Marekani na nchi za Umoja wa Ulaya zimepinga Azimio la UN la kukataza watu kuchoma Quran

Marekani na nchi za Umoja wa Ulaya zimepinga Azimio la UN la kukataza watu kuchoma Quran

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Umoja wa kimataifa, UN imepitisha azimio lililopigwa na nchi za Marekani na Umoja wa ulaya la kuzuia uchochezi na ubaguzi wa kidini hasa uchomaji wa Quran.

Azimio hilo limekuja baada ya mwezi uliopita raia wa Iraq kuchoma Quran nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm Sweden na kuchomea maandamano katika nchi za Kiislamu.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanasema azimio hilo linaenda kinyume na mtazamo wao wa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Hivi karibuni nchi za kiislamu OIC zilipitisha makubaliano ya kutumia kila namna kuzuia uchomaji wa Quran kwa kutumia jumuia ya kimataifa.

Baada ya makubaliano hayo, nchi hizo zimepeleka mapendekezo kwa tume ya haki za binadamu ya umoja wa mataifa kupitisha azimio la kuzuia uchomaji wa Quran azimio ambalo limepigwa na Marekani, Uingereza na umoja wa ulaya.
 
Umoja wa kimataifa, UN imepitisha azimio lililopigwa na nchi za Marekani na Umoja wa ulaya la kuzuia uchochezi na ubaguzi wa kidini hasa uchomaji wa Quran.

Azimio hilo limekuja baada ya mwezi uliopita rais wa Iraq kuchoma Quran nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm Sweden na kuchomea maandamano katika nchi za Kiislamu.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanasema azimio hilo linaenda kinyume na mtazamo wao wa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Hivi karibuni nchi za kiislamu OIC zilipitisha makubaliano ya kutumia kila namna kuzuia uchomaji wa Quran kwa kutumia jumuia ya kimataifa.

Baada ya makubaliano hayo, nchi hizo zimepeleka mapendekezo kwa tume ya haki za binadamu ya umoja wa mataifa kupitisha azimio la kuzuia uchomaji wa Quran azimio ambalo limepigwa na Marekani, Uingereza na umoja wa ulaya.

Tuziheshimu imani za wenzetu, tuheshimiane.

Lakini America pia wako sahihi kwa upande wao.
 
Umoja wa kimataifa, UN imepitisha azimio lililopigwa na nchi za Marekani na Umoja wa ulaya la kuzuia uchochezi na ubaguzi wa kidini hasa uchomaji wa Quran.

Azimio hilo limekuja baada ya mwezi uliopita raia wa Iraq kuchoma Quran nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm Sweden na kuchomea maandamano katika nchi za Kiislamu.

Marekani na Umoja wa Ulaya wanasema azimio hilo linaenda kinyume na mtazamo wao wa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Hivi karibuni nchi za kiislamu OIC zilipitisha makubaliano ya kutumia kila namna kuzuia uchomaji wa Quran kwa kutumia jumuia ya kimataifa.

Baada ya makubaliano hayo, nchi hizo zimepeleka mapendekezo kwa tume ya haki za binadamu ya umoja wa mataifa kupitisha azimio la kuzuia uchomaji wa Quran azimio ambalo limepigwa na Marekani, Uingereza na umoja wa ulaya.

Hiv nikiamua kuichoma Qur'an kwenye hii laptop yangu napo ni shida?
 
Ni jambo dogo tu,kila mtu aheshimu kile mwenzake anachokiamini....... Uhuru bila mipaka ni fujo..........
 
Mimi ni Mkristo Mkatoliki,lkn naheshimu imani za watu wengine,kumbe Marekani na washirika wake hawapo sahihi,lazima tuheshimiane ktk Imani zetu.
Marekani na ulaya wanasema kama biblia ama quran ni vitabu vya mungu atavilinda yeye mwenyewe kwa kuwashughulikia wanaoviharibu, wao sio kazi yao kushughulika na watu hao ni kazi ya mungu.
 
Marekani wanasema kama biblia ama quran ni vitabu vya mungu atavilinda yeye mwenyewe kwa kuwashughulikia wanaoviharibu, wao sio kazi yao kushughulika na watu hao ni kazi ya mungu.
Mpaka hapa Atheist wana chukua point 3 za ushindi.

Unaona kwamba, Mpaka kufikia vitabu vinavyo daiwa vya Mungu vinachomwa moto, ina maana Mungu anaye vilinda Hayupo.
 
Haliwasumbui na wala hawana interest nalo.... nenda kaseme holocaust haikutokea ndio wana-mind.
 
Mafunzo yanatekelezwa Vyuoni mazoezi mitaani. Inajulikana wanachotaka na ujumbe umefika .
Tusubiri kurasa zijazo.
 
Mpaka hapa Atheist wana chukua point 3 za ushindi.

Unaona kwamba, Mpaka kufikia vitabu vinavyo daiwa vya Mungu vinachomwa moto, ina maana Mungu anaye vilinda Hayupo.
Wako sahihi. Sasa vitabu vya mungu binadamu unavilinda ili iweje, kwani vyako? Umeviandika wewe? Si uache mwenye navyo ashugulike na wanaomharibia vitabu vyake.

Kuna kipindi dogo mmoja alikojolea quran kule mbagala, ilikua balaa😂, zero brain walitaka wamchome moto dogo wa darasa la 2 sijui la 4.

Dini ni taasisi za kitapeli, mungu hayupo. Marekani na Ulaya walishagundua hilo muda mrefu ndio maana hawana time na hivyo vitabu, ukitaka kukichoma sawa, ukitaka kukinyea sawa wewe tu mtajuana na mwenye hicho kitabu.
 
Wako sahihi. Sasa vitabu vya mungu binadamu unavilinda ili iweje, kwani vyako? Umeviandika wewe? Si uache mwenye navyo ashugulike na wanaomharibia vitabu vyake.

Kuna kipindi dogo mmoja alikojolea quran kule mbagala, ilikua balaa[emoji23], zero brain walitaka wamchome moto dogo wa darasa la 2 sijui la 4.

Dini ni taasisi za kitapeli, mungu hayupo. Marekani na Ulaya walishagundua hilo muda mrefu ndio maana hawana time na hivyo vitabu, ukitaka kukichoma sawa, ukitaka kukinyea sawa wewe tu mtajuana na mwenye hicho kitabu.
Walisha toka kwenye Age of believing (illusions) wapo kwenye Age of knowing (facts).

Waafrika wengi bado wapo kwenye ku believe illusions na fear of Unknown.
 
Back
Top Bottom