Marekani kuiuzia Australia makombora ya JASSM-ER kukabiliana na kitisho cha China

Marekani kuiuzia Australia makombora ya JASSM-ER kukabiliana na kitisho cha China

Baada ya Russia, huko China, Taiwan na bara zima la Asia panaweza pasikalike. Sasa hivi mashindano ya kuzalisha silaha bara la Asia ni kama yameanza.

Migogoro ya kimipaka na kieneo ni mingi mno. Migogoro mingi inaihusisha uchina.
China vs Japan.
China vs Philippines.
China vs Taiwan.
China vs Australia.
China vs US.
China vs Vietnam.
China vs India.
China vs Indonesia & etc.
Yaani tena China ndio hata asijikune yaani atapigwa Mande achakae Maana hao site waliomzunguka ni allies WA kufa na kupona WA USA with exception labda kigeugeu India ambaye naye ana bifu Kali na Pakistan pale kashmir so USA hela anayoenda kupiga muda Huu mpaka ataikimbia
 
Kwa kinachompata mwenzake, sidhan kama anaweza kuingia tena Taiwan kichwa kichwa. Ukraine ingeshindwa mapema sasa hv tungekuwa tunaongea habari nyingine kabisa kuihusu Taiwan.

Inawezekana US aliondoka ghafla Afgan akijua fika ambacho kingetokea Ukraine na Taiwan kwa pamoja. Haya mataifa yalishajua US keshakuwa preoccupied Syria, Afghanistan, Iraq, nk na asingeweza kutetea nchi zote mbili kwa pamoja.

Temptation ya kuvamia Ukraine I think ilitokana pia na miscalculation kubwa ya Russia na China baada ya ku-interpret kujiondoa kwa majeshi ya US afgan kama weakness na kushuka kwa nguvu ya marekani, kumbe mwenzao alikuwa anacheza long game.
Wazee WA pentagon ni hatari Mzee ,wale jamaa Wana balaa yaani plans zao huwa zipo precisely calculated ,kila wanachofanya
 
Na mbolea! Nilisema humu nikatukanwa sana; US kuagiza mbolea Russia haina maana hawezi kuzalisha mbolea ila sio level zake kwa sasa. Urea? Hata hapo Minjingu si wanazalisha!
Tatizo warusi WA kolomije hawaelewi haya mambo , yaani deal moja analofanya Us hasa Kwa kuuza technology ya ulinzi ,weapons na equipments ni GDP ya baadhi ya nchi billions of USD .Si mchezo
 
Nje ya mada WAKUU
LPR
DPR
ZAPORINHE
KHERSON
ODESSA loading
Haya maeneo ukitoa ODESSAA kufikia mwexi kesho yatakua sehem ya shirikisho la URUSI na RAIS wao akiwa ni mwamba PUT IN

Sent using Jamii Forums mobile app
Putin amekutana na west ambao wamedhamiria lolote.

Dilemma ya Putin ipo hapa,

●LNR, DPR, KHERSON zote zinapiga kura ya kujiunga na Russia, and of course probability kubwa matokeo yatakuwa YES, hvyo yakakuwa sehemu ya nchi ya Russia rasmi.
●Russia kutokana na doctrine yao, watatumia silaha za nucleur endapo sehemu ya ardhi yao itashambuliwa kivyovyote. Russia pia wameonya kwamba hata silaha za West zikitumika kushambulia sehemu ya ardhi yao itapelekea nucleur escalation.
●West wameshasema hawatayatambua hayo maeneo mapya kama sehemu halali ya Russia na kwamba ni fair target, na hawatakubali, na wataisaidia Ukraine kuyarudisha hayo maeneo kijeshi.
-Swali la msingi, je, Russia atatumia silaha za Nuclear kutetea ardhi yake mpya? Je, West atakubali?
*Kwenye hili la kutumia silaha za nucleur Ukraine Biden ameshawaounya warusi wasijaribu.

2nd Scenario, Russia anaweza kutoa matokeo ya kura ya maoni yanayoonyesha kushindwa, na kusema ooh look, watu wa DPR, LNR,KHERSON wamekataa kujiunga na Russia na hvyo hakuna umuhimu wa kuyatetea, hivyo kuwa way out kwa putin kwenye huu mgogoro.

Katika scenario ya Nucleur, wachambuzi wanasema hakuna jinsi US atakaa kimya endapo silaha hizi zitatumika Ukraine, na lazima wata-respond massively ili hata China, Iran, North Korea asijaribu au hata kufikiria kuzitumia dhidi ya nchi nyingine.
 
Na mbolea! Nilisema humu nikatukanwa sana; US kuagiza mbolea Russia haina maana hawezi kuzalisha mbolea ila sio level zake kwa sasa. Urea? Hata hapo Minjingu si wanazalisha!
Umenikumbusha mbali sana, Obama katika utawala wake alikuja Africa, na moja ya kituo ilikuwa Ghana.

