Huenda ikawa kweli maana wao si ndio wako huko na wanajua local politics namna zinaendaMmh, Kuna dada angu kule anasema Wala hiko sio chanzo km wanavyosema , wamefanya yao Ili wajengee makazi mapya hapo maghorofa hapo
Silaha zinazima moto?Ingekuwa ni iran imetupa missle usa wanakuwa wa kwanza kupeleka uss carier na F35 hapo los angel wanashindwaje kuzima moto taifa kubwa lenye kila aina ya silaha
Umeshawahi kwenda LA!?Mmh, Kuna dada angu kule anasema Wala hiko sio chanzo km wanavyosema , wamefanya yao Ili wajengee makazi mapya hapo maghorofa hapo
hapo wana adhibiwa wale lost angels wafuasi wa lucifer unaambiwa yanayofanyika los angeles kwa sasa ni zaidi ya sodoma na gomoraMoto mkali umezuka katika eneo la juu la Pacific Palisades huko Los Angeles, na kusababisha uhamishaji wa hofu.
Moto huo, unaosababishwa na upepo mkali wa Santa Ana , tayari umeteketeza karibu ekari 3,000 (hekta 1,200) na kuharibu nyumba nyingi.
Takriban wakaazi 30,000 wameamriwa kuhama huku wengi wakitelekeza magari yao na kukimbia kwa miguu.
Eneo hilo, ambalo lina nyumba za watu mashuhuri, limeathiriwa vibaya na moto huo unaoenea kwa kasi.
Gavana wa California, Gavin Newsom, ametangaza hali ya dharura na kuwataka wakazi kufuata maagizo ya uhamishaji ili kuhakikisha usalama wao. Tayari kikosi cha Zimamoto cha Los Angeles kiko kwenye eneo hilo kupambana na moto huo na kuokoa maisha na mali.
View attachment 3196285
Yes yote yanawezekanaHuenda ikawa kweli maana wao si ndio wako huko na wanajua local politics namna zinaenda
Ila wildfire imekuwa ikiwasumbua sana US na Australia kwa mda mrefu
Akaaaa nimesema Nina dada angu anaeishi uko , nimeongea nae jana ndo kanipa abc za hukoUmeshawahi kwenda LA!?
Aah basi sawa jitahidi uende kuosha macho ni muhimuAkaaaa nimesema Nina dada angu anaeishi uko , nimeongea nae jana ndo kanipa abc za huko
sigara yenyeee unakuta nyotaMioto ya maporini hiyo. Kipande cha sigara kimetupwa ovyo kinasambaa.
Hata mimi ninashangaa mkuu..Si wale sema ukiibariki Israeli basi nawe utabarikiwa?
Hakuna sigara nyota Marekani.sigara yenyeee unakuta nyota
Vyovyo utakavyoona akili yako na fikira zako zinakokupeleka lakini fahamu yuko Mungu aliyezisimamisha mbingu na kuitandika ardhi na vilivyomo na yeye ndio muweza wa kila kitu.Kariakoo .upaanga ulitutembelea pia msumbij kimbunnga fred pia upanga uliwatembelea hv vitu ni vya kisayansi si vya kimwamposa na shkhe kishk
we umejuajeHakuna sigara nyota Marekani.
Itakuwa zimejengwa kwa nyasi, tufali, miti na mbao haziwezi kuunguaKwahiyo na nyumba zinaungua? Hizo nyumba zimejengwa kwa miti au mbao
Wazungu pia wana itikadi hiyo hiyo wanaita Wildfire,Mioto ya maporini hiyo. Kipande cha sigara kimetupwa ovyo kinasambaa.
Allah anaingaije in this discussion?Wazungu pia wana itikadi hiyo hiyo wanaita Wildfire,
get your head my brother, Allah is the Greatest
Dunia ni kijiji nowadays.we umejuaje
Mungu hafanyiwi dhihaka hata siku moja mkuu. Watoto wadogo wanakufa Gaza bila hatia yoyote kwa silaha za Marekani..Daaaa tuseme ikiwa kweli aya ni majanga ya asili basi kweli mungu Fundi nyumba zote zile sijaona popote Duniani niwe mkweli ktk huu moto hatari sana.
Those are mere conspiracy theories..Bora wewe unayefikilia nje ya box kutafta maarifa. Watu wanamsingizia Mungu sjui Karma imewalipa wakati Mmarekani mwenyewe ana jambo lake hapo la kimkakati
Waislamu eleweni moto huo umesababishwa na upepo mkali wa Santa Ana sio allah. Mtakatifu Ana sio muislamu, hili ni jina la kikatoliki.Mungu hafanyiwi dhihaka hata siku moja mkuu. Watoto wadogo wanakufa Gaza bila hatia yoyote kwa silaha za Marekani..
Nature is now paying them back..Mmh, Kuna dada angu kule anasema Wala hiko sio chanzo km wanavyosema , wamefanya yao Ili wajengee makazi mapya hapo maghorofa hapo