Marekani kuiuzia Australia makombora ya JASSM-ER kukabiliana na kitisho cha China

Marekani kuiuzia Australia makombora ya JASSM-ER kukabiliana na kitisho cha China

John7371

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2018
Posts
2,994
Reaction score
6,676
Washington, Serikali ya Marekali imeridhia maombi ya Austalia ya kununua makombora ya masafa marefu ya JASSM-ER yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 235 ili kuweza kukabiliana na kitisho cha China Asia Pacific.

Makombora haya ya kimkakati yana uwezo wa kusafiri hadi umbali wa kilometa 935 kwa kurushwa kupitia ndege za kivita za Austalia chapa F-35 na F/18 .

Idhinisho hili la uuzaji wa silaha litaisaidia pakubwa Australia kupambana na China endapo mgogoro mkubwa utaibuka kati ya China na Taiwani na hivyo kuzifanya ndege za Australia kuweza kuishambulia Uchina bila kuhitaji ujazaji wa mafuta angani.

1664021958780.png

Picha ya F-35 ikiwa imebeba kombora la masafa marefu la JASSM-ER.

1664022542996.png


JASSM-ER ni kombora la masafa marefu linalotengenezwa na Lockheed Martin, ambalo lina kilogram 450 na uwezo mkubwa wa kushambulia lengo pasipo kuonekana kwenye rada.

Makombora haya yametengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu ili kuweza kukabiliana na kitisho cha mifumo imara ya ulinzi wa anga kama S300, S400, na S500.
 
The missile is powered by a turbojet engine, while the ER variant is powered by a turbofan engine.The missile is guided by INS/GPS unit developed for the JDAM and JSOW bombs, and also a IR seeker for terminal guidance. It also incorporates three-dimensional targeting models of the intended targets, of which eight can be stored in each missile. The Air Force indicates that the missile is accurate within 3 m CEP.
 
In 2018, the USAF initiated development of a further extended variant designated the AGM-158D. Known as the JASSM-XR, or “Extreme Range,” it can range approximately 1,800 km. Deliveries are planned to start in January 2024
 
The JASSM is fitted to the B-1B Lancer, B-2 Spirit, B-52H Stratofortress, F-15E Strike Eagle, F-16C/D, F/A-18C/D, and possibly later the F-35 Joint Strike Fighter. The B-1B and F-15E can also equip the upgraded JASSM-ER.
 
Hiki kifurushi kitamwumiza kichwa Mchina.
Baada ya Russia, huko China, Taiwan na bara zima la Asia panaweza pasikalike. Sasa hivi mashindano ya kuzalisha silaha bara la Asia ni kama yameanza.

Migogoro ya kimipaka na kieneo ni mingi mno. Migogoro mingi inaihusisha uchina.
China vs Japan.
China vs Philippines.
China vs Taiwan.
China vs Australia.
China vs US.
China vs Vietnam.
China vs India.
China vs Indonesia & etc.
 
Hiki kifurushi kitamwumiza kichwa Mchina.
Kumuumiza kichwa sidhani, kumpasua kichwa itakuwa ni sahihi. China ana karata mbili ...

1. Kuwa mpole aendelee kuzinguliwa na west ila yeye aendelee kujikita zaidi na kujenga uchumi

2. Aingie vitani ili kuweza kutetea mipaka yake. Taiwan ikiondoka mazima, maana yake China anaogopa vita. US anaweza tumia advantage hii kushawishi majimbo mengine ndani ya China yajitenge hasa Hong Kong.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Kumuumiza kichwa sidhani, kumpasua kichwa itakuwa ni sahihi. China ana karata mbili ...

1. Kuwa mpole aendelee kuzinguliwa na west ila yeye aendelee kujikita zaidi na kujenga uchumi

2. Aingie vitani ili kuweza kutetea mipaka yake. Taiwan ikiondoka mazima, maana yake China anaogopa vita. US anaweza tumia advantage hii kushawishi majimbo mengine ndani ya China yajitenge hasa Hong Kong.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Kwa kinachompata mwenzake, sidhan kama anaweza kuingia tena Taiwan kichwa kichwa. Ukraine ingeshindwa mapema sasa hv tungekuwa tunaongea habari nyingine kabisa kuihusu Taiwan.

Inawezekana US aliondoka ghafla Afgan akijua fika ambacho kingetokea Ukraine na Taiwan kwa pamoja. Haya mataifa yalishajua US keshakuwa preoccupied Syria, Afghanistan, Iraq, nk na asingeweza kutetea nchi zote mbili kwa pamoja.

Temptation ya kuvamia Ukraine I think ilitokana pia na miscalculation kubwa ya Russia na China baada ya ku-interpret kujiondoa kwa majeshi ya US afgan kama weakness na kushuka kwa nguvu ya marekani, kumbe mwenzao alikuwa anacheza long game.
 
