sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Kustaafu kwa jaji sio mwisho wa kesi yakoHuyu kibarua chake kinakwisha kesho, itakuwaje kuhusu haya matamko yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kustaafu kwa jaji sio mwisho wa kesi yakoHuyu kibarua chake kinakwisha kesho, itakuwaje kuhusu haya matamko yake?
Kwani Nyerere ndiye mmiliki wa ili Taifa?Kwani demokrasia yetu lazima ifanane na yao? Nyerere alisema, democracy is not like a bottle of Cocacola that you can just import from some other place, democracy should be self grown to suite the needs of our country, they can shove their sanctions up their stinky azz holes
kama chatu anameza mzogaKama namuona Kabudi macho yanavyomtoka😅
Hahahahakama chatu anameza mzoga
Omba MOds wasione huu ujumbe wako,utapigwa ban la ukweli,nilijaribu siku moja ikala kwangu.Hii kauli ni ukiwa verified ile ID yako nyingine nimeisoma umemponda Sana guma nijo
Kumbe nawe ni box tupu namna hii?Mbona Rais Trump amelalamika sana kuibiwa kura, wamefunga account zake ili asiwasiliane na watu wake, na hakuna mahakama, wala Vyombo vya uchunguzi vilivyochukua hatua yeyote hata kumsikiliza kama mwananchi wa kawaida licha yeye kua ni Raisi.
Watanzania wanaweza kumaliza changamoto zao wenyewe, washughulike Madai ya Rais Trump na watoe matokeo ya uchunguzi hazarani ili Dunia ijifunze kutoka kwao, kwa sasa Marekani haina uhalali wa kushauri wala kukemea nchi nyingene.waje wajifunze namna ya kufanya uchaguzi na kuheshimu viongozi.
Mngekuwa mnaongea hivyo halafu mna uwezo wa kujisimamia mambo yenu mngeheshimiwa sana na hata uchaguzi wenu ungekuwa kioo.Upuuuuzi mtupu.
Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.
Wanacho kihamasisha wao hawakiishi, wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Usizunguke mbuyu kusema wako kadhaa humu JF, sema washabiki wengi wa CCM ni majuha kalulu ambao kujibishana nao wanaweza kukuambukiza ujinga.Bora kama umeliona hilo. Wako kadhaa humu JF, we wasome mabandiko yao. Wanadhani kuvuruga uchaguzi kunaishia kwenye visa ban, watatupiga spana mpaka kwenye uchumi na afya. Kwa mfano wakizuia pesa za afya, nadhani wizara nzima ita paralyze, kwa sababu 70% ya miradi ya afya ni pesa za Wamarekani.
Walivyomfungia Trump account yake ya Twitter haikuwa kuminya uhuru wa kujieleza? Trump aliibiwa kura, je kwa wao ni sawa kumuibia Trump kura? Wamarekani weusi wanauliwa kila kukicha, je ni sawa tu kuondoa uhai wa mtu mweusi ndani ya USA?Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza demokrasia na ustawi wa pande zote kwa nchi zetu zote mbili."
View attachment 1681412
Soma pia: Visa Restrictions on Tanzanians for Undermining the Democratic Process and Human Rights - United States Department of State
___________________________________________________
Marekani imetangaza kuwawekea vikwazo vya vya kuingia nchini humo maafisa wa Tanzania ambao nchi hiyo inawatuhumu kwa kile wanachokitaja kuwa kuharibu uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, mwaka 2020.
Maofisa hao wanatajwa kuhusika kuingilia mchakato wa uchaguzi na kuminya utekelezaji wa demokrasia.
Hata hivyo taarifa hiyo ya wizara ya mambo ya nje ya Marekani haijabainisha ni viongozi gani hasa kutoka Tanzania waliowekewa vikwazo vya kuingia Marekani.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo, Waangalizi wa uchaguzi na mashirika ya kiraia wanadai kuwepo kwa udanganyifu katika uchaguzi huo pamoja na uvunjifu wa haki za binadamu wakati na baada ya uchaguzi.
Marekani inasema kuzimwa ama kuzimika kwa mitandao, kuminywa kwa waandishi wa habari na nguvu kubwa iliyotumiwa na jeshi la Polisi kunafanya uchaguzi huo kutokua huru na wa haki.
Katika uchaguzi huo, baadhi ya wagombea kutoka vyama vya upinzani walienguliwa kwa sababu mbalimbali na wengine kukamatwa.
Tume ya uchaguzi nchini humo na hata Serikali kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Palamagamba Kabudi ilieleza kwamba uchaguzi ulikua huru na wa haki.
Marekani inasema pamoja na hatua hii iliyochukua dhidi ya maafisa wa Tanzania, inaendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya hoja hiyo, huku ikisema haitasita kuchukua hatua zaidi dhidi ya wale wanaominya demokrasia na kuvunja haki za binadamu.
''Tunaitaka Tanzania, kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kuvuruga uchaguzi, kufanya vurugu na kuleta vitisho'' ilisema sehemu ya taarifa hiyo.
