atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Aisee! Bibi Pelosi kaamua liwalo na liwe!!Ndiye yeye,
Ametumia parachute!?
Liwa kiboga.Wazipige tu maisha yenyewe nshakata nayo tamaa
Atavamia white house au capital hillWatu nawashangaa sana, hivi watu kwa akili zenu mnafikiri China atafanya nini hapo.
Ametua na ungo, rada za kichina zinahitaji upgrade ya Gambosh ver. 6Ametumia parachute!?
UngoAmetumia parachute!?
BREAKING: Speaker Nancy Pelosi arrives in Taiwan despite repeated warnings from mainland China. House Speaker Nancy Pelosi touches down in Taiwan despite China's warnings https://t.co/mTgAsC4j9W
China inaanza saa ngapi kujibu mapigo ?[emoji23][emoji23] ila watu hawaipendi marekani basi tu ila hao jamaa sio poa.
Vipi mchoko una maoni gani sasa? Nilikwambia Pelosi atatua Taiwan vipi China kamzuia ama?Thubutu. Marekani aibu nyingine anajitengenezea mwenyewe. Naona upo kwenye ndoto. Angalia usijikojolee tu