Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kwahiyo ulitaka afanyeje?This guy is so stupid. Huwezi sema kitu kama hicho ukategemea utatoka salama. Watu weusi sijui tuna matatizo gani, tunadhani tukiwa racists ni sawa ila weupe wakiwa racists tunapiga kelele. Stupid ass
Kwahiyo ulitaka afanyeje?
Huu ubaya hauwezi isha kamwe acha waende hivyo tu ubaya ubaya nyie waafrika si mmezoea kumuachia mungu?
mrengo wa kushoto ndo nini?Inaitwa mihemko...
Terry Crews,Kareem A.J,Chance the rapper na baadhi ya Watu weusi wamekuwa wakitoa maoni ambayo jamii kubwa ya wenye mrengo wa kushoto wanawaona Kama wasaliti wa weusi wenzao.
Hakuna gape la teknolojia la miaka mia,umesoma chuo gani waliokufundisha hivyo? The only gape ni 10-20 years.Afrika ina misingi yote ya kuweza kufikia teknolojia, kinachotakiwa ni comjmitmentHatuwezi kuacha kufanya nao kazi, sababu hatujitoshelezi katika SCIENCE & TECHNOLOGY.
Taifa Kubwa ni lile Taifa ambalo linalojiweza sana katika Science & Technology.
Ukiwa na Sayansi na Teknolojia bora basi itakufanya uendelee katika nyanja zifuatazo :-
• MILITARY (Ukiwa na Teknolojia bora basi utakuwa na zana bora za kisasa unazoziunda mwenyewe iwe ni Computerized & Software Systems, Jet-fighters, Drones, Biological Weapons etc.)
• INDUSTRIAL REVOLUTION (nchi kubwa zote ni nchi zilzoendelea kiviwanda, hususani Manufacturing industries)
• HEALTHCARE SYSTEM ( sayansi na teknolojia bora itakufanya uwe na Mfumo Bora wa Afya, Vifaa-Tiba Bora, Taaluma Bora ya Afya pia)
• AGRICULTURAL SECTOR (kilimo kinaleta chakula, chakula ni Uhai.. Sayansi na Teknolojia bora husaidia sekta ya kilimo na kuongeza Uzalishaji kwa mbinu za kisasa)
• RESEARCH & DEVELOPMENT (nchi kubwa duniani huwa ni zile zinazofanikiwa katika Tafiti zao za Kisayansi)
• ENERGY (sayansi na teknolojia bora itasaidia katika Uzalishaji wa Nishati, Nishati ni muhimu katika Viwanda, Matumizi ya Majumbani etc. Umeme wetu bado wa kusuasua na haujasambaa nchi nzima)
Nchi za Kiafrika badooooo sana hazijafinikiwa katika Sayansi na Teknolojia. Hahahah!! Tumeachwa nyuma miaka kama Mia Moja Tisini (190) hivi....
Ukifanikiwa katika sekta hizo basi VIWANDA (Manufacturing industries na Processing Industries) utakuwa navyo vingi na Mzunguko wa Pesa utakuwa Mkubwa, Sekta ya Afya itakuwa Bora, Umaskini wa Kipato kwa Mwananchi Mmoja Mmoja Utapungua Sana, na FURSA ZA BIASHARA na AJIRA zinakuwa nyingi pia sababu MZUNGUKO WA PESA utakuwa mkubwa.