Juhudi za kumpata msemaji wa serikali ya Tanzania kuzungumzia suala hilo mpaka sasa hazijazaa matunda, na tutaendelea kuwatafuta kwa ajili ya kuzungumzia suala hilo
Haya ni moja ya maamuzi ya mwisho ya utawala wa rais Donald Trump ambaye amebakiza saa chache kuachia mamlaka ya urais. Mpaka sasa haijafahamika iwapo utawala wa rais mpya Joe Biden kama utatekeleza maamuzi hayo. Tayari ofisi ya Biden imetangaza kuwa itatengua sera kadhaa za Trump mara tu baada ya kuingia ofisini kesho.
BBC.
Wewe chaka kabisa, uhuru wa mtu hauchagui kipato chake bali ndo demokrasiaMngekuwa mnaongea hivyo halafu mna uwezo wa kujisimamia mambo yenu mngeheshimiwa sana na hata uchaguzi wenu ungekuwa kioo.
Sasa mnaongea hivyo halafu mnatembeza tena bakuli kama kawaida mnaonekana mafala tu kwa kauli hizi za kijinga.
Wekeni demokrasia acheni unafiki. Bure kabisa.
Sema waje wajifunze namna wizi unavyofanyikaMbona Rais Trump amelalamika sana kuibiwa kura, wamefunga account zake ili asiwasiliane na watu wake, na hakuna mahakama, wala Vyombo vya uchunguzi vilivyochukua hatua yeyote hata kumsikiliza kama mwananchi wa kawaida licha yeye kua ni Raisi....
Kama Tanzania imefanya uchunguzi na kugundua hayo iweke vikwazo kwa wamiliki wa tweeterUpuuuuzi mtupu.
Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump.
Wanacho kihamasisha wao hawakiishi, wadeal na hali yao wanaiyoipitia sasa baada ya uchaguzi.
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje, Mike Pompeo ameandika "Kuna matokeo ya kuingilia mchakato wa kidemokrasia. Kuanzia leo, tunaweka vizuizi vya visa kwa wale wanaohusika na uvurugaji wa uchaguzi nchini Tanzania. Tunabaki kujitolea kufanya kazi pamoja kuendeleza demokrasia na ustawi wa pande zote kwa nchi zetu zote mbili."
View attachment 1681412
Soma pia: Visa Restrictions on Tanzanians for Undermining the Democratic Process and Human Rights - United States Department of State
___________________________________________________
Marekani imetangaza kuwawekea vikwazo vya vya kuingia nchini humo maafisa wa Tanzania ambao nchi hiyo inawatuhumu kwa kile wanachokitaja kuwa kuharibu uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, mwaka 2020.
Maofisa hao wanatajwa kuhusika kuingilia mchakato wa uchaguzi na kuminya utekelezaji wa demokrasia.
Hata hivyo taarifa hiyo ya wizara ya mambo ya nje ya Marekani haijabainisha ni viongozi gani hasa kutoka Tanzania waliowekewa vikwazo vya kuingia Marekani.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo, Waangalizi wa uchaguzi na mashirika ya kiraia wanadai kuwepo kwa udanganyifu katika uchaguzi huo pamoja na uvunjifu wa haki za binadamu wakati na baada ya uchaguzi.
Marekani inasema kuzimwa ama kuzimika kwa mitandao, kuminywa kwa waandishi wa habari na nguvu kubwa iliyotumiwa na jeshi la Polisi kunafanya uchaguzi huo kutokua huru na wa haki.
Katika uchaguzi huo, baadhi ya wagombea kutoka vyama vya upinzani walienguliwa kwa sababu mbalimbali na wengine kukamatwa.
Tume ya uchaguzi nchini humo na hata Serikali kupitia waziri wake wa mambo ya nje, Palamagamba Kabudi ilieleza kwamba uchaguzi ulikua huru na wa haki.
Marekani inasema pamoja na hatua hii iliyochukua dhidi ya maafisa wa Tanzania, inaendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya hoja hiyo, huku ikisema haitasita kuchukua hatua zaidi dhidi ya wale wanaominya demokrasia na kuvunja haki za binadamu.
''Tunaitaka Tanzania, kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kuvuruga uchaguzi, kufanya vurugu na kuleta vitisho'' ilisema sehemu ya taarifa hiyo.
Juhudi za kumpata msemaji wa serikali ya Tanzania kuzungumzia suala hilo mpaka sasa hazijazaa matunda, na tutaendelea kuwatafuta kwa ajili ya kuzungumzia suala hilo
Haya ni moja ya maamuzi ya mwisho ya utawala wa rais Donald Trump ambaye amebakiza saa chache kuachia mamlaka ya urais. Mpaka sasa haijafahamika iwapo utawala wa rais mpya Joe Biden kama utatekeleza maamuzi hayo. Tayari ofisi ya Biden imetangaza kuwa itatengua sera kadhaa za Trump mara tu baada ya kuingia ofisini kesho.
BBC.
[emoji3][emoji3][emoji3]Na huyu si anaondoka na Trump, sasa aache kiherehere, uchaguzi tu wa US ulikuwa na matatizo kibao, na sisi Tanzania tunaanzisha kuwanyima visa wamarekani wote waliharibu uchaguzi wa mwaka jana huko Marekani, sisi wao wakiharibu tunakaa kimya tu, ila wao wanatuangalia sisi, huko US kulitokea ghasia na vurugu kubwa sana, na sisi tunawanyima visa akiwemo Mike Pompeo mwenyewe..