Wengine wakiwaza kutengeneza vitu kama hivyo kuna wengine wanawaza kujilipua....al shaabab bana
Wapuuzi wale, ndiyo maana walinyimwa akili wakapewa ubishi, visas,vurugu na ulalamishi. Siwapendi mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wakiwaza kutengeneza vitu kama hivyo kuna wengine wanawaza kujilipua....al shaabab bana
wengine wanawaza kutengeneza pesa wakitumia mdomo wa YESU
Kwani wewe Al shabab? Pole kama umeguswa. Ukitaka kujua kichakani kuna nini basi wewe rushia jiwe! Nguruwe atatoka huyooooooooooooo! Mbio
alshaabab ndio nguruweBwana Yesu alisema
Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na wakawararua."
Mbona nguruwe alishatoka bila kurusha jiwe??? Anakanyaga lulu mitaani . Mwenye macho haambiwi tazama
hii thread inahusu nini alshabaab???
alshaabab ndio nguruwe
Gavana sitaki kuharibu hii thread,twende jukwaa lile
Pamoja na kuungwa mkono na Russia na China, Iran haina uwezo wa kupambana na marekani na NATO hata kidogo. nadhani hilo lisitunyime usingizi hata kidogo kwani ikianza vita ndani ya miezi miwili tehran itakuwa ishatekwa. kwa sasa iran ina maadui wengi sana ikiwamo waarabu wenzake kama saudia, Bahrain na Quattar bila kusahau Kuwait hivyo vita itakuwa kama kumsukuma mlevi!
Sehemu mmoja Mmarekani amecomment hivi;
whats the point of being a president where there is none alive..,anyone can be a president.....if he dies we can elect someone but if we all persons die the president cannot elect his people or in other words he cannot bring them alive,,...he will a president to the dead people....this is foolish...
I can't agree more!
kivipi israel iangushe uchumi wa marekani?FYI
Soon israel itaangusha uchumi wa Merakani; na vita kubwa itapigwa Allah atuepushe
wanatudanganya hawamarekani now wamedizaini ndege ambayo haiwezi kuathiliwa na mionzi ya nyuklia pindi vita hii ya tatu itakapoanza, ndege hii inauwezo pia wakuingia chini ya bahari kama nyambizi inaitwa doomsday plane. tembeleeni kwenye www.you tube.com/doomsday plane