Hakuna sehemu nimesema nasapoti hiki kitendo chake ,lakini mbona Siku zote sijaona unakemea ubaguz unaofanyika toka karne zilizopita .? huyo ni tajiri unafkiri kama wewe?.Sina mungu mimi. Nilitaka atumie akili sio aongee ujinga, ona sasa kazi kafukuzwa, kila kitu kimeanza kwenda ovyo kwenye maisha yake sababu ya ujinga huu. Huwezi kuelewa kama akili zako ni za kijinga, ubaya ubaya unadhani hua mwisho wake nini? Hivi we unadhani watu wote duniani tuanze kubaguana kwa rangi tutaishia wapi? Shukuru sana sasa hivi ubaguzi umepungua, miaka ya 60 tu watu walikua wanachinjana. Tumia akili sio makalio
Nimesoma Chekechea tu. Kama wewe umeona kwamba Africa inahitaji miaka 10-20 kufikia Sayansi na Maendeleo mahali zilipo Western Countries basi sawa ni opinions zako na naziheshimu.Hakuna gape la teknolojia la miaka mia,umesoma chuo gani waliokufundisha hivyo? The only gape ni 10-20 years.Afrika ina misingi yote ya kuweza kufikia teknolojia, kinachotakiwa ni comjmitment
Kwa hiyo wewe hata ukiangalia tu picha halisi huioni. Fanya upembuzi yakinifu vizuri tena kati ya Afrika na Western Countries hususani G8 countries zile halafu utaona.Magufuli amesema sisi ni nchi tajiri, wewe unasema wazungu wametuacha mbali sana.
Mnawakuza jews kuliko uhalisia.Hapo alichokosea Nick ni kuwataja Jews kwenye hiyo Podcast...
Jews Own Hollywood, watamharibia mbaya
Mimi naona Tanzania ni tajiri kuliko hata Marekani, sema Tanzania haipendi show off.Kwa hiyo wewe hata ukiangalia tu picha halisi huioni. Fanya upembuzi yakinifu vizuri tena kati ya Afrika na Western Countries hususani G8 countries zile halafu utaona.
Hakuna mtaalamu asiepatikana Tanzania,hayup!! Kila utaalamu unaouna wabongo wapo.Ndio maana nikakwambia tunamisingi yote , ila tunakosa utashi.Commitment Ndio kila kitu.Korea kaskazini wameweza kuunda nuclear technology wakiwa wametengwa na dunia sembuse sisi tupo huru kushirikiana na dunia.Wataalamu wa kumwaga, waliosoma nje na ndani.,Vyuo vikuu vipo.Nimesoma Chekechea tu. Kama wewe umeona kwamba Africa inahitaji miaka 10-20 kufikia Sayansi na Maendeleo mahali zilipo Western Countries basi sawa ni opinions zako na naziheshimu.
ila if only and only if you will be true to yourself na ukafanya critical thinking and analysis basi utagundua miaka hiyo 10-20 haitoshi kurekebisha Mifumo yote kuanzia chini mpaka Juu, Kuandaa Sera, Kusomesha Wataalamu Wabobezi Wengi wa Sayansi (Health, Astronomy, Engineering etc.) wa Kutosheleza Mahitaji ya Nchi. Kujenga MiundoMbinu wezeshi nchi nzima, Kujenga Manufacturing Industries za kutosha, Kubobea katika Technology za Aviation na kuwa Factories za Aviation, Energy & Nuclear Physics, Automotive Industry, Medicine, Pharmacy, Viwanda vya kuunda Equipments za Mining Engineering, Semiconductors and Software etc.
Kwangu mimi kiuhalisia hiyo miaka 10-20 HAITOSHI kuandaa Policies na kufanya Implementation yote.
Kwa hiyo wataka kuniambia kuwa hapa TZ na Sub-Saharan Countries za Africa kuwa wapo wataalamu wa Nyuklia Fizikia wabobezi kuliko waliopo katika Nchi za Magharibi? Duuh!!Hakuna mtaalamu asiepatikana Tanzania,hayup!! Kila utaalamu unaouna wabongo wapo.Ndio maana nikakwambia tunamisingi yote , ila tunakosa utashi.Commitment Ndio kila kitu.Korea kaskazini wameweza kuunda nuclear technology wakiwa wametengwa na dunia sembuse sisi tupo huru kushirikiana na dunia.Wataalamu wa kumwaga, waliosoma nje na ndani.,Vyuo vikuu vipo.
The only hard technology ambayo hataChina inapambana ni "State of the art" Chip making technology, hio pekee.But.machinery technology sio ngumu ki vile, hata lasaba wanaweza kuikuza..Nano scale technology Ndio umiza kichwa.