Moja ya maswali aliyoulizwa katika ile conference ni juu ya US kuinyonya Africa na kuirudisha nyuma kimaendeleo.

Obama alionyeshwa kushangaa sana, akawaambia biashara kubwa ya Marekani ipo Europe na China, na some Asian countries, akaendelea kusema-Biashara ya US na Africa ni ndogo mnoooo mnoooo.
 
Kumuumiza kichwa sidhani, kumpasua kichwa itakuwa ni sahihi. China ana karata mbili ...

1. Kuwa mpole aendelee kuzinguliwa na west ila yeye aendelee kujikita zaidi na kujenga uchumi

2. Aingie vitani ili kuweza kutetea mipaka yake. Taiwan ikiondoka mazima, maana yake China anaogopa vita. US anaweza tumia advantage hii kushawishi majimbo mengine ndani ya China yajitenge hasa Hong Kong.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Hongkong ishadhibitiwa
 
Kwa kinachompata mwenzake, sidhan kama anaweza kuingia tena Taiwan kichwa kichwa. Ukraine ingeshindwa mapema sasa hv tungekuwa tunaongea habari nyingine kabisa kuihusu Taiwan.

Inawezekana US aliondoka ghafla Afgan akijua fika ambacho kingetokea Ukraine na Taiwan kwa pamoja. Haya mataifa yalishajua US keshakuwa preoccupied Syria, Afghanistan, Iraq, nk na asingeweza kutetea nchi zote mbili kwa pamoja.

Temptation ya kuvamia Ukraine I think ilitokana pia na miscalculation kubwa ya Russia na China baada ya ku-interpret kujiondoa kwa majeshi ya US afgan kama weakness na kushuka kwa nguvu ya marekani, kumbe mwenzao alikuwa anacheza long game.
Swadakta
 
Kwa kinachompata mwenzake, sidhan kama anaweza kuingia tena Taiwan kichwa kichwa. Ukraine ingeshindwa mapema sasa hv tungekuwa tunaongea habari nyingine kabisa kuihusu Taiwan.

Inawezekana US aliondoka ghafla Afgan akijua fika ambacho kingetokea Ukraine na Taiwan kwa pamoja. Haya mataifa yalishajua US keshakuwa preoccupied Syria, Afghanistan, Iraq, nk na asingeweza kutetea nchi zote mbili kwa pamoja.

Temptation ya kuvamia Ukraine I think ilitokana pia na miscalculation kubwa ya Russia na China baada ya ku-interpret kujiondoa kwa majeshi ya US afgan kama weakness na kushuka kwa nguvu ya marekani, kumbe mwenzao alikuwa anacheza long game.
You nailed it.
 
Addition:
Lockheed Martin now wanatengeza kombora jipya la JASSM ambalo litakua na range mara mbili zaidi ya hili la sasa (ambao mtoa mada kalizungumzia) Linaitwa JASSM - XR (Extreme Range) lina Range ya 1800km.
 
... Dah; mbona variants kibao? Na hizo ambazo hazijulikani? Hatari sana.
Na nyingi hapa ni nucleur capable fighters na bombers Mf. F-35 inaweza kubeba powerful nucleur bomb kuliko fatman lililotupwa Hiroshima. F-35 inabeba B61-12 nucleur bomb.
 
Warusi wa Buza watatukana sana iRa huo ndio ukweRii ndugu zangu.
Na mbolea! Nilisema humu nikatukanwa sana; US kuagiza mbolea Russia haina maana hawezi kuzalisha mbolea ila sio level zake kwa sasa. Urea? Hata hapo Minjingu si wanazalisha!
 
Madikteta wazalendo uchwara ndio hupenda sana hii propaganda ya umaskini wetu unatokana na kuibiwa na West.
Umenikumbusha mbali sana, Obama katika utawala wake alikuja Africa, na moja ya kituo ilikuwa Ghana.

Moja ya maswali aliyoulizwa katika ile conference ni juu ya US kuinyonya Africa na kuirudisha nyuma kimaendeleo.

Obama alionyeshwa kushangaa sana, akawaambia biashara kubwa ya Marekani ipo Europe na China, na some Asian countries, akaendelea kusema-Biashara ya US na Africa ni ndogo mnoooo mnoooo.
 
Hawa jamaa ndio maana wanapenda sana vita. Na kutengeneza migogoro.
 
Katika scenario ya Nucleur, wachambuzi wanasema hakuna jinsi US atakaa kimya endapo silaha hizi zitatumika Ukraine, na lazima wata-respond massively ili hata China, Iran, North Korea asijaribu au hata kufikiria kuzitumia dhidi ya nchi nyingine.
[/QUOTE]
Russia akitumia silaha za Nuclear Ukraine hata mi nitawaona wajinga na yatakuwa matumizi mabaya ya silaha. Kama itatokea kuzitumia naamini zitaanzia USA na nchi nyingine za NATO.
 
Back
Top Bottom