Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

Kwani Nyerere ndiye mmiliki wa ili Taifa?
Je,bado anaishi?
 
Kumbe nawe ni box tupu namna hii?
Hivi Tweeter ni serikali ya Marekani? Unataka ukipigwa ban hapa JF kwa lugha zako zinazoenda tofauti na masharti basi ilaumiwe serikali?
Soma uelimike kwanza kabla ya kubwabwaja hadharani!
 
Upuuuuzi mtupu.

Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.

Wanacho kihamasisha wao hawakiishi, wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Mngekuwa mnaongea hivyo halafu mna uwezo wa kujisimamia mambo yenu mngeheshimiwa sana na hata uchaguzi wenu ungekuwa kioo.

Sasa mnaongea hivyo halafu mnatembeza tena bakuli kama kawaida mnaonekana mafala tu kwa kauli hizi za kijinga.

Wekeni demokrasia acheni unafiki. Bure kabisa.
 
Usizunguke mbuyu kusema wako kadhaa humu JF, sema washabiki wengi wa CCM ni majuha kalulu ambao kujibishana nao wanaweza kukuambukiza ujinga.
Wapo wapo tuu na kufuata upepo unakoelekea hasa yule wanayemwamini kama mungu akitamka kitu
 
Walivyomfungia Trump account yake ya Twitter haikuwa kuminya uhuru wa kujieleza? Trump aliibiwa kura, je kwa wao ni sawa kumuibia Trump kura? Wamarekani weusi wanauliwa kila kukicha, je ni sawa tu kuondoa uhai wa mtu mweusi ndani ya USA?
 
Wasipige PIN tu ARV's, maana tutampoteza kiongozi mkuu pale ufipa.
 
Na huyu si anaondoka na Trump, sasa aache kiherehere, uchaguzi tu wa US ulikuwa na matatizo kibao, na sisi Tanzania tunaanzisha kuwanyima visa wamarekani wote waliharibu uchaguzi wa mwaka jana huko Marekani, sisi wao wakiharibu tunakaa kimya tu, ila wao wanatuangalia sisi, huko US kulitokea ghasia na vurugu kubwa sana, na sisi tunawanyima visa akiwemo Mike Pompeo mwenyewe..
 
Mikwala tuu huo ni wivu kwa sababu tunakaribisha wachina kwetu na uwekezaji
 
Wewe chaka kabisa, uhuru wa mtu hauchagui kipato chake bali ndo demokrasia
 
Mbona Rais Trump amelalamika sana kuibiwa kura, wamefunga account zake ili asiwasiliane na watu wake, na hakuna mahakama, wala Vyombo vya uchunguzi vilivyochukua hatua yeyote hata kumsikiliza kama mwananchi wa kawaida licha yeye kua ni Raisi....
Sema waje wajifunze namna wizi unavyofanyika
 
Upuuuuzi mtupu.

Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.

Wanacho kihamasisha wao hawakiishi, wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Kama Tanzania imefanya uchunguzi na kugundua hayo iweke vikwazo kwa wamiliki wa tweeter
 
Watu hawaelewi wanafikiri ni kuzuiliwa kwenda US tu - hii ngoma inakwenda mbele zaidi kwamba US haitapokea traces zozote za ndugu zako wa damu, watoto wako, mzigo ama order yoyote toka Marekani kwa jina lako milele - hadi watakapoifuta hatua hii

Kumbuka kwamba hii ni individual - hata ukiacha kazi serikalini leo bado adhabu ipo palepale mpaka itakapotenguliwa ! - kwa hiyo kama ulikuwa na mtoto wako, ndugu yako wa damu anasema unakwenda na maji - jiandae kumpokea
 


 
Ndg zangu kuna mwenye taarifa ya majina ya waliokatazwa kwenda Marekani? Makonda alipokatazwa tulitangaziwa! Mbona leo ni maneno matupu na yamesababisha malumbano mitandaoni?

Jambo hili linapunguza mahusiano ya kidiplomasia ya nchi hizi mbili. Kwanini nchi kubwa kama Marekani iiagize nchi nyingine kwenye mtandao wa kijamii? Tena kwenye ma suala very sensitive ya diplomasia.

Naomba tulikadili hili.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…