Hivi watanzania wanaweza shindwa kuunda mitambo ya viwandani,engine za magari, machine za mashambani, ni kweli itawachukua miaka mia kuunda engine ya gari???
Nimekwambia Tanzania ina kila mtaalamu unaemjua wewe ktk nyanja zote.Sijakwambia Tanzania inawataalamu kuzidi magharibi.Tafiti zinaonesha Nchi inaweza kuendelea kwa kipindi cha miaka 10-20.Teknolojia ya sasa inasapoti nchi iendelee fasta kuliko miaka 10 mpaka 50 iliopita.Ukitaka kuunda kitu huanzi from scratch kwa sababu vifaa vya Ku boost idea yako vipo. Viongozi wetuKwa hiyo wataka kuniambia kuwa hapa TZ na Sub-Saharan Countries za Africa kuwa wapo wataalamu wa Nyuklia Fizikia wabobezi kuliko waliopo katika Nchi za Magharibi? Duuh!!
Pia wataka kuniambia TZ inahitaji miaka 10-20 ili iwe imeendelea kama Uingereza, Ufaransa au Ujerumani katika Miundo Mbinu, Nishati, Afya, Pato la Mwananchi Mmoja Mmoja, Sayansi na Teknolojia etc..
Daah!! Hebu tuwe realistic aisee, hata kama ndiyo una damu ya uzalendo sio kihivo aisee. Au unadhani Rais hana commitment ya kutaka nchi iwe ni developed country kama USA au Canada!??, kwa 10-20 years Daah! HAPANA!!
Afu pia kuhusu North Korea, Nuclear Physics na Atomic Technology hii ya North Korea unayoiona sasa ilianzishwa kwa Partnership na SOVIET UNION (RUSSIA) tangu miaka ya 1950s.
Labda kama wataka kuniambia kuwa RUSSIA sio Developed Country ya Wazungu eeh.?? Au labda wataka kusema Korea Kaskazini imefika hapo kwa miaka 10-20 eeh bila hao Wazungu wa RUSSIA
My Point is, Wazungu wametuzidi mbali sana tena saaaana, Afrika inatakiwa Kujifunza toka kwa Wazungu na kuweka Sera Imara za Long Term Plans, Kuwekeza muda ili angalau miaka 100 ijayo tuwe mahali flani kama wao au karibu na wao.
Tunatakiwa tujifunze Asia sio ulaya.Wa Asia wameweza Ku adapt teknolojia kwa muda mfupi sana,kama utaendelea kufikiria njia walizopita wazungu utasubiri sana.Kwa hiyo wataka kuniambia kuwa hapa TZ na Sub-Saharan Countries za Africa kuwa wapo wataalamu wa Nyuklia Fizikia wabobezi kuliko waliopo katika Nchi za Magharibi? Duuh!!
Pia wataka kuniambia TZ inahitaji miaka 10-20 ili iwe imeendelea kama Uingereza, Ufaransa au Ujerumani katika Miundo Mbinu, Nishati, Afya, Pato la Mwananchi Mmoja Mmoja, Sayansi na Teknolojia etc..
Daah!! Hebu tuwe realistic aisee, hata kama ndiyo una damu ya uzalendo sio kihivo aisee. Au unadhani Rais hana commitment ya kutaka nchi iwe ni developed country kama USA au Canada!??, kwa 10-20 years Daah! HAPANA!!
Afu pia kuhusu North Korea, Nuclear Physics na Atomic Technology hii ya North Korea unayoiona sasa ilianzishwa kwa Partnership na SOVIET UNION (RUSSIA) tangu miaka ya 1950s.
Labda kama wataka kuniambia kuwa RUSSIA sio Developed Country ya Wazungu eeh.?? Au labda wataka kusema Korea Kaskazini imefika hapo kwa miaka 10-20 eeh bila hao Wazungu wa RUSSIA
My Point is, Wazungu wametuzidi mbali sana tena saaaana, Afrika inatakiwa Kujifunza toka kwa Wazungu na kuweka Sera Imara za Long Term Plans, Kuwekeza muda ili angalau miaka 100 ijayo tuwe mahali flani kama wao au karibu na wao.