Marekani: Matukio 201 ya ufyatuaji risasi yametokea Mwaka 2023

Marekani: Matukio 201 ya ufyatuaji risasi yametokea Mwaka 2023

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Matukio ya mauaji ya watu kwa risasi yameendelea kuitesa Marekani ambapo kwa mujibu wa Ripoti ya Gun Violence Archive idadi ya vifo hadi Mei 8, 2023 ni 14,865 wakati waliojeruhiwa ni 11,872.

Katika rekodi hizo, waliouawa kwa kukusudia au kutokusudia ni 6,417 wakati waliojiua ni 8,448, kati yao Watoto chini ya miaka 11 waliouawa ni 98, chini ya miaka 17 ni 530, Wanausalama 20.

Takwimu hizo zinaonesha kuwa kuna wastani wa watu 50 kuuawa kwa risasi kila siku ndani ya Marekani, inatajwa kuwa umiliki wa silaha za moto umechangia matukio mengi, ambapo rekodi za Mwaka 2018 zinaonesha taifa hilo lilikuwa na silaha za moto Milioni 390.

Takwimu.JPG

How many US mass shootings have there been in 2023?
Gun violence is a fixture in American life - but the issue is a highly political one, pitting gun control advocates against people who are fiercely protective of their right to bear arms.

We've looked into some of the numbers behind firearms in the US.

Mass shootings on the rise
There have been 201 mass shootings across the US so far this year, according to the Gun Violence Archive, which defines a mass shooting as an incident in which four or more people are injured or killed. Their figures include shootings that happen in homes and in public places.

There have been two in Texas in the last week - five killed at a home in Cleveland, north of Houston, and eight dead at a shopping mall in Allen, near Dallas.

In each of the last three years, there have been more than 600 mass shootings, almost two a day on average.

How do US gun deaths break down?
48,830 people died from gun-related injuries in the US during 2021, according to the latest data from the US Centers for Disease Control and Prevention (CDC).

That's nearly an 8% increase from 2020, which was a record-breaking year for firearm deaths.

While mass shootings and gun murders (homicides) generally garner much media attention, more than half of the total in 2021 were suicides.

That year, more than 20,000 of the deaths were homicides, according to the CDC.

Data shows more than 50 people are killed each day by a firearm in the US.

That's a significantly larger proportion of homicides than is the case in Canada, Australia, England and Wales, and many other countries.

How many guns are there in the US?
While calculating the number of guns in private hands around the world is difficult, the latest figures from the Small Arms Survey - a Swiss-based research project - estimated that there were 390 million guns in circulation in the US in 2018.

The US ratio of 120.5 firearms per 100 residents, up from 88 per 100 in 2011, far surpasses that of other countries around the world.

Source: BBC
 
Population ya USA n Mil 336,... Hiyo inayonyesha kuwa kila MTU pale USA anamiliki silaha wastani wa 1.08,,,, ipo siku itatokea mass shooting kubwa, yaani uki-ni-shoot, mtoto wangu anakulipiza kisasi, na kuendelea
 
Matukio ya mauaji ya watu kwa risasi yameendelea kuitesa Marekani ambapo kwa mujibu wa Ripoti ya Gun Violence Archive idadi ya vifo hadi Mei 8, 2023 ni 14,865 wakati waliojeruhiwa ni 11,872...
Huko si salama
 
Biashara ya silaha inalipa sana huko
Na hawawezi kufunga hata siku moja

Kama ulevi kwetu ndio inaingiza mapato zaidi serikalini
 
watu watano kila siku ?
kwa hio wao ni sisimizi ?

si Marekani ingekua empty ?
 
Matukio ya mauaji ya watu kwa risasi yameendelea kuitesa Marekani ambapo kwa mujibu wa Ripoti ya Gun Violence Archive idadi ya vifo hadi Mei 8, 2023 ni 14,865 wakati waliojeruhiwa ni 11,872.

Katika rekodi hizo, waliouawa kwa kukusudia au kutokusudia ni 6,417 wakati waliojiua ni 8,448, kati yao Watoto chini ya miaka 11 waliouawa ni 98, chini ya miaka 17 ni 530, Wanausalama 20.

Takwimu hizo zinaonesha kuwa kuna wastani wa watu 50 kuuawa kwa risasi kila siku ndani ya Marekani, inatajwa kuwa umiliki wa silaha za moto umechangia matukio mengi, ambapo rekodi za Mwaka 2018 zinaonesha taifa hilo lilikuwa na silaha za moto Milioni 390.

View attachment 2615124
How many US mass shootings have there been in 2023?
Gun violence is a fixture in American life - but the issue is a highly political one, pitting gun control advocates against people who are fiercely protective of their right to bear arms.

We've looked into some of the numbers behind firearms in the US.

Mass shootings on the rise
There have been 201 mass shootings across the US so far this year, according to the Gun Violence Archive, which defines a mass shooting as an incident in which four or more people are injured or killed. Their figures include shootings that happen in homes and in public places.

There have been two in Texas in the last week - five killed at a home in Cleveland, north of Houston, and eight dead at a shopping mall in Allen, near Dallas.

In each of the last three years, there have been more than 600 mass shootings, almost two a day on average.

How do US gun deaths break down?
48,830 people died from gun-related injuries in the US during 2021, according to the latest data from the US Centers for Disease Control and Prevention (CDC).

That's nearly an 8% increase from 2020, which was a record-breaking year for firearm deaths.

While mass shootings and gun murders (homicides) generally garner much media attention, more than half of the total in 2021 were suicides.

That year, more than 20,000 of the deaths were homicides, according to the CDC.

Data shows more than 50 people are killed each day by a firearm in the US.

That's a significantly larger proportion of homicides than is the case in Canada, Australia, England and Wales, and many other countries.

How many guns are there in the US?
While calculating the number of guns in private hands around the world is difficult, the latest figures from the Small Arms Survey - a Swiss-based research project - estimated that there were 390 million guns in circulation in the US in 2018.

The US ratio of 120.5 firearms per 100 residents, up from 88 per 100 in 2011, far surpasses that of other countries around the world.

Source: BBC
Sio kila kitu kiwe huru ndio matokeo yake haya
 
Back
Top Bottom