Marekani: Moto Mkali Wateketeza Ekari 3,000 na Kuwafurusha Maelfu ya Watu Los Angeles

Ingekuwa ni iran imetupa missle usa wanakuwa wa kwanza kupeleka uss carier na F35 hapo los angel wanashindwaje kuzima moto taifa kubwa lenye kila aina ya silaha
 
Wanasema ni planned as miezi mitatu nyuma insurance cover zote za majanga zilikuwa revoked, maji yakageuka kama ya dawasco yaani kwa ratiba tight na waya za umeme zikaanza kupiga shoti.
Watu wanaamini Serikali inataka kujenga futuristic city kwenye hayo maeneo and that's the reason.
So it's planned kama huku serikali inavyochomaga masoko TU au kama marekani ilivyojilipua na kumsingizia Osama na Al Qaeda ili wapate sababu za kuvamia middle east.
Your browser is not able to display this video.
 
Bora wewe unayefikilia nje ya box kutafta maarifa. Watu wanamsingizia Mungu sjui Karma imewalipa wakati Mmarekani mwenyewe ana jambo lake hapo la kimkakati
 
Wavaa kobazi watasema ni mtume kafanya haya
 
Wapeleke F35 au ussr nuclear powered carrier
 
Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.πŸ˜’
 
Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.😒
 
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/Janetsilverathepage/videos/2538510769688384/
 
Film and television stars are among hundreds of people who have lost their homes in the Los Angeles wildfires that have ravaged parts of the world's showbiz capital πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
 
Kwahiyo unamanisha Mungu anawadhibu wa Merekani au? Sijui walokle mna upungufu wa akili? mbona hayo majanga Africa kuliko walokole wengi ni mengi hata kuliko Ulaya.
Mkuu huyu sio mlokole jmn khaaaa
Soma vzr
 
Mmh, Kuna dada angu kule anasema Wala hiko sio chanzo km wanavyosema , wamefanya yao Ili wajengee makazi mapya hapo maghorofa hapo
 
Wanaoteketea kwa moto huko Los Angeles wanalipwa kwa ubaya gani waliofanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…