Marekani na Korea kusini wamepagawa baada ya kuona Submarine Nuclear ya Korea Kaskazini

Marekani na Korea kusini wamepagawa baada ya kuona Submarine Nuclear ya Korea Kaskazini

North Korea hizo hela za Makombora wangewanunulia chakula raia wake.
Unaweza nunua chakula hicho kwa mwenye kombora na bado akakudhurumu!!! maksudi tu! utafanyaje? lkn km unakombora kuliko yeye!! MWEE! atakupishilia kwa mbali........ na kukuongezea cha juu!!!
 
Hivi huko kwenu kijinini watoto wanakaa kwenye madawati na wana vitendea kazi kama teaching aids za walimu?

Wenzio tunawaza Januari inakuja tuanze kuteseka wewe unawaza silaha za maangamizi? Hongera mtoto wa gate kali.
 
Nidham ya oaga, wafungwa huru.
Yaap kwa Stail yao walio jichagulia nchi nzima huwezi kuta Mapunga wala Mashoga

Hukuti Vurugu wala kelele fujo ugomvi yaan una ishi kwa uhakika sanaaa

Maana wananchi ukiwapa sana uhuru wanakawaida ya kuuchezea na hata kuupotezaa
 
Hivi huko kwenu kijinini watoto wanakaa kwenye madawati na wana vitendea kazi kama teaching aids za walimu?

Wenzio tunawaza Januari inakuja tuanze kuteseka wewe unawaza silaha za maangamizi? Hongera mtoto wa gate kali.
Hauoni unapoteza muda kukomenti kwenye Uzi WA masiraha? Pia ahsante Kwa hongera.
 
Yaap kwa Stail yao walio jichagulia nchi nzima huwezi kuta Mapunga wala Mashoga

Hukuti Vurugu wala kelele fujo ugomvi yaan una ishi kwa uhakika sanaaa

Maana wananchi ukiwapa sana uhuru wanakawaida ya kuuchezea na hata kuupotezaa
Yote yanayofanyika ni kwa faida ya Kim sio Raia......Raia hawafurahii life style Wanaishi.
 
Hawa jamaa kama ni kafara la mwenge limewakamata kwelikweli
Wamezuwiliwa kupata habari toka duniani kupitia chombo chochote zaidi ya ya serikali,Wala movie za nje hawaruhusiwi kutazama,wahuni wachche wanazitazama kimagendo,kimsingi wapo gizani wakinyeshewa na propaganda za kim
 
Back
Top Bottom