Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania


Hapo inatakiwa diplomacy ya hali ya juu sana hasa kwa serikali ya Biden!!! Kabudi hana diplomacy ni mtu wa maguv na hapo ndio tunawakumbuka watu kama marehemu Mahiga na uzoefu wao!!
 
Tatizo la hawa wakubwa sio wao , watakaoumia ni WATOTO wao ....wengi wana watoto na ndugu wanaoishi ..huko , na marekani hapao ndio huwa wankomoa , washirika wao wa kibishara etc
Watoto wao,wake zao,jamaa zao ni sehemu ya wanufaika wa dhuluma hivyo ni sahihi kukinywea kikombe.
 
Nikiziangalia sura zilizojazana NEC na kwa msajili wa Vyama vya Siasa kwa hakika wamejaa wazalendo watupu na wengi wao hata huko Marekani hawakujui.

Ningepata mashaka kama viongozi wa Chadema au CCM ndio wangezuiliwa kwenda Marekani kwa sababu kwenye vyama vya siasa ndio kumejaa wazururaji.

Au kwa mfano wangezuiliwa wabunge wa bunge letu la JMT akina mheshimiwa Makamba Jr, hapo ingekuwa tatizo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kama kuna massive voter suppression waliwezaje kuchagua wewe kiazi mbatata.
Maandiko hayo yanaeleza kuwa Ingawa kuna massive voter suppression wamarekani weusi /latino waliweza kuchagua wawakilishi wao!!! Is that a contradiction you empty skull!!
 
Nimependa agizo hilo kwamba WACHUKULIWE HATUA vinginevyo Marekani haitasita kuchukua hatua zaidi
 
Hii kauli ni ukiwa verified ile ID yako nyingine nimeisoma umemponda Sana guma nijo
Na sisi sijui tuwawekee vikwazo walomuibia kura Trump,ila tuache tu maana nyani haoni kundule kwa sababu kundule lipo upande ambao kisogo kipo.
Huyu jamaa kama kuna kitu alivutishwa akiwa mtoto,kha,
 
LUKA. 6:41-45 "Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako".

“Why do you look at the speck in your brother's eye, but pay no attention to the log in your own eye? How can you ...
 
Kama kuna massive voter suppression waliwezaje kuchagua wewe kiazi mbatata.

"Massive" does not mean " Total" hence waliweza kuchagua you NUT! Ndio maana Democrats walishindwa TEXAS ambako voter suppression ilikuwa very significant compared to Georgia ambako Stacey Abrahams na network yake waliweza kuthibiti voter suppression significantly na hivyo Democrats kushinda!!
 
Kwa Taarifa yako waliozuiliwa wengi ni viongozi wako japo wa Tume nao wamo , kuna lundo la viongozi wanaokutumikisha , halafu kingine unachopaswa kufahamu ni kwamba ukizuiliwa na USA , basi kuna mataifa mengine kama 10 hivi hutakanyaga , omba Mungu msiugue Tezi dume au maradhi mengine ya kukata viungo kama naniliuu aliyekatwa vidole
 
kama umepokea misaada mbali mbali,matundu ya choo kwa hisani ya watu wa marekani! ...kuwa mpole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…