Marekani na Korea Kusini warusha kombora kuijibu Korea Kaskazini, Korea Kaskazini yawatumia nyongeza ya makombora 2 ya balistiki

Marekani na Korea Kusini warusha kombora kuijibu Korea Kaskazini, Korea Kaskazini yawatumia nyongeza ya makombora 2 ya balistiki

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Baada ya Kiduku kupitisha kombora hatari la balistiki Japan, lililokaa angani zaidi ya dakika 20 huku Japan ikishindwa hata kulidungua, South Korea + Marekani walijaribu nao kurusha kombora wakijitoa kimasomaso eti kujibu mashambulizi ya Kiduku. Ha ha haa...kombora likawafelia na kuwalipukia😄😄😅😅🤣🤣😇😇😇

Sasa Mtemi Kiduku leo kama haitoshi kawatumia kifurushi kingine cha nyongeza...kawatupia makombora mawili ya balistiki kwa mkupuo.🤣🤣😂😂

Marekani yaishia kulialia kwa Urusi na China.
======

SmartSelect_20221006-122133_Chrome.jpg


SmartSelect_20221006-121941_Chrome.jpg
 
Baada ya Kiduku kupitisha kombora hatari la balistiki Japan, lililokaa angani zaidi ya dakika 20 huku Japan ikishindwa hata kulidungua, South Korea + Marekani walijaribu nao kurusha kombora wakijitoa kimasomaso eti kujibu mashambulizi ya Kiduku. Ha ha haa...kombora likawafelia na kuwalipukia😄😄😅😅🤣🤣😇😇😇

Sasa Mtemi Kiduku leo kama haitoshi kawatumia kifurushi kingine cha nyongeza...kawatupia makombora mawili ya balistiki kwa mkupuo.🤣🤣😂😂

Marekani yaishia kulialia kwa Urusi na China.
======

View attachment 2378687
Habari za Kiduku(N.KOREA) ni kama zile za putin tuliaminishwa ni bonge la jitu,kumbe ni mgambo tu.Leo hii NATO wamuamulie hata wiki haiishi tayari anakuwa ametepeta.wanaona na hajawa tishio ki hivyo.
 
Baada ya Kiduku kupitisha kombora hatari la balistiki Japan, lililokaa angani zaidi ya dakika 20 huku Japan ikishindwa hata kulidungua, South Korea + Marekani walijaribu nao kurusha kombora wakijitoa kimasomaso eti kujibu mashambulizi ya Kiduku. Ha ha haa...kombora likawafelia na kuwalipukia[emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji56][emoji56][emoji56]

Sasa Mtemi Kiduku leo kama haitoshi kawatumia kifurushi kingine cha nyongeza...kawatupia makombora mawili ya balistiki kwa mkupuo.[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Marekani yaishia kulialia kwa Urusi na China.
======

View attachment 2378687

View attachment 2378689

Kiduku PBUH
 
inasemaje kaka?
Sijui, nlikuwa nataka kujua Hawa mashehe wenzangu wanatumia vifungu gani kuchagua maraisi wa kuwashabikia...Maana tulikuwa tunaambiwa msikitini tumshabikie Putin. Saiv naona wameanza kwa Kiduku wengine bado tupo 3G
 
Sijui, nlikuwa nataka kujua Hawa mashehe wenzangu wanatumia vifungu gani kuchagua maraisi wa kuwashabikia...Maana tulikuwa tunaambiwa msikitini tumshabikie Putin. Saiv naona wameanza kwa Kiduku wengine bado tupo 3G
wao lini watatushabikia!! Huu ni utumwa tuwaache wapambane na hali zao. Tuwe busy na kuzalisha mali na kutatua shida zetu.
 
Baada ya Kiduku kupitisha kombora hatari la balistiki Japan, lililokaa angani zaidi ya dakika 20 huku Japan ikishindwa hata kulidungua, South Korea + Marekani walijaribu nao kurusha kombora wakijitoa kimasomaso eti kujibu mashambulizi ya Kiduku. Ha ha haa...kombora likawafelia na kuwalipukia😄😄😅😅🤣🤣😇😇😇

Sasa Mtemi Kiduku leo kama haitoshi kawatumia kifurushi kingine cha nyongeza...kawatupia makombora mawili ya balistiki kwa mkupuo.🤣🤣😂😂

Marekani yaishia kulialia kwa Urusi na China.
======

View attachment 2378687

View attachment 2378689
Beberu mkuu ajue wapo wababe wametulia tu wakimzoom na upuuzi wake wakimwaga uchafu wake hapo Ukraine 🤸🤸🤸
 
Mambo ya Vita bhana Urusi alikua akifanya mazoezi ya pamoja mara live fire drills akiungana na China mara India leo anasaka suruhu yeye kupitia Wabunge wake..mazoezi ni tofauti na Vita Mura..
 
Mambo ya Vita bhana Urusi alikua akifanya mazoezi ya pamoja mara live fire drills akiungana na China mara India leo anasaka suruhu yeye kupitia Wabunge wake..mazoezi ni tofauti na Vita Mura..
Ndioooooo
 
Sijui, nlikuwa nataka kujua Hawa mashehe wenzangu wanatumia vifungu gani kuchagua maraisi wa kuwashabikia...Maana tulikuwa tunaambiwa msikitini tumshabikie Putin. Saiv naona wameanza kwa Kiduku wengine bado tupo 3G
Ha ha ha ha ha mnanichekesha saaana wakuu
 
Ni maonyesho tu; kama anataka vita, lidondokee hapo kusini; itakuwa kama Urusi inavyopata kichapo kwa sasa
 
Back
Top Bottom