Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Najua mtaniponda nyie WAPINGA MUNGU
ila MALIPO NI DUNIANI AKHERA huesabiwa
ukiua kwa UPANGA si lazima na wewe uuliwe kwa UPANGA mkali

MWENYENZIMUNGU atakulipa kwa namna yoyote mpaka MOYO wako utasema hakika haya sasa ndio malipo ya ubaya wangu

pia soma hapa
[URLunfurl="true"]Janga la Moto Marekani: Unaweza Kudhani Vita Vimetokea Katika Eneo Hili[/URL]


Ingekuwa ni iran imetupa missle usa wanakuwa wa kwanza kupeleka uss carier na F35 hapo los angel wanashindwaje kuzima moto taifa kubwa lenye kila aina ya silaha
 
califonia
 

Attachments

  • caliv.jpg
    caliv.jpg
    148.3 KB · Views: 3
Wanasema ni planned as miezi mitatu nyuma insurance cover zote za majanga zilikuwa revoked, maji yakageuka kama ya dawasco yaani kwa ratiba tight na waya za umeme zikaanza kupiga shoti.
Watu wanaamini Serikali inataka kujenga futuristic city kwenye hayo maeneo and that's the reason.
So it's planned kama huku serikali inavyochomaga masoko TU au kama marekani ilivyojilipua na kumsingizia Osama na Al Qaeda ili wapate sababu za kuvamia middle east.
 
Wanasema ni planned as miezi mitatu nyuma insurance cover zote za majanga zilikuwa revoked, maji yakageuka kama ya dawasco yaani kwa ratiba tight na waya za umeme zikaanza kupiga shoti.
Watu wanaamini Serikali inataka kujenga futuristic city kwenye hayo maeneo and that's the reason.
So it's planned kama huku serikali inavyochomaga masoko TU au kama marekani ilivyojilipua na kumsingizia Osama na Al Qaeda ili wapate sababu za kuvamia middle east.
View attachment 3197129
Bora wewe unayefikilia nje ya box kutafta maarifa. Watu wanamsingizia Mungu sjui Karma imewalipa wakati Mmarekani mwenyewe ana jambo lake hapo la kimkakati
 
Moto mkali umezuka katika eneo la juu la Pacific Palisades huko Los Angeles, na kusababisha uhamishaji wa hofu.

Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.

Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.

Eneo hilo, ambalo lina nyumba za watu mashuhuri, limeathiriwa vibaya na moto huo unaoenea kwa kasi.

Gavana wa California, Gavin Newsom, ametangaza hali ya dharura na kuwataka wakazi kufuata maagizo ya uhamishaji ili kuhakikisha usalama wao. Tayari kikosi cha Zimamoto cha Los Angeles kiko kwenye eneo hilo kupambana na moto huo na kuokoa maisha na mali.

View attachment 3196285
Wavaa kobazi watasema ni mtume kafanya haya
 
Wanasema ni planned as miezi mitatu nyuma insurance cover zote za majanga zilikuwa revoked, maji yakageuka kama ya dawasco yaani kwa ratiba tight na waya za umeme zikaanza kupiga shoti.
Watu wanaamini Serikali inataka kujenga futuristic city kwenye hayo maeneo and that's the reason.
So it's planned kama huku serikali inavyochomaga masoko TU au kama marekani ilivyojilipua na kumsingizia Osama na Al Qaeda ili wapate sababu za kuvamia middle east.
View attachment 3197129
Wapeleke F35 au ussr nuclear powered carrier
 
Moto mkali umezuka katika eneo la juu la Pacific Palisades huko Los Angeles, na kusababisha uhamishaji wa hofu.

Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.

Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.

Eneo hilo, ambalo lina nyumba za watu mashuhuri, limeathiriwa vibaya na moto huo unaoenea kwa kasi.

Gavana wa California, Gavin Newsom, ametangaza hali ya dharura na kuwataka wakazi kufuata maagizo ya uhamishaji ili kuhakikisha usalama wao. Tayari kikosi cha Zimamoto cha Los Angeles kiko kwenye eneo hilo kupambana na moto huo na kuokoa maisha na mali.

View attachment 3196285
Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.😒
 
Moto mkali umezuka katika eneo la juu la Pacific Palisades huko Los Angeles, na kusababisha uhamishaji wa hofu.

Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.

Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.

Eneo hilo, ambalo lina nyumba za watu mashuhuri, limeathiriwa vibaya na moto huo unaoenea kwa kasi.

Gavana wa California, Gavin Newsom, ametangaza hali ya dharura na kuwataka wakazi kufuata maagizo ya uhamishaji ili kuhakikisha usalama wao. Tayari kikosi cha Zimamoto cha Los Angeles kiko kwenye eneo hilo kupambana na moto huo na kuokoa maisha na mali.

View attachment 3196285
Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.😢
 
Moto mkali umezuka katika eneo la juu la Pacific Palisades huko Los Angeles, na kusababisha uhamishaji wa hofu.

Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.

Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.

Eneo hilo, ambalo lina nyumba za watu mashuhuri, limeathiriwa vibaya na moto huo unaoenea kwa kasi.

Gavana wa California, Gavin Newsom, ametangaza hali ya dharura na kuwataka wakazi kufuata maagizo ya uhamishaji ili kuhakikisha usalama wao. Tayari kikosi cha Zimamoto cha Los Angeles kiko kwenye eneo hilo kupambana na moto huo na kuokoa maisha na mali.

View attachment 3196285

View: https://www.facebook.com/Janetsilverathepage/videos/2538510769688384/
 
Film and television stars are among hundreds of people who have lost their homes in the Los Angeles wildfires that have ravaged parts of the world's showbiz capital 😥😥😥
1736562209721.jpg
 
Kwahiyo unamanisha Mungu anawadhibu wa Merekani au? Sijui walokle mna upungufu wa akili? mbona hayo majanga Africa kuliko walokole wengi ni mengi hata kuliko Ulaya.
Mkuu huyu sio mlokole jmn khaaaa
Soma vzr
 
Hatari sana ni kama wako vitani vile ,vita na nature
Miaka na miaka wameshindwa kupata suluhisho la wild fire !!!ndio maana hii dunia bado sana kufikia real tech ambayo itamsaidia kabisa mwanadam kupambana na vitu halisi eg magonjwa,njaa,umaskini na majanga ya asili kama hayo
Mmh, Kuna dada angu kule anasema Wala hiko sio chanzo km wanavyosema , wamefanya yao Ili wajengee makazi mapya hapo maghorofa hapo
 
Najua mtaniponda nyie WAPINGA MUNGU
ila MALIPO NI DUNIANI AKHERA huesabiwa
ukiua kwa UPANGA si lazima na wewe uuliwe kwa UPANGA mkali

MWENYENZIMUNGU atakulipa kwa namna yoyote mpaka MOYO wako utasema hakika haya sasa ndio malipo ya ubaya wangu

pia soma hapa
[URLunfurl="true"]Janga la Moto Marekani: Unaweza Kudhani Vita Vimetokea Katika Eneo Hili[/URL]


[URLunfurl="true"]Marekani yakumbwa na moto mkubwa[/URL]
Wanaoteketea kwa moto huko Los Angeles wanalipwa kwa ubaya gani waliofanya?
 
Back
Top Bottom