Marekani na Korea kusini wamepagawa baada ya kuona Submarine Nuclear ya Korea Kaskazini

Marekani na Korea kusini wamepagawa baada ya kuona Submarine Nuclear ya Korea Kaskazini

Miki123

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
289
Reaction score
503
Dunia ina double standard sana.

Hivi karibuni USA ilitoa tenda Kwa nchi ya Australia kuunda Submarine Nuclear na Korea Kusini wanafanya jaribio la kombola kutoka kwenye nyambizi.

Mpaka sasa ni nchi kama Saba zinazoweza kuunda Aina hii ya nyuklia.

USA haikufahamu kuwa Korea Kaskazini ina uwezo wa kuunda nuclear submarine.

1634743747691.png


Na kuthibitisha kuwa nchi ya Kim Jung Un ina hiyo technolojia muda mrefu, Jana Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombola la nyuklia kutokea kwenye nyambizi.

Hili limewashtua USA, Japan na Korea Kusini. Cha kushangaza USA na UK wanaunda Aina hii nyuklia na Korea Kusini pia wamefanikiwa jaribio.

Hawa kwao ni Sawa na maendeleo ya teknolojia Ila Taifa jingine likifanya wanaonekana washari.


Wataalamu wa silaha za nyuklia wanasema submarine Nuclear ni ngumu kulitrack.
 
Unashangilia ujinga. Hao North Korea hizo hela za Makombora wangewanunulia chakula raia wake.
North Korea anawekeza kwenye kilimo kuliko hata unavyofikiri na tatizo la njaa limekabiriwa Kwa kiasi tangu Kim Jung un ashike uongozi.

Usisome Tu propaganda Tu za west Pekee pitia Pia tovuti za North Korea uone miradi mingine tofauti na hayo makombora unayoyasikia kila siku.
 
Dunia ina double standard sana.
Hivi karibuni USA ilitoa tenda Kwa nchi ya Australia kuunda Submarine Nuclear na Korea Kusini wanafanya jaribio la kombola kutoka kwenye nyambizi...
Mbona hamna waliposema hiyo ni 'submarine nuclear'?
 
Dunia ina double standard sana.
Hivi karibuni USA ilitoa tenda Kwa nchi ya Australia kuunda Submarine Nuclear na Korea Kusini wanafanya jaribio la kombola kutoka kwenye nyambizi...
Mbona katika hiyo link uliyoweka hakuna kabisa sehemu inayosem USA na south Korea wamepanic...alafu kingine unatakiwa uulize USA hizo submarine anazo ngapi? Alafu ndo uje hapa na huu utumbo wako
 
North Korea anawekeza kwenye kilimo kuliko hata unavyofikiri na tatizo la njaa limekabiriwa Kwa kiasi tangu Kim Jung un ashike uongozi. Usisome Tu propaganda Tu za west Pekee pitia Pia tovuti za North Korea uone miradi mingine tofauti na hayo makombora unayoyasikia kila siku.
Hujui tu wewe North Korea kuna njaa balaa
 
Hujui tu wewe North Korea kuna njaa balaa
Tangu kutokea Kwa baa la njaa miaka ya 90, Korea Kaskazini walifanya mageuzi ya Sera zao za kilimo na wamefanikiwa kudhibiti tatizo la upungufu la chakula Kwa kiasi kikubwa.
 
Unashangilia ujinga. Hao North Korea hizo hela za Makombora wangewanunulia chakula raia wake.
Wamechagua kuunda nyambizi sasa wako tayari kumfyatua mchokozi yeyote atakaewajaribu. DAWA YA MOTO NI MOTO.
 
Wamechagua kuunda nyambizi sasa wako tayari kumfyatua mchokozi yeyote atakaewajaribu. DAWA YA MOTO NI MOTO.
Izo zote zimatengenezwa na Russia, wala sio North Korea
 
Back
Top Bottom