Marekani kuna wizi wa kura, vitambulisho haviruhusiwi kupiga kura kwenye majimbo ya Democrats, Ni Majimbo pekee aliyoshindwa Trump.

Marekani kuna wizi wa kura, vitambulisho haviruhusiwi kupiga kura kwenye majimbo ya Democrats, Ni Majimbo pekee aliyoshindwa Trump.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
1731267735607.png


hadi Marekani wanaojinadi ni wakuu wa Demokrasia haya mambo yapo

Majimbo mekundu alikoshinda Trump ID zinahitajika, Majimbo ya Blue alikoshinda Kamala ID hazihitajiki, kama zinahitajika zisiwe na picha

NON PHOTO ID - Mpiga kura anahitaji nyaraka yoyote isiyo na picha kuthibitisha utambulisho wake, mfano bank statement, bili ya maji, kitambuliisho cha shule, risiti, n.k.

NO ID - Mpiga kura hatakiwi kuonesha kitambulisho chochote, utafika sehemu ya kupiga kura, utaandika jina lako na kuweka sahihi, imeisha hio !!

Hali hii imepelekea kuiba kura, mtu moja anaweza kupiga kura mara nyingi maeneo tofauti, mamilioni ya maharamia walioingizwa awamu ya Biden na kupelekwa majimbo hayo wameweza kupiga kura,

Sehemu zfuatazo ni lazima uwe na kitambulisho chenye picha, unapoishi, mawasilano, tarehe ya kuzaliwa, utaifa, n.k.
  • kununua nyumba
  • kuendesha gari
  • kulipia chumba hotel
  • kukata tiketi ya ndege
  • kukodi gari / boti
  • kuchukua mzigo posta
  • kujiandkisha shule / chuo
  • kuoa / kuolewa
  • kutuma pesa
  • kununua bunduki
  • n.k.
 
Sio Tanzania tu ni mpaka kwa Marekani wanaojinadi ni wakuu wa Demokrasia

View attachment 3148966

Majimbo mekundu alikoshinda Trump ID zinahitajika, Majimbo ya Blue alikoshinda Kamala ID hazihitajiki, kama zinahitajika zisiwe na picha

NON PHOTO ID - Mpiga kura anahitaji nyaraka yoyote isiyo na picha kuthibitisha utambulisho wake, mfano bank statement, bili ya maji, kitambuliisho cha shule, risiti, n.k.

NO ID - Mpiga kura hatakiwi kuonesha kitambulisho chochote, utafika sehemu ya kupiga kura, utaandika jina lako na kuweka sahihi, imeisha hio !!

Hali hii imepelekea kuiba kura, mtu moja anaweza kupiga kura mara nyingi maeneo tofauti, mamilioni ya maharamia walioingizwa awamu ya Biden na kupelekwa majimbo hayo wameweza kupiga kura,

Sehemu zfuatazo ni lazima uwe na kitambulisho chenye picha, unapoishi, mawasilano, tarehe ya kuzaliwa, utaifa, n.k.
  • kununua nyumba
  • kuendesha gari
  • kulipia chumba hotel
  • kukata tiketi ya ndege
  • kukodi gari / boti
  • kuchukua mzigo posta
  • kujiandkisha shule / chuo
  • kuoa / kuolewa
  • kutuma pesa
  • kununua bunduki
  • n.k.
Uongo, hauhitjai ID kununua bunduki Marekani, pia wanaopiga kura ni waliosajiliwa kama wapiga kura.
 
Uongo, hauhitjai ID kununu bunduki Marekani, pia wanaopiga kura ni waliosajiliwa kama wapiga.
hauhitaji Id kununua bunduki mtaani kinyemela

Ukikamatwa na bunduki isiyo na usajili unapigwa mvua ya kutosha

Lil Wayne ilibidi aende jela lakini alipata msamaha wa Rais (Trump )
 
Mkuu, hoja yako kuhusu ID ni nzito. Lakini mbona majimbo aliyoshinda Trump (zenye ulazima wa ID), Kamala naye amepata kura nyingi sana?

1731289776773.png
 
Back
Top Bottom