... Dah; mbona variants kibao? Na hizo ambazo hazijulikani? Hatari sana.
Marekani inawezekana ina silaha nyingi ambazo pengine dunia haijawahi kuzisikia, kuziona, au hata kuzihisi ikiwemo wananchi wake wengi. Possibly ni watu wachache sana watakaukuwa wanajua.

Wamarekani wanaamini kwenye usiri. Ndiyo maana Putin alivyoivamia Ukraine Biden alisema -

"The United States will talk softly, and carry a large Javelin"

Lakin Putin akiwa anaongelea silaha za Russia utasikia anasema , Russia ina fantastic weapons, Russia ina silaha dunia haijawahi kuziona, Russia ina super duper weapons nk. Lakin kwenye battlefield ndo hvyo tena
 
Washington, Serikali ya Marekali imeridhia maombi ya Austalia ya kununua makombora ya masafa marefu ya JASSM-ER yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 235 ili kuweza kukabiliana na kitisho cha China Asia Pacific.

Makombora haya ya kimkakati yana uwezo wa kusafiri hadi umbali wa kilometa 935 kwa kurushwa kupitia ndege za kivita za Austalia chapa F-35 na F/18 .

Idhinisho hili la uuzaji wa silaha litaisaidia pakubwa Australia kupambana na China endapo mgogoro mkubwa utaibuka kati ya China na Taiwani na hivyo kuzifanya ndege za Australia kuweza kuishambulia Uchina bila kuhitaji ujazaji wa mafuta angani.

View attachment 2366609
Picha ya F-35 ikiwa imebeba kombora la masafa marefu la JASSM-ER.

View attachment 2366613

JASSM-ER ni kombora la masafa marefu linalotengenezwa na Lockheed Martin, ambalo lina kilogram 450 na uwezo mkubwa wa kushambulia lengo pasipo kuonekana kwenye rada.

Makombora haya yametengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu ili kuweza kukabiliana na kitisho cha mifumo imara ya ulinzi wa anga kama S300, S400, na S500.
US akili kubwa Hizi ndio biashara anaefanya ,biashara za akili sio biashara za kuuza ngano na mahindi biashara za kipumbaf kama supa pawa mandonga
 
Washington, Serikali ya Marekali imeridhia maombi ya Austalia ya kununua makombora ya masafa marefu ya JASSM-ER yenye thamani ya dola za kimarekani milioni 235 ili kuweza kukabiliana na kitisho cha China Asia Pacific.

Makombora haya ya kimkakati yana uwezo wa kusafiri hadi umbali wa kilometa 935 kwa kurushwa kupitia ndege za kivita za Austalia chapa F-35 na F/18 .

Idhinisho hili la uuzaji wa silaha litaisaidia pakubwa Australia kupambana na China endapo mgogoro mkubwa utaibuka kati ya China na Taiwani na hivyo kuzifanya ndege za Australia kuweza kuishambulia Uchina bila kuhitaji ujazaji wa mafuta angani.

View attachment 2366609
Picha ya F-35 ikiwa imebeba kombora la masafa marefu la JASSM-ER.

View attachment 2366613

JASSM-ER ni kombora la masafa marefu linalotengenezwa na Lockheed Martin, ambalo lina kilogram 450 na uwezo mkubwa wa kushambulia lengo pasipo kuonekana kwenye rada.

Makombora haya yametengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu ili kuweza kukabiliana na kitisho cha mifumo imara ya ulinzi wa anga kama S300, S400, na S500.
Natamani washushe hizi mashine pale Ukraine zelensky amnyooshe Yule pimbi mpaka Moscow
 
Baada ya Russia, huko China, Taiwan na bara zima la Asia panaweza pasikalike. Sasa hivi mashindano ya kuzalisha silaha bara la Asia ni kama yameanza.

Migogoro ya kimipaka na kieneo ni mingi mno. Migogoro mingi inaihusisha uchina.
China vs Japan.
China vs Philippines.
China vs Taiwan.
China vs Australia.
China vs US.
China vs Vietnam.
China vs India.
China vs Indonesia & etc.
Halafu anatokea mtu anashauri China aikomalie Taiwan, thubutuuuuuu.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Natamani washushe hizi mashine pale Ukraine zelensky amnyooshe Yule pimbi mpaka Moscow
Niliona readout ya senior pentagon official alipouliza juu ya ATACMS akajibu kwamba, US haioni umuhimu wa kuwapa Ukraine advanced systems nyingine kwa sababu kwendana na tathmini yao, hizo walizompa zinatosha kuifanya Ukraine ishinde vita.
 
US akili kubwa Hizi ndio biashara anaefanya ,biashara za akili sio biashara za kuuza ngano na mahindi biashara za kipumbaf kama supa pawa mandonga
Na mbolea! Nilisema humu nikatukanwa sana; US kuagiza mbolea Russia haina maana hawezi kuzalisha mbolea ila sio level zake kwa sasa. Urea? Hata hapo Minjingu si wanazalisha!
 
Back
Top Bottom