IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Hizo ndiyo sera zao walizojiwekea. Na sisi tunaweza kuwa na sera zetu kuwahusu wao na nchi nyingine. Hata baba mlevi huwa ana sheria zake nyumbani kwake na familia inazifuata. Kwanza hatulamishwi kwenda huko Marekani sasa tatizo liko wapi??Upuuuuzi mtupu.
Wanahamasisha uhuru wa kujieleza, huku wameifungia acc ya twitter ya Trump....