power ya rais. Ila hawezi kujitoa WHO na michango atapeleka tu. Hizo statement ni mwendelezo wa ku inflict fear kwa jamii.
Mjadala ni ishu ya WHO, pata time pitia opinions za wanasiasa wa US kuhusu ishu hiyo.